Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Sijaelewa kwa nini inakuwa hivi, tangu jana, baada ya milipuko ya Gongolamboto, hatujapata a good report from the scene, hususan katika televisheni zetu. Jan ITV walikuwa wanaendelea tu na kipindi...
0 Reactions
63 Replies
7K Views
Watu wamepoteza maisha na makazi yao kuharibika! Sababu kubwa ni Uzembe siwezi elewa mabomu kulipuka kila wakati na raisi kutoa majibu mepesi. Mbona nchi nyingi zina silaha za kijeshi lakini...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mnyika amkaanga Waziri Ngeleja kuhusu umeme Send to a friend Mbunge wa Ubungo (Chadema), John Mnyika Boniface Meena MBUNGE wa Ubungo (Chadema), John Mnyika amemtaka Waziri wa Nishati na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hakika, hatuko salama, hatukuwa salama, na hatutakuwa salama.Mizaha mizaha tu, maisha ya watanzania yanapotea hivi hivi tu. Si mara ya kwanza, nasema na kwa uthabiti kabisa, si mara ya kwanza...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
WanaJF, Nawaombeni kama watu wenye uwezo wa kufikiri mnisaidie kufikiri. Tafadhalini sana nawaomba mnisaidie katika hili. I believe this is a noble task. Mimi ni kiongozi wa wanachi. Ni...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
The impersonal hand of government can never replace the helping hand of a neighbor- You can donate blood at Muhimbili, volunteer at National stadium, Volunteer at Mzambarauni primary...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda anatoa taarifa bungeni kuhusu milipuko ya mabomu Gongo la Mboto Azungumzia takriba watu 19 wafariki Raisi kukutana na baraza la usalama la taifa Bunge laahirishwa...
0 Reactions
123 Replies
12K Views
Tumezoea kila wapinzani wakitaka kufanya maandamano viongozi wa jeshi la police wanatoa amri ya kuzuia maandamano kwa kile wanachokiita taarifa za kiintelijensia lakini kwenye majanga kama haya ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Online activists have called for countrywide protests on Thursday, seeking an end to Muammar Gaddafi's long rule. Protesters in Libya are set to take to the streets for a "day of rage," inspired...
0 Reactions
0 Replies
898 Views
I believe report itakayotolewa na waziri wa ulinzi na jeshi mfu la jkt atatoa report aliyotoa kwenye report ya mbagala.matukio haya yanafanana kwa kila chembe ya ukweli wake.sasa tusubiri kwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninafikiri wengi mtakubaliana na mimi kwamba tumejaliwa rais ambaye hapendi kuumiza kichwa kufikiri jinsi ya kutatua matatizo sugu ya wananchi wake kama umeme, Mauaji ya Arusha, migomo vyuo vikuu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nafahamu bunge linaendeshwa kwa sheria, taratibu na kanuni. Anayesimamia haya yote ni Mheshimiwa (I prefer Ndugu) Spika. Je, endapo Spika atakosea, atapotoka au kupotosha kwa makusudi au bahati...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Badala ya kuandamana kudai ng'ombe atoe maziwa zaidi kwanini wasiandamane kutaka ng'ombe alishwe zaidi ili atoe maziwa zaidi? Au kwanini wasiandamane kupinga maziwa ya ng'ombe kupewa watu wachache...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Juzi nimepata mshituko mkubwa jk anatembelea soko la mahindi kibaigwa badala ya kutembelea mitambo ya umeme au hata bandarini kuangalia hali ya mafuta ambayo ndio matatizo yanayolisababishia taifa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Vuguvugu la Mageuzi linaloendea Mashariki ya kati ni Ishara ya Mwanzo wa mfumo mpya Utawala ambao Kidemokrasia inatawaliwa Nguvu ya Umma ambayo haitokani na Uchaguzi a mfumo wa Kisiasa bali...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna mawaziri wananichefua kwa lugha zao na zaidi, pale wanapogeuza haki zetu kuwa 'kilio'. mmoja wao ni Mizengwe Pinda. Utawasikia wanasema hivi:- "nitamfikishia rais kilio chenu cha katiba"...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
wana JF na watanzania kwa ujumla, Tumeona watawala wetu mbalimbali wakifanya madudu na hakuna anayechukua hatua au kutoa kauri kali kukemea. sasa tumefikia hatua ya mabomu kulipuka mara kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Umefika wakati sasa tuwaambie watawala wetu kuwa sasa imetosha! Tuwaambie tumetosha kuendelea kuogelea kwenye vinyesi kila mara yanapotokea manyunyu katika miji yetu mikuu, tuseme basi sasa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WanaJF hivi focus ni kuzuia malipo ya Dowans, au ni pamoja na Kuondoa mzizi wa janga la taifa kuangamizwa na mafisadi? Bila kuweka wazi dira katika masuala haya nyeti kwa maslahi ya taifa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom