Tumekua tukiona mara nyingi wabunge wetu wakiwa bunguni wakiwakilisha matatizo yetu kwa serekali lakini mambo yaliyo mengi huwa yanaishia hapohapo bungeni bila kupatiwa solution.
Mfano sasa...
Mimi ni mmojawapo wa Watanzania waliokerwa sana na mauaji ya Arusha mjini ya raia 2 Watanzania na Mkenya 1.Tarehe 10/2/2011 wakti WM Mizengo Pinda akijibu maswali ya papo kwa papo aliamusha hisia...
wajameni na wachambuzi wa siasa tuelezeni faida ya chama kuwa na mawaziri kimvuli kwa sababu ni wengi tunahitaji kujua ni faidi kwa wale ambao hata awajui.
Tuache propaganda katika mambo makubwa yanayoweza kuangamiza Taifa, tujadili issues kwa makini tuone nani kati ya vyama hivi viwili anayetupeleka kusiko ili tuonye na kutoa ushauri kwa kuweka...
Naomba wanajf tujadili tuhuma hizi.
CCM chakishutumu Chadema migomo vyuo vikuu
Na Mwandishi wetu
13th February 2011
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimekituhumu Chama Cha Demokrasia na...
Asema CCM bado wanazani Watanzania bado wako na fikra za ki-analojia ambapo huwa ni vigumu kupima wapi ni 0 na wapi ni 1. Asisitiza hakuna nidhamu ya kinafiki bungeni. Kama jambo lina status ya...
Wakati huo huo Kamati ya Bunge inayoshughulikia Nishati na Madini imelazimika kuanza kazi mapema kutokana na makali ya mgao wa umeme.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye moja ya ofisi za...
Wana JF naomba nisaidieni,ikithibitika kuwa ni kweli Pinda ametoa taarifa ambayo sio sahihi,na hivyo kulidanganya bunge,je Spika aliyemwambia mh.Lema ameonyesha utovu wa nidhamu atapaswa...
Wakuu wa JF,
Habari kutoka mjengoni zinatabaisha kuwa ccm wameshtukia dili utetezi wa Mh.Gobless Lema (Chadema) dhidi ya hoja ya spika wa bunge mh Anne Kitoto cha ndege. Spika amenukuliwa...
Waungwana,japo ni mara ya kwanza naandika ktk safu hii,naanza na swali moja kwa moja.baada ya kuangushwa rais mubarak wa misri,ningependa mwenye ufahamu juu ya hili anijuze utajiri wa kiongozi huyu.
This opinion is exclusive for Tanganyika's..
Eti wana jukwaa la siasa katika muungano huu wa serikali mbili upande wetu huu wa Tanganyika kupitia ofisi yetu ya Waziri mkuu Tawala za mikoa na...
SASA NAAMINI Mh.Dk,Luten Kanali KIKWETE tarehe 31/12/2010 kwenye hotuba yake aliwatakia wanainchi HEAVY NEW YEAR 2011 na sio happy new year
Bei za bidhaa hizi na nyinginezo zimepanda...
Ndugu yangu kikwete,
Naandika ujumbe huu nikiwa kama nabii ninayeleta ujumbe mwema kwako. Sijatumwa na Mungu au mtu yeyote. Nimetumwa na nafsi yangu inayolia na kulitakia mema taifa letu la...
ktk utafiti uliofanywa na Ms Laura weinstein, msomi kutoka chuo kikuu cha California, Los Angels, aliyepobea ktk sayansi ya siasa, ktk study yake yenye jina lisomwalo THE POLITICS OF GOVERNMENT...
BAMUTURAKI MUSINGUZI
The course of the 47-year existence of the United Republic of Tanzania has been anything but smooth.
From Zanzibar nationalism, the structure of government, and inequity in...
Leo katika magazeti nimesikia Spika wa Bunge Mh Anna Makinda akitoa maelekezo kuwa hairuhusiwii wabunge kupokea posho mara mbili wanapokuwa katika shughuli za kibunge kwenye taasisi na mashirika...
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi...
Wapendwa wana jamiiforums, imefika wakati tutafakari kuhusu mwenendo wa taasisi zetu mbili yaani Wizara ya Fedha na Benki Kuu zilizo mihimili mikuu ya mustakabali wetu wa kujikimu hapa nchini...
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja (kushoto) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, January Makamba wakati walipotembelea Bwawa la Mtera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.