Kuna wale wanajf wanaotoa thread kibao za kuonesha kuwa LOWASA ni Rais wa TZ 2015 mmeingia mtini? Naona swahiba wake jk kamfungia vioo Dodoma. Kapewa siku 90 kujiondoa kwenye NEC. Yeye na Rostam...
Naomba tumpe heshima anayostahili Mzee Wetu Rashid Mfaume Kawawa mmoja wa Waasisi mahiri kabisa wa Taifa letu. Natumaini wote tunakumbuka kuwa Simba wa Vita aliaga dunia katika Hospitali ya...
By In2EastAfrica - Wed Apr 13, 1:41 pm
National Assembly
The government said on Monday that the power crisis was not the only factor behind low revenue collections in the country...
Baraza la Madiwani Jiji la Arusha limepitisha bajeti ya zaidi ya Sh. bilioni 48.1 kwa mwaka huu wa fedha wa 2011/ 2012, licha ya madiwani 11 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema )...
naomba niwape tofauti kati ya chama maarufu, chadema, na chama tawala, ccm- ambacho kitakufa hata kama wakibadilishana nafasi.
chadema:
1. wasema ukweli daima na hali halisi ilivyo, na...
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) iliyokutana tarehe 10 Aprili 2011 mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM, Mhe. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Pamoja na maazimio mengine yote, imeona hali ya...
Mara nyingi wakati wa uchaguzi mtu humpigia kura mtu amtakaye awe kiongozi wake akiwa ana sababu mbalimbali, Pia huwa na mtu ambaye asingependa kabisa awe kiongozi wake kiasi kwamba hata...
Tanzania ni nchi tajiri sana ina madini kama gold,diamonds,tanzanite,uranium,shaba na pia 2na misitu kila pande ya nchi,tuna mbuga za wanyama za kutosha tu ambazo ni kivutio kwa watalii kutoka...
kwenye RaiaMWEMA la leo, kuna habari yenye kichwa "Rostam, Lowassa wakatwa miguu". Kwenye habari , inaeleza kwamba Mwanasheria Mkuu Jaji Frederick Werema aliharakisha kuanguka kwa watuhumiwa wa...
Israel Mgussi,Dodoma
NAIBU Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe, amekipongeza Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwapatia vijana nafasi katika uongozi wa sektretarieti na kamati kuu ya CCM...
Inasemekana kwamba wajumbe wengi wa NEC ya sasa wanahongeka kirahisi kiasi kwamba mzee wa Kaya ameamua kuwatema 'wahongaji' hodari; na hapohapo ikapendekezwa kwamba wajumbe wa NEC sasa watatoka...
Napenda kumtahadharisha mzee wangu sitta kuwa ccm hawamtaki ni bora akijiondoa mapema kwa heshima kabla fedhea haijamkuta
hii inathibitishwa na kutochaguliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu na wajumbe...
chama cha demokrasia na maendeleo siku ya jumamosi kitawasha moto maeneo mbalimbali kupinga mswada mbovu ulioletwa serekiali juu ya uundaji wa katiba nikwaa maeneo ya udom jana maeneo coed...
Nimekuwa nikisikia waheshimiwa wabunge wametoa mali ama fedha zao binafsi kwa ajili ya kusaidia huduma za jamii.Hili hunishangaza sana.Naomba kuuliza wakuu katika JF.Je hii si aina ya rushwa?. Kwa...
Kwa nini kila analofanya linaonekana baya machoni mwa watanzania
Nyerere alimwambia kuwa nchi haiwezi kuongozwa na bepari kama yeye, kwani kuwa tajiri ni kosa?
Kikwete akamwambia asante kwa msaada...
Napenda kunukuu yaliyowahi kusemwa na aliyekuwa Waziri Mkuu JMT hayati Sokoine kwamba;
1. TUMERUHUSU walanguzi na Wahujumu uchumi kuongoza nchi
2. Walanguzi na Wahujumu uchumi ni maadui wa taifa...
Mrithi wa Makamba aingia na moto
Katibu Mkuu huyo ambaye ana kibarua kigumu cha kusafisha chama na kukirejesha katika misingi ya waasisi wake tangu enzi TANU na CCM ya mwaka 1977, alisema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.