Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kulingana na sheria zilizopo hapa nchini,rais yuko huru kutenda jambo lolote au kutotenda jambo lolote, ikiwa kwa maoni yake anaona kwa kufanya hivyo atakuwa analinda maslahi ya umma; na wala...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nikiwa kama mwananchi mzalendo mwanamapinduzi na mpenda demokrasia, nachelea kusema bila chuki binafsi dhidi ya JK, kwamba wakati wowote kuanzia sasa serikali ya ccm itaondolewa madarakani...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wiki chache zilizopita tulisikia Wanachuo wa Mlimani wamegoma kuingia madarasani kwa sababu ya fedha wanayopewa meal na accomodation Tsh. 5,000/= haitoshi, sina shaka na hilo na pia naamini kuwa...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Siasa za Tanzania hazina tofauti sana na siasa za nchi nyingi za Kiafrika, ukiondoa Ghana, Botswana na Afrika Kusini. Chaguzi zetu huwa zinajaa utata mwingi na mara nyingi hazitoi matokeo halisi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WanaJF, Wakati wa uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani mwaka jana sikubahatika kuona coverage yoyote kwenye luninga katika vituo vya CNN, Aljazeera, BBC, SkyNews, n.k kuhusu uchaguzi huo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sikutegemea huyu mama kusema maneno haya kwa wakati huu, hasa akiwa amechaguliwa kama speaker wa bunge. Hili linanipa shaka katika ufanisi wake wa kazi, kwani ameanza vibaya kwa kutumia siasa za...
0 Reactions
391 Replies
38K Views
Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu Msafiri au Mtalii Kikwete kutosemea Urubani ili aweze kuitembea dunia vizuri. inaonekana kuwa Kiongozi wa nchi wala hafaidi safari zake kwa kuwa waandishi na Wana...
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Jana mh. JK katimiza siku 100 za utendaji wake km Rais ktk kipindi chake cha awam ya 2, swali na kitendawali kikubwa miongoni mwa wasomi ni juu ya ukimya wake juu ya mambo ya msingi yagusayo...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
JK katika hospitali ya Amana kuwaona wahanga wa mabomu ya Gongo la Mboto
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Naomba msaada, mimi siishi huko Gongo of Mboto? Je ni wangapi mumeona helicopter za polisi au JWTZ zikitafuta watoto waliopotea kwenye mabonde au vichaka? Nafuta sababu ya kuwahurumia Dr...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Written by Ashakh (Kiongozi) // 19/02/2011 // Habari // 7 Comments...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"Ukiona matatizo kwa wananchi wako yanaongezeka siku hadi siku, ujue uongozi una matatizo makubwa kiutendaji, mzizi wa matatizo unazalisha hasira na chuki dhidi ya serikali na kinachofuata ni vita...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni zipi sifa za mtu kuitwa Mzawa? Jee akichanganya kabila upande mmoja wa wazazi au akajikubalisha na mila ya watu anakuwa Mzawa?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Britain backs 'publish what you pay' rule for oil and mining firms in Africa George Osborne and Vince Cable come out in support of proposal by Nicolas Sarkozy at G20 meeting Heather Stewart...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kilimalizika mwishoni mwa wiki jana kule Dodoma. Kama ilivyo ada, mambo mengi sana yalijadiliwa kwa ajili ya mustakabali wa nchi yetu, huku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
watoto wa viongozi bungeni,Makamba,Msuya,Kawawa(2),sokoine,mwinyi,ktk michuziblogg wameweka picha ya vita kawawa na dada yake wote wabunge ,wakiwa ktk viwanja vya bunge.
0 Reactions
30 Replies
4K Views
• Wataalamu wa Ulaya nao wafichua mianya ya wizi wa kura • Wakiri Chadema iliungwa mkono, Dk Slaa aliepusha vurugu Uhalali wa Rais Jakaya Kikwete kuwa madarakani unazidi kutia shaka...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Usiweke neno, weka tu % ya kila mmoja wao.
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Hivi jaman hata kama viongozi wetu wametuchoka, kwanini tuwaruhusu waendelee kuchezea akili zetu as if tumekuwa punguwani ama vichaa fulani wasio na tumaini la kupata tiba. Wakati wa mabomu ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna siasa za Visasi ambazo Sumaye na Mkapa walizianzisha. Majimbo ambayo yameangukia kwa wapinzani hayatengewi pesa za maendeleo. Ina maana kama jimbo lenu mbunge ametoka chama cha upinzani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom