(CNN) -- Switzerland's government moved Friday to freeze any assets in the country's banks that might belong to former Egyptian President Hosni Mubarak or his family, the Swiss Federal Department...
Nilifatilia kwa makini mchango wa mh.mbowe jana pamoja na mh.shibuda,kwakweli nilipata wakati mgumu kuamini macho yangu nilipoona mbowe akimwaga sifa tele kwa mkuu,na shibuda alipopewa nafasi...
Hapa tunajenga hoja, kama mtu ametofautiana na wewe usimtukane.
Tusijipe moyo kwamba nasisi tutafanya kama Misri, hawa jamaa wenye asili ya Kushitic wanamisimamo sio kama wabantu, ukimkosea...
ivi hizi kamati kama za cheyo, na mrema na zitto zinalipa kiasi gani.. kuna mshahara tofauti au.. au ni hizi posho za kuzunguka... mi sijawahi hata kusikia ofisi ya pac au laac
nijulishe
Sat Feb 12, 2011 7:38AM
Share | Email | Print
Former Pakistani President Pervez Musharraf
A Pakistani court has issued an arrest warrant against former President Pervez Musharraf for his...
wajemeni naona Jamii forums ni vuguvugu la great thinkers maana baada ya disapproval ya utendaji wa huyu bwana leo hii nimeona akiulizwa kwanini maji hamna dar! Jibu lake...wale wanaomtetea...
Matukio yaliyotokea Afrika mwanzoni mwa mwaka huu ni fundisho kubwa sana kwa nchi ambamo raia wake wanaishi maisha ya ufukura sana huku wachache wao wakiwa wanaishi kama wako kwenye bustani ya...
Ndugu Zangu,
Viongozi Afrika wanapaswa kutambua sasa, kuwa Mwafrika wa mwaka 1975 si Mwafrika wa mwaka 2011. Waafrika wameamka. Viongozi Afrika wana lazima ya kuendana na mabadiliko ya...
KAGERA
MANISPAA YA BUKOBABUKOBA MJINICandidatePolitical Party
Number of Votes
Percentage Votes
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA
16,60450.16KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM
15,41046.56LIPUMBA IBRAHIM HARUNA...
Nimekuwa nikifatilia vipindi vya Bunge hili runingani almost toka siku yakwanza, binafsi sijapata picha hili ni bunge la aina gani, hoja zamsingi zinakuwa ignored kwa mitizamo ya kichama, wanawake...
Nitataja baadhi ya sababu zinazotufanya Waafrika weusi tuwe nyuma
kwa kila kitu..
na wewe unaweza ukaongezea zako and i dont mean all but most of us (95%)
1-Ni waoga na hatuna ujasiri...
Nimeshangazwa na kauli ya magufuli kutaka kuboboa jengo la tanesco najiuliza je tutakua tumepoteza sh ngapi za kodi zetu kukosa plan nzuri ya jiji letu hapo mwanzo'ni kweli jengo liko kwenye road...
Kwa siku za karibuni tumekubaliana katika mengi yanayokwenda vibaya kama nchi. Ambacho hatukubaliani ni njia ipi na mikakati ipi itumike kuyakabili na kuyarekebisha yale tunayofanya vibaya...
Waungwana, ninapendekeza tuanzishe mjadala kuhusu ni mafunzo gani tunaweza kujifunza hapa Tz kutokana na mapinduzi yaliyotokea Tunisia na Egypt. Je mabadiliko ya namna hii tunaweza kuyaleta hapa...
na Bakari Kimwanga
WAANGALIZI wa Uchaguzi Mkuu kutoka nchi za Jumuiya ya Ulaya (EU), wametoa masikitiko yao juu ya kutokuwa na uwazi katika ujumlishaji wa matokeo ya urais, ubunge na udiwani...
Thanks God nafutilia bunge hili kwa kina, jambo la kusikitisha ni kwa wabunge hao wawili wa CDM Shibuda na Selasini!!!!! naona kuna kitu wanakitafuta CDM, Viongozi wawe macho na watu hao, watu hao...
Hakuna asiyetambua hofu na uoga uliopo miongoni mwa wanachama na viongozi wa juu wa CCM NA CUFdhid ya chama chenye wapenzi wengi na kinachoaminika miongoni mwa vijana na wananchi masikini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.