Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Local NewsKikwete thanks Gadaffi for Dodoma 6bn/- mosque From NASONGELYA KILYINGA in Dodoma, 16th July 2010 @ 12:00, Total Comments: 1, Hits: 813 PRESIDENT Jakaya Kikwete has praised...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Gazeti la The Citizen limeripoti kwamba JK aliingilia kati mchakato wa Bunge wakati lilipokuwa linachagua wenyeviti wa Kamati za kudumu za Mahesabu (parliamentary Oversight Committees) kwa...
5 Reactions
341 Replies
25K Views
HOJA HII INATOKANA NA KAULI ZA VIONGOZI WA VYAMA HUSIKA Katika hali ya kawaida chama cha upinzani nia yake kubwa ni kuonyesha mapungufu ya chama kinachotawala kwa jamii ili waweze kuwaondoa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Mojawapo ya udhaifu wa kiongozi wetu wa sasa ni kitu tunachoita ulimbukeni. Kwa wasio wachunguzi wa mambo ni vigumu kuamini nachosema. Lakini rais wetu ni limbukeni tena haswa...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
The fight for the freedom,is for the right to think,we fight against dictators,as they do not want us to think on ourselves.We fought for indepence Because we want as human being to think and run...
0 Reactions
2 Replies
810 Views
CHAMA chochote cha kisiasa, au shughuli nyingine kama ilivyo kwa kundi lolote la binadamu, liwe kubwa au dogo likishakaa pamoja kwa muda mrefu na kuzoeana kupita kiasi hujisahau na kujikuta...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF Napenda kutoa angalizo kwa Watanzania kuwa tusipokuwa makini watoto wa Viongozi wa sasa watalipeleka Taifa hili kuzimu. Imekuwa nia nitabia sasa kwa watoto wa viongozi wasasa kujiingiza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii si sandakalawe ambapo "mwenye kupata apate mwenye kukosa akose"; si sandakalawe kwa sababu yule mwenye kupata atakuwa anashikilia hatima yale waliokosa. Kwamba si sandakalawe kwamba tunacheza...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Nimekuwa Znz kwa muda sasa. Nimekuwa nakaa vijiwe vya CCM (maskani) na CUF. Nilichogundua ni kuwa Wa Znz wapo kitu kimoja kuhusiana na maslahi yao. Wanapiga sana vita muungano kwa madai kuwa...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Kuna swali limekuwa lina niumiza kichwa kidogo japo si sana. Hivi karibuni kumeibuka tena mijadala kuhusu muungano, Zanzibar na mustakabali wa taifa letu. Katika kupitia majibu kwa ju juu (siyo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nafikiri watu wengi hapa mnakumbuka vita vya Kagera. wengi walijua tulikuwa tunampiga nduli idi amini peke yake. ila kwa wale wanaokumbuka, Gadafi ndo aliyetuma majeshi toka Libya, ambayo tulikuja...
0 Reactions
123 Replies
21K Views
MJI wa Maswa jana uligeuka uwanja wa mapambano baina ya wananchi na polisi, huku risasi, mabomu ya machozi na mawe vikitumika kama silaha baina ya pande hizo. Polisi walitumia risasi na mabomu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KATIKA hali ya kuonyesha Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatapatapa baada ya kuanguka katika majimbo kadhaa nchini, viongozi wa chama hicho wameanza kutoa matusi dhidi ya viongozi wa Chama cha...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa, alisema: “Labda nimwambie (Msajili wa Vyama vya Siasa, John) Tendwa kwamba...CHADEMA inafanya kazi kubwa ya kuwazuia wananchi kuingia mitaani kama...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Demonstrations, protests and debates radical changes freedom of information and expression in Tanzania 4th estate turning into the 5th column manipulation of public opinions in Tanzania How do you...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu Watanzania. Kwa uchungu sana nimeangalia hizi picha. Nikajiuliza, hivi kweli ni serikali yetu imetufikisha hapa ?. Je, haya ndiyo matunda ya miaka 50 ya Uhuru ?? Je, haya ndiyo mafanikio ya...
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Lipumba: JK atamaliza urais vibaya Burhani Yakub,Tanga CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema Rais Jakaya Kikwete atamaliza muda wake akiwa ameshindwa vibaya kusimamia shughuli za Taifa la...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wana JF, nimeziangalia hizi picha nikapata huzuni kubwa sana! naomba mnijuze, hivi hawa wanaomchekea JK na kushikana nae mikono ni kweli wanampenda au unafiki na njaa zao vinawafanya wajipendekeze...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
20 March 2011 How many are aware that the iconic founder of Tanzanian nationalism, Mwalimu Julius Nyerere (1922-99) resigned the Presidency in 1985? My colleague at the next workstation tells me...
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Back
Top Bottom