Hali kama hii ndio inayoendelea hapa Tanzania
Mohamed Heikal: 'I was sure my country would explode. But the young are wiser than us'
Robert Fisk meets the doyen...
Hatua ya rais JK kuikana Dowans na kutokuwawajibisha watendaji wake ni kielelezo tosha kwamba yeye mwenyewe binafsi ni mfaidika wa sakata lote hili la kampuni ya kufua umeme.
Kama angekuwa...
MAELEZO NA UFAFANUZI WA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA(MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUHITIMISHA HOJA YA KUJADILI HOTUBA YA MHESHIMIWA DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS...
Ajari mbaya imetokea maeneo ya Vigwaza, msafala ulikuwa unatoka Dsm unaelekea Chalinze (Msoga). Magari matatu yamegongana, gari 1 aina ya toyota Land Cruiser ambalo lilikuwa kwenye msafara...
WanaJF,
Suala la CDM kumtambua au kutomtambua Raisi wa JMT limezua mijadala mbalimbali.
Kuweka rekodi sawa imebidi niweke hoja mbele yenu. Hoja yangu ni kwamba kama CDM tumeendelea...
Mbunge wa Maswa, John Magare Shibuda amepitishwa rasmi na Bunge kuwa mwakilishi wa Bunge katika taasisi ya Umoja wa Afrika inayotathmini mambo ya utawala bora (African Peer Review Mechanism) APRM...
My take, kama mimi ningekuwa ni kiongozi wa cdm ktk hizo 90 mil, ningewaamuru wabunge wote wa chama changu wanunue magari yasiyozidi 40 mil (yapo mengi new & used, nami ningewashauri wanunue used)...
Jamani kwa Mambo yanayoendelea bungeni hakuna haja ya kuendelea kuwa na Wabunge. Wanapoteza/wanafuja rasilimali za taifa bila Tija. Ni busara Mabaraza ya madiwani yakaimarishwa.
jamani hili...
Baada ya baadhi ya Wachambuzi wa JF kuanza kudadavua hapa siku ya kwanza wakieleza kuwa, ingawa ni Wakili wa kujitegemea, kuna utata wa Mh. Marando kumtetea Manji (aliyetuhumiwa na Mengi kuwa...
Kampuni ya Dowans Tanzania Ltd imetangaza rasmi zabuni ya kuuza mitambo yake ya kuzalisha umeme ikiwa ni miezi mitatu baada ya serikali kusitisha mkataba wake na Shirika la Umeme Tanzania...
Mkuu Pasco.Heshima mbele.
Nimeamua kuanzisha thread hii kwa makusudi kabisa ila kuondoa upotoshaji ambao umeufanya hasa kwa wale ambao hawajatazama Bunge. Kuna watu wengi tu hawajatazama Bunge...
Wana jf,
Naomba kujua kuhusu hali ya wachina kariako na sehemu zingine zingine za nchi ni kweli wameondoka? Na je kuna waliokamatwa mpaka sasa?
Tunaomba wale walio karibu na maeneo ya kariakoo...
Toka kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010 zilipoanza, CCM wamekuwa na wakati mgumu wa kuwaaminisha watanzania kuwa bado wana uwezo wa kuendelea kuliongoza Taifa hili kutoka kwenye lindi la umaskini...
Ndugu wana JF
Naomba, Mh Waziri Mkuu PINDA Tunakuomba uchukue hatua kama Waziri mkuu maana tatizo la umeme sasa linaipeleka Tanzania Kubaya, Baadhi ya Viwanda vinafungwa na hatimaye vijana...
Msando amburuza kortini Mwanasheria Mkuu wa serikali
na Grace Macha, Moshi
DIWANI wa kata ya Mabogini, Albert Msando (CHADEMA), amemfikisha mahakamani Mwanasheria Mkuu wa Serikali na...
Ndio, nasikia eti JM kasema anashauri tukodishe mitambo ya DOWANS hata kwa miezi mitatu ili tuepukane na tatizo la umeme.
Hakyanani nasema, Egypt inakuja bongo. Nyie subirini tu. Hawawezi...
Bulk of mining taxes comes from workers Tuesday, 15 February 2011 07:16
By Florence Mugarula
The Citizen Reporter
Dar es Salaam.
Despite claims of a boom in Tanzanias mining industry, the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.