Pasi na shaka CHADEMA ndicho chama cha upinzani chenye nguvu kwa sasa. Katika uchaguzi uliopita CHADEMA wameonyesha wanaweza, huku vijana wanaharakati na wasomi wakipata nafasi za ubunge.
Katika...
anahitimisha mjadala wa hotuba ya rais kwa kufanya comparison ya kile kilichokuwapo kabla ya uhuru akilinganisha na leo, nachoona mimi anapwaya kujaribu kulinganisha maendeleo ya watu ya miaka ya...
Leo Rais Obama ametoa tuzo ya juu kabisa ambayo serikali hiyo inaweza kutoa kwa raia - yaani, Nishani ya Uhuru (Medal of Freedom). Nishani hii hutolewa kwa watu mbalimbali ambao wametoa mchango...
Ni jambo la kushangaza yale magazeti yetu ya dailynews na runinga za TBC wameacha kale ka mtindo cha kumuita Kikwete Dakta aka Dr Jakaya Kikwete! kulikoni? amenyang'anywa zile shahada zake za...
MWONGOZO WA SPIKA NI MSUKULE WA CCM
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi.Anne Makinda ana shida katika mfumo wake wa kufikiri. Ana mawazo funge (mawazo yasiyo huru), mawazo...
[African Barrick Gold doubles annual profits
By Christopher Thompson
Published: February 16 2011 09:51 | Last updated: February 16 2011 09:51
African Barrick Gold, the Tanzania-focused gold...
Kweli wanasiasa wa Tanzania mnatupeleka wapi Watanzania?
1.Sio ninyi mliounda Tume ya Kuchunguza mchakato wa Zabuni ya Richmond na badaye mkamwajibisha na kumwangusha Waziri mkuu EL...
..baada ya hoja yao kutekwa nyara na CCM walipaswa kuachana na harakati za kubadili kanuni ya bunge kuhusu kambi ya upinzani.
..matokeo ya hoja yao ni kudhoofika kuliko kuimarika kwa kambi ya...
Serikali imetolea tamko tatizo la mgawo wa umeme nchini na kutaja hatua sita za dharura ilizochukua katika kukabiliana na tatizo hilo sugu.
Akizungumza bungeni jana, Waziri wa Nishati na Madini...
One of my friends once said: things look darkest before it becomes completely dark.
These words comes to mind as the power crisis is developing. What started as a once in a while power cut...
Hata kwenye kampeni za kugombea U-Rais mwaka jana,mgombea wa nafasi hiyo kupitia CHADEMA Dr Slaa alikuwa akitusisitizia umuhimu wa Tanzania kuwa na serikali ndogo isiyozidi mawaziri 15 na kwa...
Ndugu Zangu,
MAGAZETI, Redio na Runinga zimeripoti, jana na leo; Freeman Mbowe amemtosa John Shibuda kwenye Baraza Kivuli la Mawaziri.
Tafsiri yangu, Mzee John Shibuda, Mbunge wa Maswa...
Mimi nashangazwa sana na Jk Serekali anavyo iendesha kama vile ni mali ya urisi wa familia yake, nchi imekabiliwa na matatizo mengi ya kijamii na ya kilazima Hospitali kukosa dawa na Ambalesi...
Jamani,
Hicho ndicho nachokiona mitaani. Wananchi wengi wanatamani 2015 ifike haraka. Inawezekana kweli wamechoka na kikwete kiasi hicho? Kama ni kweli, je,
watakubali kuirejesha tena ccm...
Watanzania tungekuwa wazalendo wa kweli tunaoitakia mema nchi yetu, tusingeiruhusu ccm kwa mara nyingine tena iendelee kushika usukani wa uongozi wa nchi hii. Wakati wa uchaguzi wa mwaka jana...
Ofisi ya Uchunguzi wa makosa makubwa ya kifisadi(SFO) imesema imeshindwa kumhusisha Mhe Chenge na tuhuma za rushwa katika ununuzi wa rada.
Majibu hayo yamekuja miezi michache baada ya TAKUKURU...
Wengi wetu tulisoma maandishi ukutani kuhusu hatma ya nchi hii ikiwa mikononi mwa kiongozi ambaye ushindi wake umeacha manung'uniko badala ya furaha kwa wananchi. Hali hii katika ulimwengu wa...
Kashfa za Benki kuu sasa zimekuwa kama ni za kawaida....................kila Raisi huleta mtu wake wa kumsaidia kumega pato la taifa na kulibinaifisisha na kuwa lake binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.