Ni jambo la kusikitisha, toka kuanza kwa vyama vingi, hapajakuwako na chama chochote cha siasa kilichopendekeza mgombeya Uraisi wa Jamhuri ya Muungano, kutoka visiwani! Hii inatowa taswira gani...
Rais Jakaya Kikwete na Mwl Julius Nyerere
WASWAHILI wana usemi wao mashuhuri usemao fahari ya macho huwa haifilisi duka na kuona aghalab si kuchukua bali ni kutia macho nuru.
Semi hii ni...
Mama anasema kama si Afrika hata marekani na uingereza zisingekuwa na mafanikio waliyonayo,nadhani ilikuwa presentation hapo AICC Arusha...Food for thought,mnakaribishwa...
Ngozi Okonjo-Iweala on...
Great Thinkers,
Kuna hawa ndugu wanakwenda kwa majina ya Sir Ken Robinson, na Salman Khan ambao binafsi nawachukulia kama Great Thinkers.Hizi videos zao wanazungumzia issues za education...
Mimi ndugu zangu nina ombi. Kwa maoni yangu, hatuandiki Katiba mpya, ila mchakato wa kuiandika hiyo katiba ndiyo mpya, yaani utaratibu ndiyo mpya, hatujawahi kuutumia huko nyuma.
HAIWEZEKANI...
Nimejiunga na TANU Youth League mwaka 1969, na baadae TANU mwaka 1972, mimi ni mwana CCM tangu kuanzishwa kwake 1977 na ni mjumbe wa NEC
Zaidi: Fuatilia posts chini (in summary)
Sina uhusiano...
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imeibebesha Serikali mzigo wa deni la kampuni ya kufua umeme ya Dowans ikisema ndiyo iliyohusika na mkataba wake.
Serikali imekuwa ikidai...
CUF, NCCR wajipakaza uoza wa CCM
Na Mwandishi wetu
KAMA viongozi wa NCCR-Mageuzi, Chama cha Wananchi (CUF), Tanzania Labour Party (TLP) na United Democratic Party (UDP) wangekaa chini...
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UV-CCM), umemgeuka Rais Jakaya Kikwete.
Unamtuhumu kushindwa kazi. Unamtaka kuachia nafasi ya uongozi katika chama chake ili kuwepo mchakato wa...
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kuweka wazi kama imeshindwa kudhibiti ujangili wa wanyamapori, ili aliagize Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kufanya...
Na Maggid Mjengwa, (
"HAYO malumbano ni ya kwao, sisi hatuyajui, wala hatutaki kuyajua. Tunashughulika na kutekeleza Ilani tu maneno maneno kama hayo hayatuhusu, anasema John...
Msekwa: Sioni mgogoro UVCCM Wednesday, 30 March 2011 21:19 0diggsdigg
Exuper Kachenje na Ramadhan Semtawa
WAKATI mpasuko ukionekana kuongezeka ndani ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi...
Wanaboard wenzangu naomba kuuliza nini maana ya sheria?
Je sheria inakuwa sheria pale mtu/kiongozi anapodai kusimamia sheria au sheria hutungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na...
Last week President Jakaya Kikwete re-started his regional tours of government ministries and institutions to find out how they have fared since he last visited them in 2006 weeks after he was...
30 March 2011
DESPITE Tanzania being rated as the third largest gold producer in Africa after Ghana and South Africa, the country's earnings from the industry remain peanuts due to...
Ok sasa nisije kuwa natibua mambo; tuliambiwa tatizo la umeme linahitaji Dowans kuwashwa haraka na bila ya hivyo nchi itazidi kuwa gizani. Katika kauchunguzi kangu kadogo kanaonesha umeme...
Madini yetu yanaibwa kwa ustadi mkubwa, mchana kweupe, hata viwanja vya ndege vinavyotumika kutekelaza huo wizi vimetajwa. Mwizi ni mwizi tu. Mwizi wa meno ya tembo au mwizi wa madini...wote wezi...
Wre polite and progressive by day, more tibalist than even the Kenyans by night ..
Ukweli kama huu anaoweza kuusema Jenerali Ulimwengu ndio umewafanya watawala wengi kumwogopa...
Utangulizi
Hapa nataka kutoa summary ya mambo ya kuzingatiwa katika energy policy ya nchi, kama haya yamo kwenye policy yetu ya energy (If we have anyway) je kamati ya Bunge katika kuisimamia...
MPANGO wa wamiliki wa kampuni ya Dowans kuizunguka serikali na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ili kujinufaisha kiuchumi umegundulika.
Vyanzo vya habari vya gazeti hili vimesema Dowans...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.