Makamba adaiwa kuua majirani zake kwa kiu Send to a friend Monday, 21 February 2011 20:55 0diggsdigg
KATIBU Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba
Elizabeth Suleyman
KATIBU Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba...
UGANDA ELECTION
Registered Voters: 13,954,129
Total Cast Votes Submitted: 8,128,098
Percentage: 58.25%
Total Number of Polling Stations: 23,968
Total Polling Stations Submitted...
Kutokana na sakata la ajali ya mabomu ya Gongo la mboto, katibu mkuu wa CHADEMA amewapevua wananchi mawazo ya kuwa hivi sasa si wakati kuwalaumiana kuwa nani ajiuzulu au nani mwenye makosa, la...
M. M. Mwanakijiji
SIJUI kama mwenzangu umegundua kuwa siku za karibuni wanasiasa wetu na watawala wetu walioshindwa wameanza kulalamika kuwa kuna udini unaingizwa katika kampeni hizi huku...
Kwa mara ya kwanza naona kama vile miaka mitano ni mingi sana kusubiri kufanya uchaguzi mwingine.
Kwa nini tusianze na kupunguza mwaka mmoja iwe minne kama US.....maana duh, watanzania wapole...
Wengi wanaona JK ana uDakta feki....ila sio feki, ni udaktari wa ukweli kabisa....Yeye kama Dakta JK ni mwalimu. Na kwa sasa anatufundisha sisi watanzania.
Anatufundisha umuhimu wa kupiga kura...
Nafuatilia kwa ukaribu matukio yanayoendelea huko Afrika ya Kaskazini kuanzia Tunisia,Misri na kwa sasa Libya.Yote hayo ni mapinduzi ya kweli ya wananchi dhidi ya tawala dhalimu za viongozi...
Ndugu wanaJF,
nilifuatilia habari ya spika Wa bunge kumkatalia tundu lissu kujadili hatima ya mabomu ya gongo la mboto kwenye magazeti na kugundua kuwa haikupata respective coverage...
hapo...
Ndugu watanzania;
Ujinga huu sio wa kawaida, lazima kuna jambo kubwa nyuma linalopelekea haya yote kutokea... HAIWEZEKANI Tanzania hii, yenye watu hawa , wanaoimba upole, amani na ukarimu...
Hivi karibuni Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Raphael Ndunguru, alinukuliwa akisema kuwa wanajaribu kuangalia suala hilo kisheria ili kuona waliotekeleza hayo wana mamlaka yapi.
Alisema...
Wengi tunafahamu jinsi mchakato wa kumpata mgombea uspika wa Bunge kupitia CCM ulivyokwenda, ndani ya Chama cha mapinduzi kulijitokeza baadhi ya viongozi kuuponda uongozi wa Bunge uliopita kwamba...
Jamani wanaJF ninaomba mchango wenu, kwa uelewa wangu nimefikiri na kujaribu kutofautisha mambo haya mawili.Kwa tafsiri yangu na uelewa wangu vitu hivi vina maana:-
1.Peoples power/Nguvu ya...
Wakuu hivi ninavyoandika ni kuwa mtambo mmoja wa Dowans aina ya LM6000 PD 40MW uliopo site A nyuma ya ghorofa la Tanesco umewashwa na hadi sasa unazalisha 37MW.
Nitawaletea habari zaidi lakini...
Jamani mgogoro wa kisiasa wa Ivorycoast umeishiaje au unaendeleaje?
Ile presure yote ya dunia ambayo ilikuwa anapewa rais fake Ghagbo ime
ishia wapi? Ile presure ya marais wa Africa na dunia...
file:///C:/Documents%20and%20Settings/user/Desktop/02_11_fugp4w.jpg
Watoto wa Mauritania wakimkaribisha Rais Jakaya Kikwete kwa tende na maziwa alipowasili jijini Noaukchott kwa ajili ya mkutano...
Kwanza naomba radhi kwa Mods na members wote kwani najua JF haina itikadi ya kisiasa. Kama mjuavyo kuwa CHADEMA katika mikoa kadhaa ya Tz, Moro ikiwepo, bado inajitahidi katika kukubaliwa zaidi...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimfariji Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa Zanzibar Rashid Ali Juma (45) alipomtembelea leo katika Hospitali ya Aga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.