Continental Nickel Reports a Major Increase in Mineral Resources, Including the First Mineral Resource Estimate for the Sleeping Giant Nickel-Copper Sulphide Deposit in Tanzania Friday, 18...
Kama nakumbuka vizuri waziri alishasema tena akiwa bungeni kuwa mgodi umesharudishwa serikalini, ila kwa kauli za sasa mchakato wa kuurudisha ndio unaanza sasa. Maana yake tuliingizwa chaka sijui...
Kwa vile nimjuavyo Sophia ni mwingi wa vijembe nilitegemea jana kwenye mkutano wa Baraza Kuu la UWT-CCM ajibu mapigo ya Mnyika lakini amenywea sana alikuwa mpole kuliko muda wote wakati anataja...
There are no plans to reduce taxes on oil to address the growing economic hardships facing the people, the minister of Finance, Mustapha Mkulo said yesterday.
He was responding to questions from...
THE police in Kigoma have rejected claims by NCCRMageuzi top leadership that there are no services in Kasulu and Kibondo districts saying all localities have police posts.
Speaking to the 'Daily...
Mkombozi wa watanzania Dr Wilbroad Slaa alihamia Chadema akitokea CCM. Wakati yuko CCM hatukuwahi kusikia kuwa huyu jamaa ni Padri na ataifanya nchi kuwa ya kikristo. Na hata CCM walipomchakachua...
Kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka jana Rais Kikwete aliwaalika viongozi wa dini mbalimbali ktk Ikulu ya Mbeya kula futari kwa heshima ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani lakini viongozi wa Makanisa...
Kuna taarifa kwamba Lowassa amejiingiza kwa nguvu ndani ya UVCCM kwa kuwatumia Katibu Mkuu, Martin Shigella na Mwenyekiti wa zamani, Masauni, na kwa kutumia kikao maalumu kitakachofanyika...
Wakuu,
Kuna taarifa kwamba baada ya Kikao cha Kamati Kuu kilichomalizika usiku jana, Viongozi wa CDM wanatarajiwa kutoa tamko zito saa 5 asubuhi ya leo wa Tz tukae mkao wa kula ili kujua...
Baada ya wananchi wa upande wa bara kutoa rais wa Jamhuri ya Nuungano mara 2 mfululizo ni vema sasa wanzetu wa Bara mkatuachia ndugu zenu wa Visiwani urais hapo mwaka 2015. Hii itasaidia kuenzi...
Kauri ya Mustapha Mkulo Waziri wa Fedha, Katika Serikali ya Ajabu Kutokea Duniani Iliyojaa Vilaza Wasio Na Idadi, Isiyo na maadili ya uongozi, ufisadi isiyofuata sheria za nchi, ubabaishaji...
WikiLeaks: Kikwete feared for his re-election bid
Dar es Salaam - President Jakaya Kikwete feared a unity government in Zanzibar before the 2010 General Election would undermine his chance...
Ndugu wanaJf, Leo mh. Jk yupo Dodoma ktk kuhudhuria sherehe za kusimikwa Uaskofu mpya wa dom askofu Gervas Nyaisonga. Alipopata fursa ya kuzungumza, mh. Aliwataka viongozi wa dini kuwasihi na...
Kamati Kuu ya CDM inakutana leo asubuhi kwa dharura pamoja na mambo mengine itajadili na kutoa na kupanga uchaguzi wa Baraza la Vijana, Wanawake na kutoa ratiba ya awamu ya pili ya Maandamano...
HALI ya mambo si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) hasa baada ya kuarifiwa kuwapo kwa mipango ya kuwang'oa vigogo wa chama hicho pamoja na kuisafisha Jumuiya ya Vijana (UVCCM).
Habari...
Habari za kuaminika toka ndani kabisa (ka nzi) zinataarifu kuwa Shirikisho la Viwanda Tanzania linampango wa kuwashaa mitambo ya Dowans baada ya kukodi mitambo hiyo toka kwa wamiliki.
Mpango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.