Kutokana na Milipuko ya GOMS, yale mambo yote mazito yanayolikabili taifa letu yamefunikwa kabisa.. Hasa Dowans, mfumko wa bei, Kupanda kwa umeme, mgao, kujisafisha kwa Chenge, kuchaguliwa kwa EL...
Mara nyingi kunapotokea matukio ya majanga kama yale ya mlipuko wa mabomu kule Gongo la Mboto tunaona viongozi wengi wanafika maeneo yale na kutoa matamko mbalimbali. Watu wanaweza kudhani kufanya...
WADAU...SIO VIBAYA KUKUMBUSHANA 'KAULI HII YA BUSARA ILIYOTOLEWA NA MWENYE KUONA MBALI!
Dr slaa aliposema kuchagua JK na CCM ni maafa kwa taifa, ni nini? Ni ukweli?
Asilimia 85 ya Watanzania na...
Serikali 'baradhuli' ya JK inashambuliwa kila kona: Yaani kwa kweli ni hatari tupu jinsi wandugu wa TZ wanavyoishambulia serikali pande zote kiasi kwamba zile kelele za mlango sasa zinaleta...
wana jf kwa kweli tangia nizaliwe sijapata shinda ndani ya wiki moja kama wiki hii. nilikumbwa na msukosuko wa mabomu nikakaa mbali na home kwa siku tatu. leo nimetoka nikaenda kituo cha mafuta...
kuna tetesi silaha nyingi za jeshi letu ziliibiwa Uganda baada ya vita na Idd Amin. Hawakua na documents zinazo onyesha zimenunuliwa lini , kwa nani wala zina expire lini.
Ndio maana hawajajua...
Wanangu kuna simulizi;
Kuna mzee aliumia mguu.
Ktk Kumtibu aliona awaeleze wazee wenzie tofauti na mguu ulio umia ili kukwepa maumivu ya kumchua.
Hatima ya siri yake mguu ukaoza na umauti...
* Vitisho/udikteta//ukiritimba Ukaidi/ujeuri/ulevi wa madaraka/kupuuzia = Kukwepa midahalo, chuki dhidi ya vyama vya upinzani na kuviita copyright
* Dharau/kiburi/uozo/Ukosefu wa sera/dira= Rais...
Which one is our Tahrir square? Is it Mnazi mmoja? Is it Jangwani au Askari Monument? Naomba mlale mkifikiria maana demonstration makes sense kama ina paralyse daily activities! Therefore Askari...
Airlines furious over airport incident in Dar es Salaam
BY WOLFGANG H. THOME, ETN | FEB 18, 2011
(eTN) - A regular aviation source in Dar es Salaam has, through third parties, passed his own...
Chonde chonde mzee, Ikija ikatokea siku kumetokea uzembe (ajali kama mnavyoiita nyie) mwingine wowote wa kipuuzi kama huu wa gomz/mbagala na kwa namna moja au nyingine mimi ama familia yangu...
DESEMBA 2007
Helikopta ilianguka juu ya Ziwa Natron na watalii wanne, msindikizaji wao mmoja Mtanzania, na maofisa watatu wa JTWZ. Hakuna aliyepoteza maisha lakini ililipuka na kuishilia mbali na...
Rais Kikwete amepita kuelekea kwenye eneo la tukio la mabomu huko Gongo la Mboto
KAULI YA RAIS:
Ndugu Wananchi,
Kama mjuavyo, jana usiku jiji la Dar es Salaam lilipata mtikisiko mkubwa...
Nakumbuka April 2009 baada ya Milipuko ya Mabomu huko Mbagala kituo cha TBC1 baada ya siku tatu walianza kuonyesha "documentary" ya Vita ya Kagera..
Leo hii nimeona pia kituo cha TBC1 waki-air...
Kitila Mkumbo, amesema jambo, nimemsikia, amenigusa. Amesema ukweli, ukweli ambao hatujauona, na kamwe hatutauona.
Kuna maswala muhimu ya msingi, mjadala wake umeishia hewani, na yalikuwa...
Nimepita leo Sam Nujoma road na kuona ile miti iliyopandikizwa fasta wakati wa World Economic Forum kule Mlimani city ipo hoi imekauka na mingine kudondoka.Jamani who is behind huu ubadhirifu coz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.