Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
1. Maghala 22 yamelipuka na kubakiwa na ghala moja namba 23. 2. Mabweni mawili ya askari wa JWTZ yaliteketea katika tukio hilo.Hali kadhalika magari 22 yaliyokuwa katika eneo hilo. Source -...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna jambo lilikuwa likinisumbua kwa muda mrefu sasa kutaka kujua kwa nini sisi ni masikini wa kutupwa japo tumejaliwa kila aina ya nyenzo ya kutufanya tusiwe masikini. Sikupata majibu ya maswali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
p { margin-bottom: 0.08in; } Jengeni makambi ya Jeshi huko porini Na Juma Kidogo Kwanza kabisa napenda kutoa pole kwa familia na watu wote waliohusika moja kwa moja na kulipukiwa na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mhe Spika wa Bunge la Kenya ndg Marende ametengua uamuzi wa Kibaki bila kufuata vipengele vya katiba mpya ya Kenya kwa kuteua viongozi wa mhimili wa sheria. huo ndio uspika sio jaaaazba tu muda...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani radio zipi ni MBAO??? Are we serious ?? The responsible wanasifiwa tu AMA KWELI TZ UKIWA KIONGOZI RAHA SANA HATA HUWAJIBIKI. KUWALIPA WALIOFIWA, KUWALIPA WALIPATA MAJERAHA HII KAMA ILE...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
INANISHANGAZA SANA KAMA SPIKA ANAONA KUJADILI MABOMU SI MSINGI ILA KUJADILI KUVUNJA KANUNI ZA BUNGE ILIKUWA JAMBO LENYE MASILAHI KWA UMA SIO INABIDI AJIUZULU KWA MISINGI...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ifuatayo ni taarifa ya Rais Jakaya Kikwete kuhusu mlipuko wa Gongo la Mboto. Ukiisoma kwa makini, unaona kuwa msisitizo wa Rais ni kutoa POLE na PONGEZI kwa JWTZ. Rais haoneshi kushtushwa, kukerwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa kuwa bunge limeisha na hakukuwa na jambo la maana nadhani ni wakati kwa viongozi wa CDM kutuunganisha ili tufanye maombolezo ya kitaifa kwa mashujaa wetu waliofariki na kuumizwa na mabomu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nasema kweli ami. staki =masihara mie. bunge hili mamaangu mzaszi lisingeahirishwa leo kama KAFU wangekuwa wanaongoza kambi ya upinzsani. cccm wanaogopa sana chedema hami.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Juma abdalah, ananidai 230, ooo/= 2. Ada ya mwanangu, nadaiwa 400,000/= 3. Rostam aziz , ananidai 2350/= tafakari, hilo deni la mwisho ndio nalazimishwa kulipa haraka, JE WEWE UMELIPA?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
TAMKO LA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHADEMA KUHUSU HALI YA TAIFA TAMKO LA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) KUHUSU HALI YA TAIFA. Kamati Kuu ya CHADEMA...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nashukuru nimesoma nakala ya hukumu ya mahakama ya kimataifa kuhusu suala la DOWANS vs TANESCO. Hadi sasa nipo katika kipengere cha 337 lakini nimeshangazwa namna nchi yetu ilivyoharibika halafu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
It's time to call that big shot at the MOD elites Dear Hon Alhaj Dr (Med.) Mwinyi,Thank you for your service to this slumping nation of ours! on your years of service at...
0 Reactions
1 Replies
759 Views
Mabomu goms yalipangwa Kuna nyeti (msiniulize source) kwamba mabomu yaliyolipuka ilikuwa planned! Inasemekana kwamba baada ya ile ripoti ya mbagala, ilionekana kuna mabomu mengi yako pale lugalo...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Dar es Salaam. A number of primary and secondary schools located near the Gongo la Mboto TPDF camp where explosions occurred on Wednesday night, were temporarily closed due to shocks and fear of...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Lema aombe tena muongozo baada ya kuwasilisha report yake. Ni vizuri kujua mbunge anayewakilisha WANANCHI, afanye nini kama serikali imedanganya
0 Reactions
14 Replies
2K Views
kuna msemo usemao ukila na kipofu usimshike mkono. lakini kwa matokio haya imezihilisha si kwamba serikali ya CCM si tu kwamba ahadi zake kwa watanzania ni za hadaa bali pia uwezo wao umefika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
It is an unfortunate fact that ammunition and explosive storage can never be 100% safe in terms of the ‘absence of risk', and the best that can be achieved is ‘tolerable risk'. It is...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
:A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1...
0 Reactions
2 Replies
878 Views
Zimekuwepo shinikizo kutoka kwa wabunge za mawaziri kujiuzuru/kuwajibika kufuatia mabomu kulipuka. Lakini je hao wanasiasa wanajibika vp katika kutoa mchango wao? Mfano kati ya milioni 90...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom