Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
IVI WANA JF WALE WABUNGE WA CCM WAKO SAWA KWELI KIAKILI WAKIONGOZWA NA HAWA WAFUATAO:- ANA KIMLANGO - BINGWA WA ZOMEA ZOMEA MUSTAPHA MKULO - LUGHA ZA KEJELI KWA WANANCHI SOPHIA SIMBA - BINGWA WA...
0 Reactions
1 Replies
881 Views
Wanabodi, Ile sintofahamu ya Muswada imemalizika, Wenye access watch TBC Live Now!. Spika ametangaza Kamati ya Sheria na Katiba imeomba marekebisho kadhaa ikiwemo kuletwa kwa lugha ya...
14 Reactions
111 Replies
9K Views
Kuna taarifa kwamba viongozi wakuu wa Chadema wametinga mkoani Tabora kwa mkutano wa hadhara. Katika mkutano huo, viongozi wakuu wa Chadema wakiongozwa na Dk. Willibrod Slaa, Mabere Marando...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Shitambara ameiona NGUVU ya UMMA aachwa akisikilizwa na wana CCM wenye mashingingi ,ikiwa kwenye mkutano Uyole alikuwa akisikilizwa na wanachi nadhani wana CCM wachache pemeni kukiwa na...
3 Reactions
159 Replies
15K Views
Events (dear boy) are the joker in the game of politics . Former Premier Edward Lowassa's apologies for the Richmond (Richmonduli) fiasco yesterday were as handsome and dignified as they could be...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Nimejiuliza hili swali kwa wiki tatu zilizopita, tangu Muswada wa marejeo ya katiba uwekwe hadharani. Swali hili moja linalonijia ni: - Iwapo kitu kikubwa kama Muswada wa marejeo ya kutunga...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Maandamano yalikuwa yamepangwa kufanyika kesho nchi nzima, ili kupinga muswada wa katiba wasitishwa na m/kiti wa cdm mh. f.mbowe. Hii ni baada ya spika kuutoa usijadiliwe bungeni. Source. TBC...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Heshima yenu wana jamvi! Waswahili usema mwisho wa ubaya ni aibu, na malipo ni hapahapa duniani. Siyo siri HOT NEWS ndani ya wiki hii ilikuwa ni ccm na kujivua gamba. Baada ya vutanikuvute huko...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Wadau kuna habari kubwa ukurasa wa mbele wa gazeti la Jambo Leo la leo kwamba maandamano ya kesho ya mikoa kumi yaliyoandaliwa na chama kikuu cha upinzani chadema yamefutwa na hayapo.Ninaomba...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Watanzania tunashuhudia mabadiliko chanya yanayotokea ndani ya CCM. Kwa watu wenye nia nzuri na nchi kwa vyovyote vile watakuwa wanayafurahia.Kwa mtazamo wangu mabadiliko haya yamesababishwa na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Na Edmund Mihale, Dodoma MZIMU wa Kampuni ya Meremeta uliibuka tena bungeni Dodoma jana, baada ya Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Bw. John Mnyika kumtaka Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda kuwataja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
HALMASHAURI Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imemuagiza Katibu Mkuu wa chama hicho, Wilson Mukama, kuwaandikia barua viongozi wanaotakiwa kujiuzulu kuwafahamisha kwamba, kama...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jana asubuhi tar14 april,nimefika bodi ya mikopo pale Tirdo Complex Msasani,nkapewa taarifa kuwa kuna wizi umetokea ambapo mlinzi alivamiwa na wezi na kumtaka anywe chai waliyokuja nayo,badala ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya kusikika kelele kubwa dhidi ya serikali pale walipozuia magari ya Ndesamburo kupeleka wagonjwa kule Semunge kwa babu, mainzi wakali walijitoma kusaka chanzo cha timbwili hilo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimesoma kwa haraka haraka ripoti ya CAG ya mashirika umma. Naandaa uchambuzi yakinifu nitauleta next week. Kwa huo uharaka nimegundua kuwa NSSF imetajwa sana kwenye mapungufu mengi lakini PPF...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Chama cha magamba kinanishangaza sana badala ya kuvua gamba ili waweze kuisimamia serikali iwahudumie wananchi ipasavyo wao wanalenga kushinda uchaguzi. Huku ndio kutufanya watanzania wote ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutokana na mwenendo wa mswaada wa kubadilisha katiba naona kuna kamchezo CCM na serikali yake wanacheza kuwaadaa watanzania kuhusu katiba mpya. Mimi naona CCM na serikali yake haina nia ya kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF Wengi watakuwa wanajua kuwa RA na wenzake ni vinala wa ufisadi EPA, KAGODA, RICHMOND na DOWANS MEREMETA ETC. Lakini ninachokiona ni kuwa ccm imeandaa mbinu ya kupoteza ushahidi wa hawa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau kutokana na tunachokiona ,leo serikali imejitokeza na kutuma ujumbe mkubwa ukiwahusisha mawaziri,mwanasheria mkuu wa serikali pamoia na makada waandamizi wa ccm kwenda kwenye vituo vya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Imenibidi nijiulize hili swali coz alianza kwa kuivunja serikali yake baada ya kugubikwa na rushwa pamoja na ufisadi sasa amevunja secretary ya CCM aliyokua akiiongoza yeye na msema hovyo makamba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom