kikwete ameyapa mafisadi siku 90 wajiondoe wenyewe kwenye uongozi wa chama, hii sioni kama ni sahihi kuwapa mda ilitakiwa waondolewe kwa aibu ili wajutie matendo yao mabaya walio tendea Wa Tz
Kama kuna chama cha siasa kilichoshindwa kusoma alama za nyakati kisiasa,basi chama hicho si kingine ila ccm.Chama hiki hivi karibuni tumeshuhudia kamati ya sekrearieti ya chama ikijiuzulu ktk...
Na Jabir Idrissa
MUSWADA wa serikali wa Sheria ya Marejeo ya Katiba wa Mwaka 2011, umeelezwa kuwa ni kitanzi kwa wananchi.
Unazuia wananchi kujadili mambo makuu yanayogusa maisha...
Wana JF
Napendezwa sana na utendaji wa CDM katika kumkomboa mtanzania maskini, na tanzania kwa ujumla. Ningependa sasa elimu ya uraia ya chadema iwafikie watu wote hata waliopo vijijini. Je kuna...
huyo katoka ikulu moja kwa moja jela
ni bora kutenda haki kuliko aibu kama hii
sio kwamba tanzania haita tokea, hapa itachukuwa muda lakini itatokea tu, kama wezi wa epa na futa msamaha wako kwa...
Wakuu nadhani mtamkumbua yule mkuu wa wilaya huko bukoba aliyewachapa walimu kwa uzembe wa kuchelewa na kutofundishwa mwaka juzi.Huyu mweshimiwa nimemkumbuka sana,anafaa sana awepo bunge kwa...
Hivi hii ina maana gani. Nilivyoona kamati mpya za CCM hii idara sikujua kuwa inawakilisha CCM kimataifa (ulimwenguni) Nilizania ni mahusiano kati ya CCM na vyama vingine? Ina maana kila chama...
Yawezekana ama kweli wameanguka kisiasa au ni mchezo wa kuigiza. Vyovyote ilivyo, kuna mabadiliko katika maisha yao ya kisiasa na kiuchumi na uwezo wao wa kuwezesha mawakala wao wa kisiasa na...
Wanabodi,
Leo siioni TBC live ya Bungeni, wenye access na Star TV tuambiane kinachojiri, na kibidi mtupatie update ya maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu, na ni utaratibu, swali la kwanza...
Na Thaddeus Musembi
Katika mafundisho ya Bibilia na yale ya Katoliki neno injili humaanisha masimulizi yahusuyo maisha na habari za Yesu Kristo. Katika uasilia wake neno injili humaanisha...
sio siri chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwasasa lakini kimekuwa kina kashfa nyingi sana kama vile swala la udini,ingawa walijaribu kumuita kundini prof safari ili kufuta dhana ya udini...
Sijaelewa mantiki ya CCM kuammua kwenda kwa wananchi, nchi nzima kujitangaza kwamba imejivua gamba (CC na Sekretarieti bila shaka ndo vilikuwa gamba) wakati mambo kadha wa kadha yanabaki bila...
Wana JF
Leo nilipata nafasi kupitia ofisi ya CCM nikawakuta wanachama wakijadili mabadiliko yaliofanywa na CCM kwenye uongozi wake. Wengi waliokuwa wanachangia walikuwa wanamtaja Slaa kama...
Hellen Hunter
Nyerere's role in the affair is less clear. In mid-1963 when Hanga and several other ASP leaders first approached him for arms and financial support, the Tanganyika President...
na Mauwa Mohammed, Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeanzisha mpango wa utoaji wa gesi ya kupikia bure kwa wananchi kama moja ya hatua za kudhibititi ukataji wa miti katika...
Binafsi nimekuwa mpenzi na msomaji mzuri sana wa hili Gazeti tangia lilipoanzishwa na ilikuwa ni lazima kila wiki ninunue Nakala yangu.Ilifikia hatua nikalichukia nakuacha kulinunua kabisa sababu...
Kitendo cha kamati na halmashauri kuu ya CCM kuamua kuwachukulia hatua E.L; R.A; na E.C bila ya kutoa kwao kwanza orodha ya mambo wanayotuhumiwa nayo na kuwataka kuwasirisha utetezi wao kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.