Waandishi Wetu, Dodoma
Aprili 13, 2011
Yumo pia Chenge, sasa watakiwa kujiuzulu
Werema, Malecela, Meghji wawamaliza
Richmond, Kagoda na Rada zawaponza
UNAWEZA kusema kwamba huu ni...
Ni hivi majuzi tu, Bwana JK alitangaza CCM kujivua Magamba kwa kuwatimua baadhi ya viongozi.
Mimi nasema CCM kujivua magamba tu haitoshi ila naona ni bora mjichune ngozi kabisa ili kuhakikisha...
President Jakaya Kikwete is set to announce a bail out package worth billions of shillings to rescue local companies that have been hit hard by the global economic crisis.
The Government's...
wadau nimejaribu kuperuzi siajona thread ya mtu akiwasifu CCM kwa hatua waliofikia ya kujisafisha mbele ya watanzania, naomba niwe wa kwanza kuwapa BRAVOOOOOOO
wamesikia kauli za walalahoi na...
Ndugu wana JF
Ninahitaji kujiunga na chama cha siasa hapa kwetu. Lakini, kabla sijafanya maamuzi ni chama kipi nijiunge nacho, inanibidi nitizame nyuma ya pazia la kila chama cha siasa hapa...
MTANZANIA
www. newhabari.com/2011/04/10/katiba-yatikisa-nchi/
Ikulu yakanusha uvumi
Hata hivyo, akizungumza na Mtanzania Jumapili, Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Salva Rweyemamu, alikanusha...
Tanzania ni nchi ambayo watoto wake wengi hawana future kabisa; wala hawafundishiwa kuwa binadamu wengi wa leo hawaishi kwenye mapango au chini ya miti.
Standard Three pupils of Chinyarira...
Kuna tetesi kwamba baada ya Chama Tawala kuona RA anatafuna kila senti ya serikali na wananchi wake kwa manufaa yake binafsi bila kugawana "kikamilifu" na wenzake, huku Chama kikichukua LAWAMA...
Juzi katika kile CCM ilichoita kujivua gamba, nilimsikia mzee Chiligati akieleza bayana kuwa wale watu wote wanaotajwatajwa kwenye kashfa za Richmondi na Dowans wajipime na kuchukua hatua za...
*Wapeleka ujumbe wa NEC mkoa kwa mkoa
*Nape asema watapambana hadi washinde
Na Edmund Mihale, Dodoma
CHAMA Cha Mpinduzi (CCM) kimeanza ziara mikoani kupeleka ujumbe wa
Halmashauri Kuu ya CCM kwa...
Mwalimu Nyerere aliweka msingi wa taifa. Mwinyi alijitahidi kwa uwezo wake kutupeleka mbele lakini nadhani kwa upole wake aliwaacha watu wakachezea nchi kwa rushwa wanavyopenda na nchi...
Baada ya majivuno makubwa kuwa CCM imejivua gamba, leo Mh. Mnyika wakati wa kipindi cha maswali kwa waziri mkuu, alimtaka aeleze kama atakuwa tayari sasa kuzungumzia kashfa ya MEREMETA. Waziri...
Toka juzi habari iliyotawala vyombo vya habari ni ile ya CCM kudai kwamba imejivua gamba, nimetafakari kwa undani juu ya kauli hii nikagundua ni usanii mtupu. Wameamua kuchua mbuzi wa kafara...
Sorry kwa wale ambao sio wahusika,
Haihitaji tena kufikiria sana. Ni wazi kuwa probability ya kufanyika uchaguzi wa 2015 kwa katiba tuliyo nayo sasa ni zaidi ya 90%.
Naamini kuwa kwa kiasi...
Wadau nawasilisha hoja barazani la kulitaka bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutuomba radhi walipa kodi wa nchi hii, wapiga kura wao na wenye maamuzi makubwa dhidi yao kabla...
Tatizo la chama kukaa madarakani muda mrefu ni kutokea recircling. Walewale vijana wa makamba, Nauye, Mwinyi na wengine ndio utawaona kwenye system. Ukienda balozi za nje utawakuta vijana wengi wa...
Kimsingi,nimelimiss sana Bunge la Tisa lililoongozwa na Samwel Sitta kwakuwa lilikuwa Bunge la viwango(mijadala motomoto kwa mustakbali wa Taifa letu).Hili la sasa limejaa vijembe na miongozo ya...
JK kwa jinsi alivyo; alikuwa anawanadi RA, EL, CHENGE, na PESA MBILI (Kichaga besa iwiri) kuwa ni watu safi afu leo anasema ni wezi si ujuha huu? mshikaji ni ndumila kuwili.
Matukio ya wiki hii, hasa hili la CCM "kujivua Gamba" linastahili pongezi .
Kwa muda mrefu sasa waanzishi wa malumbano ndani na nje ya JF wamekuwa wakiifuatilia kwa makini sana muelekeo wa CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.