Kuna hoja tundu lisu ametoa kuwa suala la usimamizi wa mahakama lisimamiwe na bodi maalum na siyo kisiasa. Limeleta mvutano na kusababisha kupiga kura kwa kusema ndiyo au hapana. Imeonekana kama...
Habari za kazi wana JF?
Ndugu zangu nimepata barua inayoelezea kuwa inatoka ofisi ya waziri mkuu, tawala za mikoa na serikali za mitaa, barua hiyo inaelezea kua wakimbizi woote wanatakiwa...
NYOTA ya Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, imeendelea kungara baada ya wabunge wa CCM kumchagua kwa kura 104 awawakilishe kwenye Halmashauri Kuu ya chama hicho (Nec)...
Thursday, 14 April 2011
* Lengo kudhibiti matumizi ya fedha
* Mukama: Mabadiliko si kujipodoa
* January: Kuvaa magwanda si ujemadari
* Nape ataka wapinzani kufungasha virago
Joseph Damas na...
Waungwana
Utaratibu unaotumika kupitisha vifungu wakati bunge linakaa kama kamati
haufai,speaker kuamua kwa kusikiliza sauti za ndiyo au hapana na pia wabunge kuulizwa mmojammoja inakuwa sio...
Ndugu zangu waTZ na wana CCM wapenda maendeleo naomba mnisaidie kuyajibu maswali haya ya msingi ili taifa letu liweze kusonga mbele na kufika pale tunapopataka.
1. Kuna majigambo ya siku za...
Wabunge 128 kati ya 350 (sawa na 36.57%) hawajahudhuria kikao cha bunge leo kinachoendelea Dodoma. Kura iliyopigwa leo kuhusiana na kifungu fulani cha sheria kimethibitisha hili. Najua kuna ambao...
Kuna taarifa kwamba wale watuhumiwa wakuu wa ufisadi, Lowassa, Rostam na Chenge, wameanza kuwekeza kwa nguvu ndani ya Chadema na matokeo yake yataanza kuonekana leo mjini Tabora ambako mwelekeo...
Wana JF,
salaamu.
Kwa hali inavyoendelea bungeni, mimi na mtazamo huu,
Wabunge wetu wanawakilisha vyama vyao, na si maslahi ya wananchi, kwa jinsi bunge linavyoendelea, wabunge hujadili hoja...
...mheshimiwa spika nadhani ni wakati sahihi wa ahadi ya rais kutekelezwa jimboni mwangu .
Naam! Hizi ndio kauli za wabunge wetu wakiwa bungeni wanataka ahadi za rais zitekelezwe majimboni...
Berlin Conference 1884/85 Scramble for Africa
Parcelling of land in Africa
search for scientific knowledge
Imperial ambitions
lines and sketchies a.k.a borders
Colonies
names negated
Traditional...
Jamani nimepitia website ya CDM, kwenye ile list of shame. Naona Mkulu alishiriki kuingia mikataba ya madini ambayo iliwaondoa watu kwa nguvu maeneo husika. Kumbe huyu mkulu ndo alikuwa engineerer...
Nikiwa najiuliza maswali mengi kuhusu kauli ya mzee Makamba na ufugaji wa kuku, kuku wa Makamba anaowasema kwenye kauli yake ni kuku kweli au ameamua kuuzalilisha ufugaji kwa kuuchukulia kuwa...
Wabunge wanaposhindwa kujieleza kingereza,Je ni tatizo?
Nashauri kamati ya Bunge kushirikiana Britsh council kuandaa msasa kwa wabunge kuweza kujieleza vyema katika lugha husika.:confused3:
namuheshimu sana mwenyekiti wangu F.E.M.
lakini Boys II Men yake na JKM ninahisi imekwamisha maandamano ya chama chetu.
agenda kuhusu ccm ni nyingi sana; sioni sababu kwa nini maadamano yetu...
Ktk hali ya kushangaza,nimekutana na habari ya kushangaza ktk gazeti la Mtanzania ambalo lilikuwa linampigia kampeni mzee kikwete,EL,RA,yani lile gazeti la kutetea ufisadi limesema ktk ukurasa wa...
KILOSA District Commissioner Halima Dendego inspects one of 50 power tillers bought recently by the district council that have been discovered to be sub-standard on Tuesday. (Photo by John Nditi)
Gazeti la Mtanzania la leo linalomilikiwa na mmoja wa vinara wa ufisadi ndani ya CCM na anayeshukiwa kuwa yumo kwenye orodha ya kutimuliwa ndani ya chama hicho......................gazeti hilo...
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewapasha wabunge kuwa anaongozwa na kanuni na si matakwa ya wabunge. Amesema hajafungwa kitambaa usoni kiasi cha kushindwa kufahamu anachokifanya anapoongoza vikao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.