Mojawapo ya mambo yaliyonichefua kwenye muswada wa katiba ni pamoja na Part III hasa section 5 na 6. S.6 inasema kuwa wajumbe wa tume watatoka pande zote za muungano kwa idadi sawa (yaani kama...
na Mwandishi wetu, Dodoma
BARAZA la Maadili limetoa waraka wa kukamatwa kwa msaidizi wa Rais Jakaya Kikwete wa masuala ya siasa, Rajab Luhwavi, kwa kosa la kukaidi wito uliomtaka kuhudhuria...
If even one part of our continent lives under a tyrannical regime, none of us can claim to be free. The Swazi people have suffered economically and politically at the hands of the royal elite,"...
Wakati mji wa dodom aukiendelea na sherehe za aina yake za kuukimbiza utawala wa fashist Makamba na wenzake aliekuwa mwenyekiti wa uvccm amewaasa watanzania wanaoshika madaraka ya chama...
Wana JF nipo nchini Ujerumani, na nimebahatika kukutana na Kijana mwanaharakati kutoka Taasisi moja ya Musuala ya Liberal Democracy nchini Misri. Amewasilisha mada juu ya namna Vijana wa Misri...
WAFANYAKAZI wa CCM Makao Makuu Dodoma wamejipongeza kwa kula na kunywa kwa kile wanachosema ni kufurahia kuondolewa ofisini kwa
aliyekuwa Katibu Mkuu, Bw. Yusufu Makamba jambo walilokuwa...
wanajamvi nina swali ambalo linanitatiza je ni sawa kwa ofisi za kata kupakwa rangi za ccm? nimeona ofisi ya kata ikungi, aghondi, msisi na mvumi zote zikiwa na rangi za kijani na njano ofisi hizo...
na Danson Kaijage, Dodoma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa kamwe hakitawavumilia wanachama ambao wanasaka uongozi ndani ya chama hicho kwa lengo la kufanya ufisadi...
Alisoma waraka ulioonekana wazi kwamba ulikuwa umeandaliwa kabla.
Katika waraka huo alidai kwamba kuna vyama vya siasa vinavyotumia fursa ya Mswada wa kutunga Katiba mpya kujijenga kisiasa...
Kuna wakati nimesikia bungeni swali likiulizwa kwa mwanasheria mkuu endapo kuna kesi zozote pending kwa DPP na jibu lililotoka likawa ni kwamba kesi zipo na zitawekwa wazi karibuni.Mimi sikutilia...
TAASISI ya kimataifa inayojishughulisha na tafiti za Utawala Bora, Jopa ( JPF), imesema taifa litakumbwa na anguko la uchumi la asilimia tano katika mwaka huu wa fedha kutokana na tatizo la...
Muswada mpya wa katiba ni kielelezo kuwa Chama Cha Mapinduzi bado hakiko tayari kuleta usawa na haki katika taifa hili.
Wakati wengi wetu wakijawa na matumaini kuwa huenda kukawa na mabadiriko...
tunajua tz ina majumbo mengi hivo wabunge wengi,inakuwaje zitto,halima,lisu nawengine wanaongea angalau mara 3/wiki,,ilihali wabunge wengine hasa ccm hawaongei kabisa wanasubiri kusaini...
hii ndio kamati kuu ya ccm-CC itakayochuja majina wa wagombea Urais 2015 na kubakiza watatu(3) watakaoenda NEC. VIONGOZI: 1. Wilson Mukama,2. John Chiligati, 3.Vuai Ali Vuai, 4.January Makamba...
Mwenyekiti wa CCM,ndugu Yakaya Kikwete amedai kuwa moja ya maamuz ya mkutano mkuu ni kuwataka watuhumiwa wa ufisadi wajiondoe wenyewe kwenye uongozi wa chama na iwapo watakaidi watawajibishwa(na...
Niliwahi kusoma kitabu cha jamaa mmoja anaitwa Kainerugamba. Kati ya mambo mengne mwandishi alitoa orodha ya majina kumi ya watu wenye vyeti bandia (digrii hewa).Baadhi ya MAFISADI wa elim ni...
wadau sijaona mtu akizungumzia kukamatwa kwa mpambanaji wa ukweli kule Uganda Dr. Col Kizza Besigye, akiwa anatembea toka nyumbani kwake akielekea ofisini. wanadai wamemkamata kwa kosa la kuwata...
Wana JF naomba mpasue majipu ya wafuatao kwa ganzi au bila ganzi kwa wafuatao:
Hawa wote ndio waliowahi kushika wadhifa wa UKATIBU MKUU WA CCM tangu kuanzishwa kwake.
Je nao walikuwa magamba...
Wadau jana usiku nec - cc ya ccm wametangaza rasmi orodha viongozi wapya wa ccm
Shaka yangu ni kuhusu Mukama ambaye kachaguliwa kuwa katibu mkuu - kwa kawaida nafasi hii hupewa mtu ambaye ni...
Kufuatia vikao vya CC na NEC ya CCM, nimeonelea nimpongeze JK kwa vitendo kadhaa vya kijasiri.
Kumpatia nafasi ya uenezi Nape Nnauye ni kitendo cha kijasiri kwa maana Nape haivi na Ridhiwani. Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.