Ndio wanafanya mkutano hivi sasa wanaongelea kuhusu hali ngumu ya maisha, kupanda kwa bei za vitu .wanasema eti inatokana na hali ya kisiasa zinazoendelea nchi za libya wanawaambia wananchi...
Amesema hivyo mbele ya waandishi wa habari aliporudi kutoka ulaya na India kutibiwa yeye na familia yake. Kwamba ni wajibu wa serikali kutibu viongozi nje ya nchi ili wawe na afya njema waweze...
Wazungu wamedanganya sana juu ya Africa na mwafrica kwa makusudi kabisa.John Hanings Speke 1860,anamweleza mwafrica hivi..kama alivyofanya baba yake huko nyuma ndivyo afanyavyo hadi...
Ndugu watanzania naomba mjue viongozi wetu walivyo wezi, jk na aliyekuwa mbunge wa bukombe (2005-2010) wanamiliki mgodi wa dhahabu ndani ya hifadhi ya Taifa ya KIGOSI kinyume na utaratibu. Hakuna...
MWANANCHI
Waingereza wafuatilia utendaji wa JK Send to a friend
Sunday, 27 March 2011 05:46
RAIS Jakaya Kikwete atalazimika kupunguza safari zake nje ya nchi na kutumia muda mwingi...
bahati mbaya jamani mimi siyo ngwini. siwezi kuandika vitu vingi. lakini ukweli ni kuwa tunakoelekea itakuwa ni aibu mtu kusimama na kusema ni mwana-ccm.
kama thread hii inaboa, please mods, take...
Kwa mara nyingine tena CCM kimetwaa kiti cha umeya ktk manispaa ya Sumbawanga baada ya meya wa awali kujiuzulu kutokana na "kashfa" ya kuwa na elimu ndogo.
Ktk uchaguzi wa mwaka 2005, JK alipita kwa zaidi ya 80%. Ktk kipindi chake cha kwanza kumetokea misukosuko mingi ikiwemo mjadala wa mahakama ya kadhi na OIC. Ktk uchaguzi uliopita, 2010, kura zake...
People RecordFrançais Português
Contact UsBrowse by TopicBrowse by Country
Name Sophia Simba
Surname Simba
First Names Sophia
Alternate Name Sofia Simba
Title
Country of Birth...
Kwa yoyote alie angalia vyombo vya habari ataona kabisa jinsi ambavyo CCM wanajikanganya juu ya rais ajae!na kwa maelezo ya Makamba utagundua ni kwa jinsi gani CCM hawamtaki Sumaye,kwani kitendo...
Jamani wanajamii nilikuwa naangalia kwenye skynews reaction za watu mjini london kuhusu "spending cuts" nikawaza na ikaniuma sana nikilinganisha na Tanzanaia yetu hapa:
1. watu wanaoutufadhili...
WanaJF, ingekuwa tz yetu ya siaaaasa nyingi na utendaji mdogo ingewezekana????
Here's the picture of the Road shortly after the earthquake.
Passing on the great Highway, it would seem that the...
wiki iliyopita nilisoma katika gazeti mojawapo kuwa katiba ni 2014.
Hapo nikapata picha ni usanii ambao umeshapangwa na watawala. Je watanzania tutavumilia tena upuuzi 2015 hadi 2020??
Ni hivi majuzi kulikuwa na fukuto ndani ya serikali kuhusu bomoa bomoa ya magufuli huku pinda akimpinga wazi wazi. Wanaharakati na wanazuoni wakamshauri magufuli ajiuzulu ili kulinda heshima yake...
Re: Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu ni tusi?Ndugu zangu, nimechelwa sana kujibu tuhuma dhidi yangu kwani ni mimi Dickson Amos Ng'hily ndo nilituhumiwa kumtukana Rais Kikwete....Nway...
Habari wana jamiiforum aka great thinkers. Mimi ni kijana mdogo nina miaka 25,sikupata kumuona nyerere uso kwa uso lakini alifariki nikiwa nina ufahamu mkubwa tu wa mambo mazuri aliyofanya katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.