Wanasheria wa JF naomba muongozo kama kuna sheria inayorushusu Spika Makinda a.k.a Mama Kiroboto kufukuzwa Uspika au kusitishwa kutokana na Tabia yake ya Kupendelea chama au kutetea chama badala...
Jana nikiwa ubungo mataa trafic alizuia magari, kisa msafara viongozi wapya wa ccm wanapita huku wakisindikizwa na pikipiki ya polisi huku ikipiga king'ora ikifuatiwa na Landcruiser V8 Kama 6 (new...
CCM wanajipanga kuwanasa vijana na kuwarudishia iman iliyopotea. Wanajisafisha na kuendelea kujipanga. SWALI, "VIJANA GANI WANAKAMATWA"? Ambao wana haja ya kuendelea kufanywa watoto?. Days are...
Eti leo hii CCM.... wanavua magamba.. kisa UFISADI....... MKAMUONDOA SAMWELI SITA... mwenye uchungu na nchi hiii kwenye uspika aliyekua akipinga huo huo ufisadi.... Haingii akilini leo mwajivua...
Habari za kazi na weekend ndugu zangu wana jamvi, kuna habari zakusikitisha sana kutoka katika vyanzo vinavyoaminika katika halmashauri hii ya kigoma, kiukweli halmashauri hii imekua ikitumika...
Ujenzi wa kiwanda cha magadi Ziwa Natron ni wa kuutilia shaka
2007-10-11 10:18:38
Na Johnson Mbwambo wa JET
Mwingereza mmoja mwenye asili ya Ireland, John Nolan, alipata kunukuliwa na gazeti...
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM), Kimeanza staili mpya ya kujijenga kwa wanafunzi wa shule za sekondari huku makamu mwenyekiti wake, pius msekwa akidai kwamba chama cha upinzani cha chadema kimeanzisha...
CHADEMA ndio style mpya, Ni kweli pia kwamba chadema ni chama makini, lakini chadema si chama makini kwa watu makini tu ila kwa watu wote.
Watu makini wote wako CHADEMA, kama nawe ni makini...
UMOJA wa Kiislamu (Istiqama) Mkoa wa Dares Salaam, umemtaka Sheikh Mkuu nchini, Mufti Shaaban bin Simba, kuacha kuvishambulia vyama vya siasa vinavyoikosoa serikali na badala yake ashughulikie...
Watanzania wanaishi kama shida na taabu za umasikini mkubwa sana.
Watanzania wengi hawajui kesho, jana afadhali.
Zitto amefichua na ametuambia watanzania kuwa kuwa ujanja ujanja kwenye hela...
nipende kuuangana na watanzania wenzangu kukupongeza kwa uamuzi mgumu uliouchukua wa kusafisha chama cha mapinduzi,kwa mtu yoyote aliyekomaa kisiasa na mwenye busara hawezi kushindwa kutoa pongezi...
Nimekuwa nikijiuliza mbona makampuni mengi ya kizalendo hayabadilishi majina kama yanavyofanya makampuni mengi ya kigeni yanayoendesha shughuli zake hapa nchini.Nimegundua makampuni mengi ya...
A TOTAL of 3.7bn/- from 14 Tanzania Embassies is reported to be unaccounted for in expenditure anomalies revealed by the Controller and Auditor Generals (CAG) report.
The Embassies are...
na Hellen Ngoromera na Irene Mark
UMOJA wa wanachama wa Chama cha Mapinduzi kutoka vyuo vikuu nchini, umesema hatua ya CCM kujivua gamba kwa kufanya mabadiliko ya kiutendaji haitoshi kwani...
Hi Wanajf! Ninakubaliana kabisa na kuondolewa hati ya dhalula iliyoambatanishwa na muswada wa mabadiliko ya katiba ili watu wengi zaidi wapate fulsa ya kuuchangia. Jambo ambalo bado sijalidhika...
chama cha kijana ambocho kinaongozwa na koo sita chaogopeka kwa wananchi .chama mapiduzi huongozwa vyombo viwili ambavyo ni cc na necchama hiki huongozwa na koo zifuatazokoo zenye ushawishi wa...
Lengo la kuomba kazi ktk chama tawala ni baada ya kuona kwamba, chama hiki kikongwe hakijui tatizo lake. CCM hawajui matatizo yao kwa kukosa watu wenye ufahamu au kwa kukosa watu wenye kusema...
kama ilivyo dhana ya utawala bora,bunge linapaswa kuwa chombo huru kwa maana ya kazi zake na hata kalenda ya mambo yake.kinachonishangaza bunge letu ni kama serikali tu. hivi kwa nini waziri mkuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.