NI KWELI WAZIRI MKUU AMELIDANGANYA BUNGE
Deusdedit Jovin
FEBRUARI 10 mwaka huu, Spika wa Bunge, Anne Makinda, alipindisha Kanuni za Kudumu za Bunge (2007) kwa lengo la kubembeleza...
What does the concept of 'National consciousness' mean to us citizen of this country? Have we as a nation come into common understanding of what we strive for?
For the past three years we've...
Mbunge shibuda akiendeleza kile kinachoitwa Vijembe,mipasho ya bunge la sasa huku akitumia misamiati ya kiswahili cha pwani kumponda kiongozi wa CHADEMA na wanachadema alishangiliwa sana na...
Kitila Mkumbo;1612977]For me:
This revolution was leaderless! When wananchi decide that enough is enough, there is no power of oppression or coercion that can defeat them.
During the great...
Huyu mzee mwenzenu namchukia sn kwani anazungumza kama yupo usingizini sijui ni uzee au ni norms za ccm? Daaaah.....lakini safi coz anafacilitate anguko lao 2015
Taarifa tofauti tofauti zinatolewa kuhusu mwelekeo wa uchumi wa nchi yetu. Gavana alitoa kuwa uchumi uko kwenye hali nzuri, wakati waziri wa fedha anaonyesha hali tofauti, lakini tukilinganisha na...
CCM kama kawaida yao wanachukua the best.
Slaa alishinda uchaguzi, wakuu wa vyama wakamtosa (wakafuata ushauri wa Kiranga).
Kwa vile Slaa alikuwa kapi, CCM walitaka ngano, wananchi wa karatu...
Wabongo tumeshikia bango ofisi za TANESCO ambazo kimtazamo angalau zipo mbali na Barabara kiasi kwamba haziathiri shughuli mbalimbali. Mbona Hamshikii bango jengo la millenium towers lililopo...
Ndugu wana JF, kwa nini jeshi letu la polisi linapata habari za kiintelejensia pale maandamano ya kupinga kitu fulani yanapotaka kutokea na linabaini kuwepo vitendo vya uvunjifu wa amani lakini...
Ndugu wanaJF, kuna mambo yanayotokea hapa Tz na wakati mwingine nashindwa kuelewa kwa nini inakuwa vile. Mfano, hoja ya Dowans imeachwa kujadiliwa bungeni kwa madai kuwa ni suala ambalo bado liko...
KATIKA hali ya kushangaza jana Spika wa Bunge Anna Makinda alimruhusu Mbunge wa Nkasi, Ally Kessi Mohamed (CCM), kusema kuwa angepata ubunge kwa tiketi ya CHADEMA ingekuwa kashfa kubwa kwake...
Hali ya afya ya Mfalme Abdullah ibn Abdulazizi wa Saudi Arabia imeripotiwa kuzorota zaidi kutokana na juhudi zake za kuzuia kutimuliwa madarakani dikteta wa zamani wa Misri Husni Mubarak.
Duru...
Kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na baadhi ya viongozi wa ngazi za juu serikalini, zenye kuashiria kwamba serikali ilikuwa tayari kuilipa Dawans, zimetafsiriwa na wadadisi wengi wa habari kuwa...
mama mongela anaongea sasa bungeni, na amependekeza ile mitambo ya richmond/dowans itaifishwe ili itusaidie wakati wa dharura.
mimi namuunga mkono, kuwa wasiruhusiwe kuichuka hiyo mitambo, ikae...
Community ya Wzanzibar wanao ishi nje waiomba jumuia ya kimataifa kutowa warrant wakukamatwa Benjamen Mkapa kwa mauwaji ya Wzanzibar 40 waliopigwa risasi ktk mandamano yaliofanyika 2001 26/27...
CCM na serikali yake mpakaleo hii viko kimya kuhusiana na tukio la kishujaa la wananchi wa misri kwani somehow linawahusu kwani madai ya wananchi wa misri yanafanana na madai ya wananchi wengi wa...
Katika miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia vijana wengi wakipewa nafasi za juu huko serikalini na katika hutumishi wa umma kwa ujumla. Tofauti na matarajio, kuongezeka huko kwa idadi ya vijana...
chadema tuache pigana vijembe na ccm tutapoteza dira tuchape kazi...
Ukibishana na mjinga na wewe unakuwa ......
Maana bunge linaanza kupoteza mashiko kwa kuendeleza mipasho kama linavyoendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.