Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
je kwa mtindo wa wanaccm kurumbana,staili hii CHAMA TAWALA hawawezi kujimaliza kisiasa wao kwa wao? habari kwa unyeti huwa nazidabika Unique Entertainment
0 Reactions
59 Replies
6K Views
wadau hebu tune itv televisheni zenu mcheki Sera za Mh. Rais wetu, Waziri wake wa Sera, Mipango na Uwekezaji Mary Nagu anawakilisha! Sijui atasema nini?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
28th March 2011 Zanzibar House of Representatives council secretary Ibrahim Mzee has said the decision by Chadema not to include CUF Members of Parliament in the Union Shadow Government...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Haipiti siku moja bila kuona posts za shutuma baina ya vyama - CCM hivi, CDM vile, CUF hivi na vile na posts nyingi katika hizi ni kushutumiana vurugu na udini. Sioni kama posts hizi zinaweza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MAWAZIRI Vivuli wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wameishambulia vikali serikali ya Rais Jakaya Kikwete juu ya utawala wake, huku wakimpa siku 90 Waziri wa Ulinzi, Dk. Hussein...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF CCM kumiliki baadhi ya majengo na viwanja kama vya mpira ambavyo vilijengwa na wananchi kushirikiana na serikali iliyokuwa madarakani je ni halali? MY TAKE; Je ccm kusema ni vyake na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika swala la ununuzi wa mashangingi ya bei mbaya kwa ajili ya viongozi sirikali waziri mkuu Pinda alishia kulalama tu. Hakuwa na ujasiri(GUTS/BALLS? kupiga stop. Katika swala la bomoa bomoa ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Uchaguzi wa wenyeviti wa mitaa na vitongoji katika jimbo la babati mjini umemalizika huku chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kikiibuka mshindi kwa kuongoza mtaa mmoja na vitongozi...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
naomba msome na kulinganisha na Tanzania yetu "When I was a boy I was told that anybody could become President; I'm beginning to believe it. ~Clarence Darrow ningependa iwe kwenye kiswahili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa UDP John Cheyo ameisulubu CHADEMA kwa kusema kwamba falsafa yake ya Nguvu ya Umma haina maana yoyote kwa watanzania. Cheyo amesema CHADEMA watambue kuwa Kikwete ndiye Rais halali...
0 Reactions
65 Replies
6K Views
Sasa imekuwa kawaida saana kila asubuhi watu kukejeli dini za watu humu jamvini na hasa waislam wakizidi kukejeliwa kila kukicha. Hivi sasa cha muhimu si hoja bali ni nani kazungumza na imani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
26th March 2011 Diamonds merchants in Shinyanga Region are cheating the government out of millions in unpaid customs and excise duties, by colluding with corrupt officials to spirit...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kulingana na kesi inayowakabili viongozi wengi na wabunge wa CHADEMA, kule Arusha ni busara kuanza kujiandaa. Wajiandae kwa matokeo ya aina zote; moja ni endapo watashinda kesi na pili ni endapo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema) amesema wiki hii itakuwa ya kihistoria wakati Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, litakapopitisha azimio la kurejesha mali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu Salaam, Katika ratiba yake ya kutembelea wizara mbalimbali, jana Rais Kikwete alikutana na Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma Mh. Hawa Ghasia na watendaji wa wizara...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara, amefika amechelewa, Zitto aliokoa jahazi kwa muda TMF forum na sasa anatoa hotuna kabla ya kukagua maonyesho ya picha
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Waingereza wafuatilia utendaji wa JK Send to a friend Sunday, 27 March 2011 05:46 Claud Mshana RAIS Jakaya Kikwete atalazimika kupunguza safari zake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Source: Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Orodha ya Mafisadi (List of Shame) B. USHIRIKI KATIKA KUTOA MAAMUZI YA KIFISADI 11. RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Rais Jakaya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za kuaminika ni kwamba Jaji Sivangilwa Mwangesi amejotoa leo hii kuendeshwa ile "kesi" baada ya kuombwa kufanya hivyo na utetezi. Mengine baadaye. Mahalu amkataa Jaji - Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mh Rais kwa heshima na taadhima naomba nichukue fursa hii kukupongeza wewe na waziri wako mkuu kwa kitendo cha kumdhihaki na kumvunjia heshima Mh. Magufuli, Kwakuwa mmeonyesha wazi kuwa hampo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom