Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kikwete acharuka, amtaka Ngeleja awe makini Imeandikwa na Oscar Mbuza; Tarehe: 18th March 2011 @ RAIS Jakaya Kikwete amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja kuwa makini na utatuzi...
1 Reactions
59 Replies
5K Views
Mgeja ambaye ni mwenyekiti wa ccm amesema chama hicho hakina ubia na watendaji wala rushwa na wabadhirifu. 'CCM haijawatuma watendaji wezi na wabadhilifu wala rushwa' anasema Mgeja muda huu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
waziri wa afya alipompiga ban babu wa loliondo alisema kuna matatizo mengi ikiwemo dawa kuthibitishwa wataalamu walitumwa kutoka wizara ya afya makao makuu kwenye loliondo, japo kuliakua hakuna...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Since last month, the China Machinery & Equipment Company (CMEC) has been carrying out a study on a project for a 300 MW power plant that would be supplied by gas from the Mnazi Bay field operated...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, waziri wa fedha na uchumi Mustafa Mkullo, amekiri kuwa uchumi wa Tz utaanza kuporomoka mwenz ujao... na kwamba kufikia mwishon mwa mwaka huu eti utaimarika, alikuwa akizungomza na watalaam...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
* Kwa nini isiwe John Kony au Intarahamwe? Jambo ambalo pengine lilitarajiwa ni kuwa kwa msomi kama Dr. Harrison Mwakyembe, hata kama ni porojo au usanii, basi angalau ungekuwa wenye...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Bila ya shaka kimya kirefu kina mshindo ,hao wa mwendo mdundo naona wamekalia kuti kavu .
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kuelewesha hapa, kati ya katibu mkuu wa wizara na waziri, ni nani msemaje wa wizara? Hii itanisaidia mimi na wengine wasioelewa kama mimi, kuweza kutofautisha kati ya katibu mkuu na waziri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
WanaJF, Kwa wale ambao wamebahatika kuwafahamu Dr. Lwaitama, Prof. Shivji na hayati Prof. Chachage (mwanazuoni aliyebobea aliyeandika Makuwadi wa Soko Huria na maandiko mengine mengi)...
0 Reactions
65 Replies
14K Views
Na Richard Makore 26th February 2011 Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amesema kuna baadhi ya Watanzania wanaohitaji kuwepo kwa serikali ya Tanganyika badala ya ile ya Jamhuri ya...
0 Reactions
76 Replies
7K Views
Nimesoma gazeti la Jamboleo, likieleza kuwa UVCCM inakusudia kumng'oa mtoto wa mkwere kufuatia kuwa chanzo cha jumuiya hiyo kushindwa kufanikisha malengo yake. Kama Dot Connector inaonyesha...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
angalia sasa Tanzanian Train hehehehehehehehehehehehehehehehehe haya fananisha na hiiiii chini TUTAFIKA KWELIIIIIIIIIIII?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
WANANCHI wa kijiji cha Pande B katika mkoani Tanga jana walimzuia kwenye mvua mbunge wa viti maalum mkoa wa Tanga, Amina Mohamed Mwidau (CUF), wakitaka kujua sababu ya uongozi wa halmashauri hiyo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF naomba kujuzwa kama Mh. Raisi ametembelea au la? Na je kutembelea kwake kutaweza kutoa fununu zozote za utata/tetesi za kujiuzulu kwa Mh. Dr. Magufuri?! If not, this is another source...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je ungali unazikumbuka scandal hizi ambazo zimetokea ndani ya taifa letu, tafadhali ongezea kadri unavyokumbuka: RichMonduli - ilikuwa inakomba Shs 152ml kwa siku Deepgreen Meremeta Kagoda...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wajameni, naombeni kuuliza, katika nchi zilizoendelea, wanavyo vitengo maalum vinavyojitegemea vinavyohusu masuala ya money laundering, kukwepa kodi, piracy kama hii ya wasomali iliyoteka watz...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
18 March 2011 Julius Nyerere was among 'the most articulate, intense and militant' of the first generation of African nationalists. Issa Shivji traces the development of a Pan-Africanist...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
16 March 2011 Dar es Salaam — The United States helped to investigate allegations and prepare corruption charges against a former Bank of Tanzania director of personnel and administration...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
TATIZO KUBWA LA WATANZANIA NI KUTOJITAMBUA, TUNAKWENDA NA WIMBO ULIOPO NA SI UHALISIA WA MATATIZO YETU NA JINSI ZA KUYAFUMBUA! TUNAKARIRI HARAKA KILA WIMBO MPYA BILA KUTAMBUA ALA ZAKE...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mfano kodi na mrahaba serikali ya CCM inayokusanya kutoka kwa uwekezaji haswa wa mali asili zetu, inawafadishaje watanzania? Nasisitizia vitu ambavyo vinaweza kutumika hapa Tanzania kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom