Nimewasikilia na kuwaangalia wanaojiita wapenda amani. Nimegundua kumbe ni watu wwachache tu ndio wanaopenda ufisadi wa CCM. Nawashauri CDM wasiwajibu hao vibaraka ila wao iwe "Chadema mwendo...
Im sure wakijiandaa na hii so called wiki ya maji watakuwa na bajeti si chini ya milioni 50.
Maana itabadidi watengezemabango, Tshirts , per diems, mafuta ya gari,vipindi vya redio kutuambia...
Huwa najiuliza ni kwanini viongozi wa nchi za Kiarabu pamoja na Mataifa makubwa kama China hupenda kutumia Lugha zao hata wanapoalikwa kwenye mikutano mikubwa ya Kimataifa, huwa kuna mkalimani...
yale maandamano ya chadema sasa yameanza kutoa matunda baada ya Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk Jakaya M Kikwete kuagiza msamaha wa kodi katika bidhaa mbalimbali utolewe lengo likiwa...
Mbowe na dr. Slaa wameelekea liberia kuhudhuria mkutano mkuu wa vyama vya siasa africa unaofanyikia Liberia.
=============
UPDATE from IPP
Viongozi wa kitaifa wa Chama Cha Demokrasia na...
GM: We have about 5,500 tonnes for which we are eagerly awaiting buyers
Kagera Sugar Company Limited Agricultural Services Manager Chris Davis (R) speaks to National Social Security Fund...
CNN-- Industrialized countries have been enabling corruption in Africa by providing crooked officials with a haven for their money, according to Nobel economics laureate Joseph Stiglitz.
The...
Habari za uhakika kutoka Wizara husika ya Maji zinasema JK ameogopa kwenda Mwanza kuwa mgeni rasmi kilele cha wiki ya Maji tarehe 22. Badala yake wakapendekeza awakilishwe na Makamu wa Raisi...
GREAT THINKERS, Leteni maswali na hoja zenu. Kama mkileta na supporting evidence nadhani tutakuwa tuko mstari sambamba.
Mods na Admin naomba muwe ma referees pale ambapo matusi yatakapoanza
Kuna mtu yoyote alifanikiwa kuona episode titled American Dreams kutoka kwenye show ya Harry's Law (NBC-USA) iliyokuwa inazungumzia mauji ya albinos hapa Tanzania? Since walimweka...
Ingawa maelezo nayoweza kutoa hapa si ya kisiasa namin yatasaidia wanasina na watendaji wengine ktika kufanya siasa, kazi na maamuzi sahihi.
Tujiulize swali
Tofauti ya data , inforamation...
Haya sasa, Gaddafi akishindwa miradi flani bongo itadorora!
By Daniel Msangya
The Citizen Correspondent
Embattled Libyan leader Muammar Gaddafi may be viewed as a villain worldwide today, but...
MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Hussein Bashe amesema kuwa taifa linahitaji kuombewa na viongozi wa dini kwa madai kuwa kuna pepo mbaya anayelisumbua...
Baraza la vijana mkoa wa Arusha (BAVICHA)
Tel 0784 834152
bavichaarusha@gmail.com
TAMKO LA BAVICHA KULAANI MATUMIZI MABAYA YA OFISI YA MSAJILI
Ndugu wanahabari,
Katika siku za karibuni...
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), Zitto Kabwe, ameitaka serikali ichukue maamuzi ya haraka ya kulinusuru taifa na tatizo la umeme nchini, kwani uzoefu unaonyesha...
Sisi Watanzania na mimi nikiwa mmojawapo hatuichukii CCM kama CCM bali matendo ya wengi wenu angalau wangekuwa waovu wachache mmekuwa wengi mno. Mmeshashindwa kuongoza nchi na sasa hata kusimamia...
It is a plea, kama kuna mtu yeyote mwenye data kamili za kura za urais alizopata Lipumba toka aanze kugombea mwaka 1995 anisaidie, natanguliza shukrani, ninachojua matokeo ya mwaka jana 2010...
Kwa Jinsi mambo yaliyotekea jana kwenye TV ya Taifa inayoongozwa na Mafisadi Papa kuudanganya Umma kwa kupitia Station hiyo. Jana kulikuwa na Makamu mwenyetiki wa kamati ya Nishati ya Bunge kwenye...
Most famous traitors of all time 14 items ranked
List of the most famous world wide traitors.
1.Mrema Lyatonga(tlp)
2.Lipumba Ibrahim(cuf)
3.Mbatia James (nccr)
4.Cheyo John (udp)...
MH VICK KAMATA MBUNGE WA CCM na wakala wa mafisadi tunayemfahamu fika, katumwa kuimba, na kaimba na tumemsikia, kwa sura anavutia lakini hatumpendi kwa kuwa ni wakala wa mafisadi.
VICK kaimba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.