Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Alichokifanya Rais Jakaya Kikwete kufukuza Sekretariat na Kamati Kuu ya CCM ni sawasawa na marais wa zamani wa Tunisia Ben Ali na wa Misri Hosni Mubarak walivyojaribu kufanya katika jitihada zao...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi ni miongoni mwa waandishi tulio hapa Dodoma. Nimepata hii taarifa kwa watu waliokuwa karibu na Ikulu sasa hivi usiku huu. Rais Jakaya Kikwete amemuita swahiba wake wa siku nyingi, Edward...
0 Reactions
68 Replies
8K Views
Na Heckton Chuwa, Moshi SIKU chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA) kutangaza maandamano ya nchi nzima kupinga mchakato unaoendelea wa muswada wa katiba nchini, kundi moja...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Miminawashahuri wale vingunge na nguli wanasiasa wazoefu walioachwa kwenye kura za maoni kwa fitna au hila zozote kupitia CCM mpaka mkashindwa kupata nafasi zakugombea uongozi mbalimbali mwaka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuteuliwa kwa January Makamba kuongoza Idara ya Mambo ya Nje ya CCM kunaashiria mabadiliko ya haraka ya Baraza la Mawaziri, ambapo Januari atachukua nafasi ya Waziri wa Mambo ya Nje. Hii ni kwa...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Napenda kuwakumbusha kitu kimoja hapa wote wale mlioachwa katika kusafisha chama wapo walioachwa kwa kuweka uwanja sawa!! ila kuna ambao mmeachwa kwakuona nyie siyo wenzao kwani mnachukia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nionavyo mimi " Wananchi wamepunguza imani na CCM kutokana na udhalimu na ufisadi unaofanywa kila leo na chama tawala hadi serikalini. Kiukweli hamsomi alama za nyakati, na hambadiliki kutokana...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Viongozi 'washtakiwa' kwa kutotangaza mali Patricia Kimelemeta na Raymond Kaminyoge MBUNGE wa Jimbo la Rorya, Lameck Airo na Mkuu wa wilaya ya Singida, Pascal Mabiti ni miongoni mwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Muswada huu wa Katiba utavuruga umoja wetu Monday, 11 April 2011 21:55 0diggsdigg SASA ni dhahiri kwamba muswada wa marekebisho ya Katiba mpya unachukua mwelekeo wa kuvuruga umoja wetu na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Asalaam aleykum, Habari kutoka Dodoma ni kuwa wajumbe wa NEC sasa wanajadili hoja ya kuwavua uanachama Edward Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge kwa kuwa tuhuma nzito za rushwa dhidi yao...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Baada ya miongo miwili ya kukumbatia wizi, rushwa, ufisadi na kila aina ya ukosefu wa maadili, CCM imeamua kujizaa upya kwa kauli mbiu ya "Kujivua Gamba". Nikinuu maneno ya Naibu Katibu Mkuu Bara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ETI JK ANAWATANGAZIA WAKUU WAPYA WA CHAMA HICHO KUWA HATAKI KUPOKEA MSG ZA OOOOOH MKUUU WAMETUTUKANA,WAKIWATUKANA NA NYIE WATUKANENI,TUMESHAZUNGUMZA HAYA NA SINA HAJA YA KUYARUDIAA HII NI CHUPA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Live session ya jambo TZ waziri Kabaka amung'unya maneno kuhusu majukumu yake wakati waziri kivuli anaongea kwa kujiamini wakiwa wote ni kinamama.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu. Chama Cha Wananchi (ccw) alimaarufu kama CUF Or CCM B, Kutokana na kuwa karibu/ kufanya kazi na ccm ambayo imekili imepoteza mvuto, na kusababisha jana kujivua gamba. Je maswaiba wao wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hatimaye habari za "tiba ya miujiza ya Babu wa Loliondo" zimefunikwa kidogo,at least kwa muda,baada ya chama tawala CCM kufanya mabadiliko yanayoitwa makubwa katika safu za uongozi wake.Katika...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Chama Cha Demekrasia na Maendeleo aka CHADEMA kimepata uungwaji mkono mkubwa sana katika kada ya Wasomi Tanzania, Hali hiyo imejidhihirisha Siku za karibunu ambapo kumekuwa na Wimbi kubwa la...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
By JULIUS BWAHAMA, 11th April 2011 A PROSECUTION witness testified before the Kisutu Resident Magistrate's Court on Monday that Richmond Development Company LLC did not meet the requirements for...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Juzikati UVCCM uongozi walikuwa wanataka Nape hata UNEC avuliwe, leo Nape yupo sekretariet ya CCM...Hivi bila vijoka navyo kuvuliwa magamba si ni kuibuka bifu jingine kiutendaji kat ya Nape na UVCCM.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Naam in continuing with our tradition ya KU RECYCLE WATAWALA this time tumeletewa huyu jamaa ambaye if anything CCM should have done better badala ya kuleta tuu jina la mtu kuwa ndio SG bila...
7 Reactions
184 Replies
25K Views
Back
Top Bottom