Kamati ya Zitto yatengua maamuzi ya Waziri Maige
Patricia Kimelemeta
KAMATI ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imetengua maamuzi ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige ya...
Sioni harakati zozote za zinazofanywa na UDP kuimarisha chama. Mh.Cheyo kakifaanya chama chake kuwa NGO,chama cha mjungu (Pandikizi la CCM) dhidi ya uhujumu wa upinzani nchini. Cheyo ni...
Eric Shigongo na mwenzie Kusaga kwa kutumia makampuni yao, wanafanya tamasha kubwa la muziki jumamosi hii pale biafra kino. likiwa na lengo kuu la kuhamasisha vijana kuwa wazalendo na nchi yako...
Ni ukweli usiopingika kwamba Mabere ndio mwanasiasa pekee aliyejasiri pale cdm,ni shupavu,makini na mahiri wa kujenga hoja bila kuteleleka kwa namna yoyote! tahaluma yake ya sheria inamfanya awe...
Jaman kutoka na uzalilishaji wa Boss wao anapowatembelea maeneo ya kazi inatia huruma. Magufuli na wengine walio tolewa kafala sijui wataanzia wapi? Jk uliwachagua ili uwazalilishe? Hakuna ki2...
SERIKALI inawachunguza wahadhiri wa vyuo vikuu nchini wanaotumia muda mrefu madarasani kuzungumzia siasa badala ya kufanya kazi zinazohusu taaluma.
Kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo...
Low Per Capita Income Countries Never Remain Democracies. More recently Adam Przeworski of New York University confirmed this truism by studying every attempted transition to democracy around...
Rais Jakaya Kikwete leo katika ziara yake ya kutembelea wizara mbalimbali,alitembelea wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi.Wizara hii ina sector nyeti kama viwanja vya ndege,Reli,Mamlaka ya Usafiri...
Barua ya wazi kwa wana JF wenzangu.................
Natumai ni wazima....Nimekuwa nikifatilia haya malumbano yanayoendelea katika hiki chama kilichojipa utawala yaani CCM...Kwa hakika kama ni...
Hu wa najiuliza kwa hali hii inayoendela nchini ,na mamlaka aliyo nayo mkuu wa nchi ,na utamaduni wa wa Watanzania wa kutoona wajibu wa viongozi ,na ugoigoi wa kutopigania haki ,ni dhahiri kuwa...
Naamini kuna aina nyingi za management lakini hii mpya ya JK ya Management By Loitering siielewi maana anapita kila wizara ana sababisha foleni tuuu mjini bila kutoa ufumbuzi wa jambo lolote. Bora...
Taarifa za kiintelijensia hazionyeshi kama anatokea familia ya 'kifisadi'. Inasemekana alikuwa msanii tuu, tangia anasoma Marangu sec hadi UD, na aliwahi kushiriki utapeli wa kutoa scholarship...
Inashangaza viongozi wa dini kuona hili la CDM kuandamana ndiyo inatishia amani na kulikoromea, lakini wananchi kwa makumi yao wanakufa kila siku Loliondo kwa visingizio vya tiba isiyo na leseni...
Mojawapo ya hoja alizosema Sumaye Leo na waandishi kuwa ili mtu apate Urais ni lazima akubaliwe na Wananchi,chama na DOLA.kwa maana kuwa kimojwapo kikikutaa ,basi wewe uongozi unausikia kwenye...
24 March 2011
Japan will not cut its development aid to Tanzania despite facing economic doldrums, resulting from massive earthquake and subsequent devastating tsunami which hit the world's...
NI MIAKA 50 YA UHURU WATANZANIA HUKU WATANZANIA WENGI WAKIGUBIKWA NA UMASIKINI WA KUTUPWA. KWA UPANDE MWINGINE MIAKA 42 YA UTAWALA WA GADAFI UMEKUWA NA MAFANIKIO MAKUBWA KWA LIBYA HUKU AKIFANIKIWA...
24 March 2011
Upcoming entrepreneurs on Thursday literally walked the president's dream of making job creators rather than seekers out of fresh graduates in information and communication...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.