Kwanza nianze kwa kusema ni aibu isiyo na kifani kwa waziri wa ulinzi kuthubutu kusema milipuko ya mabomu ilikuwa ni ajali. Wakisema wananchi kuwa ni ajali inaleta akili ila kwa wanajeshi...
Chadema:jipeni moyo msiogope
Na Mashaka Mgeta
13th February 2011
B-pepe
Chapa
Maoni
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefanyiwa `kitu mbaya. Kimepokonywa...
Natoa wito wa "Mapinduzi ya Kizalendo nchi nzima kuanzia tarehe 12/02/2011"
Kwakweli imedhihirika wazi kwamba Tanzania inahitaji Mapinduzi ya Kizalendo ni lazima wanachi tujue kwamba sisi ndio...
Kwanza naomba nitoe pole kwa wahanga wote wa milipuko ya mabomu huko Gomz,
Natumaini kwamba hakuna jipya ambalo tunaeza sema ati Hatujui wala kujiandaa kwa hilo kwani ilipotokea mbagala walitoa...
Bomu la CHADEMA kwa Pinda hadharani
Mwandishi Wetu
RAIA MWEMA
Februari 16, 2011
Polisi wamchuuza kwa taarifa zao
Mbunge Lema awasilisha hoja 10
Spika ataka iwe kwa maandishi
SAKATA la vurugu...
Sasa Lowassa amepata pa kuanzia, kama mjumbe na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya bunge ametangaza rasmi kuwa atawatembelea waathirika, na tena huenda akaanzisha harambee kuwachangia.
DOWANS -...
Hivi karibuni nilikuwa najiuliza zamani serkali ilikuwa iko poa sana tena serikali ya TZ kuliko private companies sasa leo naona hakuna tofauti yaani nchi inaendeshwa na makaburu ya tz yaani...
Mh. Waziri mkuu, Miizengo Kayanza Peter Pinda, umekuwa mwepesi wa kutoa majibu ya papo kwa papo kwa maswali yanayohitaji uchunguzi wa kina. Sasa hili la Gongo la Mboto natarajia utatumia umahiri...
This is another Highest Crisis Nchini Kwetu. Matukio ya mauaji, Ukosefu wa umeme, Ukosefu wa maji, Mafisadi, na majanga mengine ya injustice kila mahali. Kinacho endelea kitaifa ni kwamba "Nation...
Ni hivi majuzi tumeshuhudia jeshi la polisi kupitia IGP likieleza kwamba limepokea taarifa za ki-intelijensia zinazo hadharisha kuwepo kwa machafuko katika maandamano ya amani mjini Arusha...
Kutokana hali ya kisiasa, kiuchumi na kielimu kuchafuka tanzania naona imefika wakati wa kuwawajibisha baadhi ya viongozi waliotufikisha katika hali kama hii tuliyonayo sasa kwa kuwafungulia...
Mzungu mmoja amepost hii kitu katika blog moja ya Marekani.
"I guess when we sold them the weapons we forgot to include instructions? Ignorance is an even worse reason than terrorists. Ignorance...
Huwa najiuliza huyu jamaa anapoalikwa kuwakilisha serekali kwenye sherehe za Kiislam anasahau kuwa yeye ni kiongozi wa watu wote? Huwa anatoa hotuba zake utafikiri yuko Zanzibar au anaongoza nchi...
kama waziri wa ulisnzi anhgekuwa mkristo zamani unskia kafu wanaadamana. lakinikwa kuwa waziri ni mwenzio, basi hutasikia hata miskitini likiongleawa kwenye amhadhara.kwa hiyo minimi na sema...
Matukio ya mabomu ya Gongo la Mboto jana usiku yametugusa wengi tulioko mikoani kutokana na watanzania wenzetu kupoteza maisha kutokana na uzembe wa jeshi.
Mpaka sasa ningetegemea TV zetu ziwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.