Yaani nikisoma Mwanahalisi au Raia Mwema, napata uchungu sana.
Inasikitisha na kushangaza jinsi hii serikali ya CCM ilivyo.
Tanzania inaelekeo sipo.
Nimesoma Mwanahalisi na Raia Mwema...
Wednesday, 16 March 2011 19:49
RAIS Jakaya Kikwete ameingilia kati bei ya bidhaa kupanda nchini, hivyo kuiagiza Wizara ya Fedha na Uchumi kupunguza mfumuko wa bei. Amesema ikiwezekana, wizara...
Hii imetoke huko kahama katika kituo kimoja cha polisi baada ya watuhumiwa wa ujambazi kumpora polisi silaha na kuuwa askari wawili kituon. Chanzo Tbc habari.
Rosemary Mwakitwange amewasihi wanawake kushiriki maandamano ya amani kwa kuwa katiba inaruhusu. Amewaomba wanawake kushiriki katika siasa kwa kuwa maamuzi ya kisiasa yana yanagusa nyanja zote za...
Kumbe jeshi la polisi kuzuia maandamano walijua serikali itaumbuka, na sio folen. Kwenye huu mkutano wao wa amani uliofanyika leo manzese watu waliohudhuria ni wachache sana, pamoja na kuwepo kwa...
Wachumi tusaidieni kutafakari hizi takwimu: Mnamo mwaka 1998 - uzalishaji wa madini Tanzania ulikuwa chini ya tani 1 na mchango wake ktk pata la taifa ulikuwa ni 2%; na mara baada ya kupokea...
Sunday, 27 February 2011 21:04 0diggsdigg
Katibu mkuu wa Chadema,Dk Wilbroad Slaa
Anthony Mayunga, Bunda na Frederick Katulanda, Butiama
ALIYEKUWA mgombea ubunge wa ubunge kwa tiketi ya Chadema...
Mashirika haya NSSF, PPF, PSPF na mengine yenye muundo kama huo yanatakiwa kulindwa kwa nguvu zote hata kama ni kwa maandamano kuanzia sasa ili kuepusha ukwapuaji wa pesa ambao uko mbioni kufanywa...
lakini kabla hatujafanya hivyo kwanza hebu tufanye valuation wao wanatusaidia vipi
I can only imagine publicity itakayo generate how people from the poorest country in the world are helping one...
Akifanya ziara Wizara ya Fedha na Uchumi pamoja na vitengo vyake.
Rais asiyekubalika ameagiza wazee wa iliyokuwa EAC walipwe madai yao haraka huku akicheka kama kawaida yake, ulikuwa wapi muda...
Wadau: Habari hii inasikitisha sana -- kuona jinsi serikali/Tanesco ilivyoridhia malipo ya mabilioni kwa mawakili kwa kazi isiyokuwa na tija. Wakiambiwa kwamba huko ni kuzidi kudidimiza hali za...
Yale Maandamano yaliyokuwa yafanyike leo kuunga mkono Hotuba ya JK yamezuiwa na Polisi kwa madai kuwa yatasababisha msongamano kwenye barabara watakazopita.
Nauliza:
Polisi/CCM wameshtukia...
Kenyans are more optimistic about life than their counterparts in the East African Community, a new survey shows.
Nationals of the regions largest economy are satisfied with life, feel useful...
Kuna kila dalili kuwa, iwapo Rais JK ataendeleza Utawala Bora, Uwazi, Uwajibikaji na Haki kwa kila mtu, anaweza kutunukiwa tuzo mashuhuri ya MO IBRAHIM.
Hii itakuwa ni heshma kubwa kwa Tanzania...
Kwanini hii nchi inaendeshwa na matukio kiasi hiki? hivi tatizo hasa hapa ni nini? kwani tu wepesi sana kusahau na kuingia mkenga kusko yaani siasa ni kila kona na kila mtu amefuzu mbwembwe kwa...
Nimesoma hapa kwamba Mkubwa amekutana na baraza lake leo asubuhi,Lakini wanachojadili bado kujulikana
Nafikiri lie suala la bomoa bomoa la kumpiga stop magufuli litakuwepo.
Wana JF, Mtakumbuka jinsi agizo kwa TPDC kupitia bunge kuagiza mafuta - ''bulk Purchase of petroleum Products'' likisimamiwa na mkuu wa kaya.
Agizo hili lilizimwa kimtindo kwa maslahi binafsi ya...
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesikitishwa na kauli kinazodai ni propaganda za CCM kuwa kinatumia fedha kuwalipa wananchi kuandamana.
Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Chadema...
Habari za Babu wa Loliondo nazipata kupitia vyombo vya habari. Sijawahi kuzungumza ana kwa ana na mtu aliyetoka "kwa Babu". Mrema na Chatanda wametoa ushuhuda wao kwenye TV; na wengine wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.