Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Pamoja na kufanya shughuli za kila siku na za kimkakati katika kukijenga chama chenu, nashauri muanzishe kampuni kubwa ya uwekezaji na kuanzisha mashamba makubwa ya mfano katika sehemu mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sakata la kumuengua mlezi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Samuel Sitta, limeingia katika hatua mpya, baada ya Katibu wa CCM Mkoa wa Tabora, Iddy Ally, kumkana Mwenyekiti wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wapendwa wa jamiiforums, Ninatoka Ulaya, nilikuwepo Tanzania kutoka mwezi wa 7 mpaka mwezi wa 12, na sasa ninaandika kwa chuo kuhusu "Political Communication during the 2010 Tanzanian Elections"...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanasheria washauri Zanzibar kuunda tume ya mabadiliko ya katiba | MZALENDO.NET
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Lowassa amtwisha zigo Waziri Nundu Patricia Kimelemeta KAMATI ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, imemtaka Waziri wa Uchukuzi, Omary Nundu, kuwasilisha barua ya kupinga ujenzi wa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Source TBC1 news "Ticha" Makamba amesema aliosema kuhusu Sumaye ni maoni yake. Kuhusu mitandao na matumizi ya hela kwa ajili ya urais- CCM haina habari
0 Reactions
60 Replies
7K Views
Kinachotokea now ccm watu wanadhani chama kinaanguka,siyo kweli!!hayo ni mawazo ya watu ambao wamezoea kukandamizwa,and hawapo used na freely watu kama jamii kujieleza kile wanachoamini ndani ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ule mkutano kuhusu "Information and Accountability for Women and children" uliolengwa kufanyika Canada mwezi Mei na hapo kuunganisha ziara ya kiserikali ya Vigogo wa nji hii umeyeyuka hadi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
BARAZA Kuu la Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT), limewaonya baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao wameanza kujipanga na kuweka mikakati binafsi ya kuwania nafasi ya urais 2015...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wanasheria washauri Zanzibar kuunda tume ya mabadiliko ya katiba | MZALENDO.NET Written by administrator // 19/03/2011 // Habari-Picha, Kitaifa // 20 Comments Na Salma Said, KONGAMANO...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Makamba anafaa sana kuwepo kwenye hicho cheo alicho nacho ili asaidie kuiondoa haraka ccm madarakani. Kwa sababu hiyo NAAMURU RASMI KWAMBA wana JF muache kumuandama isipokuwa mchocheeni zaidi ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
H@ki Ngowi: Makamun wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad Arejea Nchini Salama
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), umesema mgogoro wa udanganyifu wa umri na elimu unaomkabili Mbunge wa Viti Maalum Wanawake kupitia UVCCM Zanzibar, Asha Muhamed Omar, umekabidhiwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hi wajumbe, nimetafakari kufananisha wachezaji wa mpira namba tano ambaye kazi yake kulinda, ni pale ambapo bila kujua hugeuka na kuanza kushambulia goli lake inakuwaje, nimepata watu wachache ktk...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajanvi. Ile press conference ya sumaye imekuja na mapya gani. Wenye data mtujuze please. Inasemekana Jk ndiye kinara wa kuwatumia hawa wakora kuwashambulia wastaafu wanaojaribu kuonyesha njia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
The Muslim Council of Tanzania (Bakwata) has asked the government to form a special commission comprising religious leaders to explore the increasing religious animosity in the society. Speaking...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba nimjue Mbunge mwenye uchungu wa kweli wa nchi yetu: Ambaye amekataa ule mkopo wa mamilioni (up to 200 mil) payable in 5 years? Ambaye amekaa kuchukua mkopo wa gari wa milioni 90? Lema...
2 Reactions
56 Replies
5K Views
Leo hii viongozi wa Chadema wamefikishwa tena mahakamani Arusha katika kesi yao ile iliyotokana na maandamano. Kuna baadhi wamebadilishiwa charges. Lakini swali langu hapa ni kwa nini huu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu wanaJF, Watu wengi nilioongea nao kuhusu sakata la Shigela na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Sumaye wamesikitishwa sana na matamshi ya shigela. Wanasema kuwa bwana mdogo ameonesha utovu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ccm walisema mengi kuhusu chadema. mengi yaliyosemwa ni uongo mtupu. leo imedhihirika hata umbeya wa wenyewe kwa wenyewe, wanasemana vibaya. kwani sumaye kukopa tatizo ni nini? utafanyeje biashara...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom