Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Benson Bana (kibaraka) against Baregu (jembe). Baada ya pole kwa waTZ kuhusu mabomu, Baregu amchambua Makinda Fuatilia . . .
0 Reactions
70 Replies
5K Views
Hapo jamani mi naona ni kama jamaa anachekesha, anacheka kunako hudhuni kavaa kama anaenda kwenye sherehe kunako hudhuni...yuko serious kweli na nchi yetu huyu? Nawakilisha
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tukiwa na majonzi ya ndugu zetu walioumia na wengine kupoeteza maisha kwa mabomu yaliolipuka huko Gongo la Mboto wengiene wanasema (kama Mafisadi wa Jeshini wanavyoitwa AJALI) Matatizo yote...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sehemu ya Wahanga wa Mabomu ya Gongo la Mboto wakiwa ndani ya uwanja wa Uhuru jijini Dar wakisubiria kujua nini kinaendelea kwa upande wao. Kama vile wanasubili Mechi ya Simba na Yanga...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
sisi watanzania asilimi 64 % tuliokuchagua kuwa Raisi wetu wa Tanzania tunakusubiri uje viwanja vya uhuru. kukuona tu kutatupunguzia makali ya athari zilizotukuta walau kisaikolojia na kutufariji...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Watu wamepoteza maisha yao kutokana na milipuko ya mabomu Gongo La Mboto. Rais amesema hili nin janga la kitaifa. Je, hakuna siku maalumu iliyotengwa kuwakumbuka ndugu zetu waliopoteza maisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama kawaida ya waTZ tukio la mlipuko wa mabomu Gongolamboto lazima liende sambamba na ulaji kwa wakubwa. Waswahili wanasema 'kufa kufaana'. Kinachofanyika sasa, 'wazee wa kazi' wanajipanga namna...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tukisema kwa lawama dhidi ya serikali ambazo zinatolewa na wananchi mbalimbali hii ni haki yao kabisa hakuna mtu anayepingwa kwa kutoa lawama zozote zile lakini tunapotoa lawama ni vizuri tuwe na...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
Mkuu wa mkoa bado ni yule yule, William Lukuvi MBAGALA Watu waliandikishwa kuzingatia upenzi wao wa vyama vya siasa Orodha ya wahanga ilikuwa na kasoro nyingi Tathmini ilikosewa kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa maneno haya ya spiker Ana makinda anataka kuwaambia nini watanzania na watu wa Arusha? Je hii sio mwanzo wa kushindwa kuliendesha bunge? Je atahimili au yeye ndie atakuwa chanzo cha...
1 Reactions
99 Replies
9K Views
Nimesikia kwenye radio kwamba dalili zilianza kuonekana tangu asubuhi saa 4 baada ya bomu dogo kulipuka. uongozi wa jeshi ulichukua taratibu gani?? maghala ya kambi yamelipuka ndani ya kambi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BBC Sport - Football - Jose Mourinho's unbeaten home league run reaches nine years German 'plagiarism' minister drops PhD German Defence Minister Karl-Theodor zu Guttenberg has temporarily...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya jeshi kushindwa kukusanya vipande vya mabomu. mateja wa maeneo ya pugu kinyamwezi na dampo walifanya kazi ya kuanza kukusanya vipande vya vyuma vya mabaki ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi ni kwa nini Watanzania tunapohojiwa juu ya jambo zito tuna tabia ya kuchekacheka? Pia kwenye hii video clip utaona in the background kuna jambo linaendelea la kuwatambua watoto lakini hawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
18 February 2011 Last updated at 11:16 GMT German 'plagiarism' minister Guttenberg drops PhD The defence minister was in Afghanistan on an unannounced visit as further accusations emerged...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mheshimiwa huyu wa Singida asipoangalia vema umaarufu wake utamomonyoka vibaya. Mfano. kwa kitendo chake cha jana bungeni kuomba bunge liahirishwe kwa kuwa jaji amem-issue summons ni kituko cha...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Miaka ya nyuma watanzania tulikuwa na kamsemo eti chama kimeshika hatamu,baada ya mabadiliko ya katiba yaliyoruhusu vyama vingi sasa kale kamsemo kamebadilika na wanasema Chama Cha Mapinduzi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Muda umewadia, Africa inapata mwanga mpya wa mapinduzi ya demokrasia na uwajibikaji. Aliyeiba awajibike, aliyeua awajibike pia. kutoka kaskazini. Ni muda muafaka sisi waafrika weusi tuitikie sauti...
0 Reactions
0 Replies
956 Views
izi wa Kagoda Na Saed Kubenea - Imechapwa 09 February 2011...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom