What Chelsea's Fernando Torres wouldn't give for a goal celebration
The £50m striker has lost the sense of himself as one of the elite strikers and is having to recover it under fearsome...
Source: The citizen, Wednesday, 13 April 2011
By Mkinga Mkinga
The Citizen Reporter, Dodoma.
The newly reorganised Chama Cha Mapinduzi (CCM) yesterday pledged to cleanse itself by making...
Chama cha Mapinduzi ni sawa na gari kuukuu linalotoa moshi mwingi, na fundi makanika anajaribu kufanya tune up haisaidii ndo linazidi kutoa moshi zaidi na kushindwa pass ya emission test.
Nyoka...
Wednesday, 13 April 2011 20:53
Midraji Ibrahim na Joyce Mmasi, Dodoma
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, amesema watuhumiwa wa ufisadi ndani ya chama hicho, wanapaswa kusahau...
Wednesday, 13 April 2011 20:59
Raymond Kaminyoge
Mwananchi
MSAIDIZI wa Rais Jakaya Kikwete, katika masuala ya Siasa, Rajabu Luhwavi jana alikamatwa na polisi na kufikishwa mbele ya Baraza la...
Chama Cha Mapinduzi kwa mara nyingine kinawahadaa walipa kodi kwa kusema kwamba viongozi Mafisadi waliojikita ndani ya chama hicho na kukifadhili wataachia ngazi walizonazo na kukiacha chama hicho...
The Parliamentary Accounts Committee, PAC, under the chairmanship of the Bariadi East Member of Parliament (for the United Democratic Party), Mr John Cheyo has critically examined the Ministry of...
Wakuu,
Nipo maeneo ambayo huenda nikawapasha kidogo juu ya nini kinaendelea hapa, naweza kuwa natoweka online lakini nitawapa dondoo za kinachoendelea.
Wakuu hapa wanajadili nini kifanyike dhidi...
sijawahi kuwaona mama karume akibadilishana mawazo au kutembelea na mama nyerere.w
sijawahi kumuona mwanasiasa machachari Makongoro Nyerere kukutana na familia ya Karume.
MAMA KARUME HUMUONA SANA...
* Yajipanga kutumia Mungiki kuvuruga amani
NA MWANDISHI WETU
Gazeti la Uhuru
WAKATI CHADEMA ikitangaza kuanza maandamano ya nchi nzima kupinga muswada wa kuruhusu kuundwa tume ya kupokea maoni...
Wakuu, hivi ile report ya milipuko ya Gongo la mboto "GOMZ" itakuwa tayari? Maana waziri wa ulinzi Mwinyi alisema anaisubiri kisha atachukua uamuzi? I dont know when it will be out, ama tayari...
Standard Three pupils of Chinyarira Primary School in Nanyumbu District, Mtwara Region, while away the time outside their classroom, as captured by our correspondent yesterday...
Kauli ya bisamia kwa wazanz waliopinga muswaada wa katiba ni uhuni.
kweli hii ni kejeli, mangapi uliowafanyia waznz mabaya?
1)kuifisidi hoteli ya bawani wakati akiwa waziri wa bishara na utalii...
Ni dhahiri kwamba tetesi za mbio za urais 2015 zimetawaliwa na majina mengi ya watu wa bara,Je sarakasi zilizomwengua Dr.Salim 2005 zitavumiliwa na wazanzibar au ndiyo ukomo wa muungano?
Nyerere, Baba wa taifa anahutubia waandishi wa Habari kwenye kipindi cha hotuba maridhawa Sibuka TV, anazungumzia mambo mengi muhimu ambayo leo yanalisumbua Taifa. Wanasema kipindi kitarudiwa...
Natabiri kifo cha CCM 2011-2012,
1. JK Hawezi kumtosa EL wala RA Na ikitokea akafanya ivo na yeye ndio mwisho wake, labda RA kidogo anaweza kutoswa,
2. Akishindwa kuwatoa atatolewa yeye na wao na...
Baada ya kuvuliwa gamba.
kuna sehemu alisema "Sisi wadogo tumejiuzulu ili kukinusuru chama, ila walipaswa na viongozi wa juu wajiuzulu pia"
Kauli hii inautata wakuu. Viongozi wake wa juu ni...
Wanajamvi:
Inavyoonyesha kwa RA na rafikiye EL ni kwamba the game is up -- yaani ndoto zao huenda zikawa zimeyayuka -- ndoto za kutawala nchi hii baada ya JK ambaye sasa anawatosa.
Kwa hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.