Ina semekana kuwa Lowasa, Rostam na Chenge wana asilimia 60 ya mawaziri, asilimia 70 ya wabunge wa CCM, asilimia 50 ya wakuu wa mikoa, 50 ya makatibu waku, 60 ya majaji, asilimia kubwa ya watu...
Asubuhi hii Paul Makonda (UVCCM- Moshi Mjini) karudia maneno yake ya jana kupitia ITV lakini kwa msisitizo mpya kuwa RA akionwa popote AOMBWE KWA UPOLE aondoke nchini kwani ndiye chanzo cha...
hadhi na heshima ya taifa letu imekuwa ikishuka siku hadi siku na hali imefikia kiwango ambacho huwezi kujisifu kuwa raia wa nchi hii. Viongozi wetu wameondoa mapenzi yetu dhidi ya taifa letu...
Nimewaandikia nyinyi nijua huwa mnapita humu ndani. Sasa basi nyie waheshimiwa hamuoni umhimu wa kuwa na chombo cha habari cha CDM ambacho kitatujuza mambo ambayo hatuyapati. Mfano ni jana tu...
WANA JF, NAANGALIA CHANEL TEN, MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AMETANGAZA KUUFANYIA MAREKEBISHO MAKUBWA MSWADA HUU ULIOLETA TAFLANI HIVI KARIBUNI. MAMBO AMBAYO AMETANGAZA WAZI YATAREKEBISHWA, NI...
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO(CHADEMA) ni cham chenye haki zote ya kukamata dola kwa kuwa na watu makini na wenye uelewa mkubwa wa maendeleo ya nchi yeu kwa ujumla
Kweli katika ahadi zao ni...
Why does that old tyrant Nyerere look so good today? Well, just look around you...
By JENERALI ULIMWENGU
Posted Monday, April 18 2011 at 00:00
THE EAST AFRICAN
The third Mwalimu...
jana kwenye mkutano wa ccm na wana vyuo kada mkongwe mzee kingunge na wenzake waliwashauri vijana ambao ni makuhadi wa ufisadi kuwa watashonewa mashati ya kijani ili wavae kwenye mihadhara au...
WAZIRI KIVULI WA KATIBA NA SHERIA AKISHIRIKIANA NA WABUNGE WOTE WA CHADEMA KWA SAUTI MOJA NA UHAKIKA WAMEDHIHIRISHA KWAMBA WAPO KWA MANUFAA YA WATANZANIA NA KUHAKIKISHA UTAWALA BORA WA VITENDO...
Ukifuatilia hoja za viongozi wapya wa ccm kuhusu mjadala wa kwamba wanaotuhumiwa ufisadi wajiondoe kwenye chama ama wataondelewa,ni kuwa wao wanaofikiria ni tofauti na wananchi wanaowashutumu...
What next after CCM changes? Sunday, 17 April 2011 09:35
By The Citizen Reporters
Dar es Salaam. Despite making changes to its secretariat and central committee, CCM faces difficult times...
Kwa kweli nashindwa kuelewa serikali yetu chini ya mhe Kikwete inaelekea wapi. Kwa sasa mafuta ya aina zote namaanisha dizeli, petrol na mafuta ya taa ni sh. 2000 kwa lita. Sasa najiuliza anakuwa...
nimefuatilia kwa umakini swala la ccm kujivua gamba. nimegundua kwa mara nyingine washauri wa jk wamempotosha kweli. na safari hii wamemtumbukiza shimoni. katika kuwaondoka mafisadi katika uongozi...
Nimekuwa nikifuatilia mwelekeo wa hii kamati kuu mpya ya CCM tangu iingie madarakani, kwa sasa ina muda kama wa siku saba hivi, na kwa upande wangu nimeona yafuatayo.
Uropokaji na kuongea bila...
Natambua kuwa CCM ni chama chenye sheria,taratibu na kanuni zake.Nafahamu pia kuwa kama chama huru (hata kama kumekuwa kikiwakumbatia mafisadi kukiendesha) kina mamlaka na uhuru wa kufanya mambo...
haina ladha kabisa.
kila kitu wanachojaribu kubuni kuwashawashi Watz kioaonekana ni kioja kama si kiroja. kama hii ya kujivua ga,mba ilionekana kama itakuwa kitu maarufu, lakini kama mimi binafsi...
Mwanzoni mwa miaka ya tisini, nikiwa kijana mdogo kabisa kambini kwetu akaja mgeni. Mosses Nnawie. Kulikua na shuhuli fulani ya kijeshi.
Mosses Nnawie alikuwa mhamasishaji wa chama ndani ya...
Jamani wana JF ukistaajabu ya musa utaona ya firauni, Ile siku mkuu alipokuwa anazindua ile barabara ya kutoka mwenge kwenda tegeta ya kilometa 13, kuna watu walimchomekea kwamba eti pale jangwani...
Ndugu wadau, gazeti la mwananchi la jana, 16/4/2011 lilikuwa na habari kuwa, yale majigambo ya ccm (nape) kuwa wamepokea wanachama 670 pale nyerere square dodoma kumbe walikuwa ni wanafunzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.