Wana JF polisi mmoja akiwa katika uniform amepigwa risasi hadi kufa maeneo ya Arusha chini ya mti karibu na stand ya magari ya kwenda Kisongo, Kwamrombo.
Ilikuja gari aina ya RA4 ikiwa imewasha...
Yapo magazeti ambayo yamesifu sana uteuzi wa baraza la mawaziri kivuli la Chadema chini ya uongozi wa Kiongozi wa Kambi ya upinzani Mhe. Freeman Mbowe lakini mawziri wakiwa 29 hivi hilo baraza ni...
katika hali inayoshangaza Mwanasheria Mkuu wa zamani Bw. Andrew Chenge amejisafisha kuwa yu safi kwa kutumia hukumu ambayo yeye wala hakuwa mshitakiwa ila alikuwa ni shahidi ambaye hata...
Mbunge wa Kigoma kaskazini Mh. Zito amemweleza Spika awasisitizie mawaziri wapungeze salamu na kuitana dada, mke wangu kaka yangu na pia waeleze maslahi binafsi kwenye mambo wanayo changia kama...
Ndugu Zangu,
WaMisri wale hawakuchoshwa tu na Hosni Mubarak. Walichoshwa na mfumo mzima na hususan chama chao tawala. Ndio, tulishuhudia, kuwa jengo la kwanza kutiwa kiberiti na waandamanaji...
Govt seeks emergency support from donors Thursday,
10 February 2011 00:46
By The Citizen Reporters
Dar es Salaam. The government has appealed for additional funding from donors to meet an...
salaam wana JF,
nimekaa na kulitafakari bunge letu tukufu la Tanzania na kugundua bunge letu ni bunge kwa jina lakini halifanyi kazi ya bunge haswa ambayo wananchi tunaitarajia na kuona mafanikio...
Nimesikitishwa sana na kauli ya Mbunge mmoja jionh hii wakati akichangia hotuba ya Mh. Rais, amesema, walifanya mtihani zaidi ya laki 3, lakin walifaulu elfu 38 tu, waliobaki walifeli, akashukuru...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hushughulika na masuala ya aina mbili; kwanza, yale masuala ya muungano kama yanavyopitishwa mara kwa mara kwa mujibu ya sheria. Na pili masuala...
Wazee wataalam wanaJF,
Tafadhali mtujuze, hivi kuna hasara na faida gani kuwa na rais wa nchi mtendaji (executive president) ambaye vilevile ni mwenyekiti wa chama chake tawala, kama alivyo hapa...
JOHN MASHAKA ON DOWANS, TANESCO NA MGAO WA UMEME DEBATE!
Over a year ago, I wrote an article decrying countrys energy crisis. I am once again forced to revisit the same topic; using the same...
Hii picha inaonyesha kikao kimojawapo muhimu katika maandalizi ya Bunge huko Dodoma. Katika viongozi waliokaa hapo, anaonekana katibu wa Bunge, Spika, Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa...
Mbunge wa Korogwe Vijijini Mr. Ngonyani au almaarufu Prof. Maji Marefu ameanza rasmi kuchangia bungeni sasa hivi. Na katika shukrani zake amewapongeza waganga wa jadi wote nchini kwa kumwuunga...
Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad, akihutubia kwenye Maadhimisho ya 20 ya Jumuiya wa Mataifa na Watu Wasiowakilishwa Kwenye Umoja wa Mataifa, katika hafla iliyofanyika...
Kitendo cha Mr. Shibuda kutoa kauli za kuwashambulia wabunge vijana alipokuwa akichangia ktk kujadili hotuba ya Jk,kwa kuponda kile alichokiita harakati za vijana kudai mambo yao,ni wazi kabisa...
Dar es Salaam kuna kituo cha basi huitwa Gongo la Mboto mwisho wa lami. Zamani hapo ndipo lami ya kutoka mjini ilikuwa inaishia na kwa hiyo daladala pia zilikuwa zinaishia hapo. Siku hizi kuna...
Wana JF
Nimekua nikifatilia kauli nyingi ambazo amekua akitoa huyu bwana mdogo ni kauli ambazo haziendani na wana ccm wa siku hizi,jana nikiwa kama mwandishi wa habari nilihudhuria mkutano amabo...
Hatimaye kigogo wa siasa za upinzani mhe Hamad Rashid amepita bila ya kupingwa katika uchaguzi unaoendelea hivi sasa bungeni dodoma. Alikuwa akigombea ukamishna wa kamati ya utumishi wa wabunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.