Baada ya wananchi wa Algeria kusikia kujiuzulu kwa Rais wa Misri,walisherekea na kuanzisha maandamano wakitaka nao mabadiliko,pia viongozi wa upinzani nchini Algeria wameitisha maandamano nchi...
Katika kipindi cha maswali kwa Waziri mkuu leo asubuhi Mh. Waziri mkuu amesimulia kilichojiri katika mauaji ya Arusha na kwa mujibu wa maelezo yake yameonesha kuituhumu CHADEMA kuwa ni chanzo cha...
WHY AFRICA IS 25 YEARS BEHIND THE DEVELOPED WORLD.....
AFRICAN LEADERS
Abdulai Wade age 83
Hosni Mubarak ( Egypt ) age 82
Robert Mugabe ( Zimbabwe ) age 86
Hifikepunye Pohamba ( Namibia )...
Niliwahi kuchangia thrad moja humu kuwa kama tunataka kuboresha shule za serikali, basi tufute shule za private.
Hata hivo ninapotafakari uwezekano wa kufuta shule hizi, nahisi sio jambo rahisi...
Alianza kwa kushukuru kama kawaida lakini baadae ni kama alikuwa mshahiri hivi kwa jinsi alivyokuwa akiongea mpaka kengele inagonga akaomba aendelee kama wabunge wataridhia.
Kiujumla siwezi...
kitengo cha propaganda ni muhimu kwa chadema ikizingatiwa ccm wanatumia sana kitengo chao. chadema itafute vijana wasomi wenye uwezo wa kujieleza ili wawafunike akina tambwe. pia kwa vile ruzuku...
Egyptian Vice President Omar Suleiman says President Hosni Mubarak has stepped down and ceded authority to the supreme military council; This means people's power has won in Egypt YES... WE...
najua wengi wenu mnamiliki laptops,na mnaingia mtanadaoni anytime home and away kwa kutumina modem (sijui ni king'amuzi kwa kishwahili) zenu. lkn tusishahau kuwa moja ya mafisadi wanaoyumbisha...
Kwakweli imedhihirika wazi kwamba Tanzania inahitaji Mapinduzi ya Kizalendo kwa haraka kuliko katiba Mpya,Katiba is just a peace of paper,kama kuna anayebisha aniambie ni kifungu gani katika...
Asalam Aleikum waungwana. Leo mimi kama mtanzania mwenye uchungu na watanzania wa dini zote naomba kuchukua nafasi hii kuwashauri ndugu zangu waislamu. ACHANENI NA CCM INAWALOSTISHA. SAbabu ni...
Mh.RA is among the longest Serving MPs,amona spika wanaingia na kutoka,ameona mengi akiwa bungeni,he doesnt talk much ktk bunge,ila wananchi wake wanaridhika na utendaji wake,wanampenda sana.
He...
Wana JF nimekuwa nikifuatilia speech mbalimbali za wawakilishi waliochaguliwa na wananchi kabla na baada ya uchaguzi.
Wenye upeo mkubwa wa kufikiri na kuchambua mambo mtagundua ya kwamba si...
Naangalia live jinsi wamisri walivyo na furaha kwa kuweza kuleta mapinduzi. watasheherekea hadi asubuhi. nilivyochoshwa natamani ingekuwa imetokea TZ. Naamini nitaishi kuona siku ccm inangolewa...
Uwepo wako kukosekana katika kiti cha Spika wa bunge kumeonesha mapungufu mengi sana! Hekima zako, busara, utulivu na umakini katika kuendesha shughuli za bunge ndizo hasa zinatufanya tukumbuke...
jamana kwa mliokua mnafatalia bunge la jana, mh. Mbunge wangu wa arusha mjini, aliomba mwongozo, au ni mbinu za kutaka kum'bambikizia kesi kuwa kamchafulia jina waziri mkuu??
mbunge wa lushoto Henry Shekifu wakati anachangia mada leo bungeni emesema Uchumi wa Nchi umekuwa kwani ndege(eroplane) zinapishana uwanja wa ndege, anammanisha kuwa uwingi wa safari za ndege...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.