Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwa wale walioko karibu na zilipo generatoirs hizo, naomba mtutundikie serial numbers za generator hizo ili tufuatilie kujua thamani yake halisi na mzunguko wake kwenye soko la dunia tangu zitoke...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
After the uprising and success of the phenomenal fueled anti-government demonstrations witnessed in North Africa in the past few weeks, there is every reason to suggest that it's only a matter of...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani, Bila shaka, wengi wenu mmeona jinsi wenzetu waarabu walivyoingia mitaani kupinga tawala za kibabaishaji. Wamevumilia wameshindwa. Hatua ya mwisho waliyoona inafaa ni kuingia mitaani...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Huyu Rostam ndie chanzo ya matatizo yote katika Serikali yetu ya Tanzania. Yeye ndie anaeivuruga CCM kwa maslahi yake binafsi na ni yeye ndie alieleta Wahindi/Waarabu wafanyabiashara katika ccm...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika hotuba yake bungeni tarehe 18 november , 2010, Raisi JK aligusia kwa umahiri vipengele 13 vya serekali yake kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Kwa mujibu wa gazeti la Habarileo la...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Nikitafakari mwenendo wa nchi yetu kisiasa, kiuchumi na kijamii katika kipindi cha uongozi wa JK, nashawishika kuhitimisha kuwa pengine kuna laana fulani inayoitafuna nchi hii. Hivi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nianze kwa kutoa pole kwa waathirika wote wa mabom ya Gomz. Poleni sana watanzania wenzangu. Katika maisha ya mwanadam hakuna kitu kisicho faa kufidia kama maisha/uhai wa mtu. Nini serekeli...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani habari nilizozipata ni kuwa injini namba 3 pale SONGAS imepata hitilafu na inawaka tafadhali mtujuze mlio karibu. =========================== UPDATES: (Maxence) Ni kweli moto ulitokea...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Jamani hiyo tume ni ya nini hasa? Hizi tume zinazoundwa baada ya majanga kutokea za kazi gani wakati wahusika wakuu ambao ni wizara ya ulinzi na Mkuu wa Jeshi la wananchi bado hawajaondoka ktk...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu wa JF, Habari kutoka mjengoni zinatabaisha kuwa ccm wameshtukia dili utetezi wa Mh.Gobless Lema (Chadema) dhidi ya hoja ya spika wa bunge mh Anne Kitoto cha ndege. Spika amenukuliwa...
0 Reactions
199 Replies
17K Views
Ndugu wanaJF kua kitu kinanishangaza, hivi katika milipuko ya mabomu Gongo la Mboto hakuna wanajeshi aliojeruhiwa na kufa? Mbona hatuambiwi?
0 Reactions
179 Replies
22K Views
Inasikitisha sana kuona hawa ndugu zetu wamefanywa ombaomba na serikali yao!!hivi hatuna kikosi cha maafa cha majeshi yetu kuweza kuwasaidia hawa ndugu zetu??inatia hasira sana wandugu,watu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika pitapita zangu leo asubuhi, nilishtushwa na watu wakisema, "sikiliza, tazama, angalie, nk" Kumbe wanaonyeshana Dr. Slaa! Kilichonishangaza zaidi, ni jinsi Mh. Makinda alivyokuwa...
0 Reactions
65 Replies
8K Views
Ndg zangu, uchaguzi umeisha, lakini ndo unaanza tena! Naomba kuwaomba wagombea wa urais wa 2010 wamalize tofauti zao kwa kufanya mdahalo wa tadhmini ya ahadi zao walizozitoa wakati wa kampeni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
State to publicize proposed constitutional review THE government plans to deploy teams of educators to raise people's awareness on the envisaged constitution reforms, Minister for Constitutional...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TUmeona mlivyopambana bungeni na jinsi mlivyopigwa vita left right and center... Tumeona mlivyojitolea kusaidia waathirika wa Gongo la Mboto na jinsi media yetu na serikali zinavyojitahidi...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Mimi ni mfuasi wa CDM lakini nimejaribu kufutilia vyombo vya habari sijaona kiongozi wa CDM maeneo ambayo wahanga wa mabomu wamekusanyika iwe hospitalini au viwanjani. Au labda kuna ambaye...
0 Reactions
99 Replies
8K Views
Ndugu Tukumbushane juu ya hili. Msingi wa kweli imara kwa nchi na watu wake ni umoja, Amani na Ustawi. Tuekuwa tukikosea sana kwa kuhubiri amani na umoja peke yake! Tuijali nchi na watu wake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wana JF, laana (curse) kwa tafsiri nyepesi ni matukio mabaya yanayoweza kumpata mtu,familia,jamii na hata taifa. Laana mara nyingi hutokana na kwenda kinyume na mwenyezi Mungu au kwa namna...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuanzia mawaziri na sasa JWTZ wamekuwa wakijigamba ya kuwa hawawezi kujiuzulu kwa misingi ya uwajibikaji kutokana na utendaji mbovu wa taasisi wanazozisimamia......... Huu ugonjwa unaanzia pale...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom