Wana jamvi kama mjuavyo mgao wa umeme sasa umeshika kasi. Niko hapa mwanza leo ni siku ya nne hakuna umeme, wanakata sa kumi na mbili asbh wanarudisha usiku hivyo no acces to tv. Nimeamua kununua...
Natoa pongezi zangu nyingi kwa zitto kabwe (mb) ambaye muda wote amekuwa a good gentleman with showing patriotism in the parliament.
Ni mbunge mmoja tu wa upinzani ambaye toka niangalie bunge...
Watanzania wenzangu,
Siyokwamba nayaandika haya nikiwa napenda,lakini ninaona jinsi Nchii hii inavyoongozwa na Wanataaluma wasiojua kutumi fani zao pale inapotakika.
Najua Waziri Mkuu ni...
ndugu zangu huku kwe2 umeme umekatika tangu asubuh kwa hyo cjuwi nini kinaendelea bungeni naombeni mnipe habari nami nijuwe kinachoendelea huko. HUKU KWE2 UMEME UNARUDI SAA TANO USIKU.
Ndg. Wapendwa jana katika tarifa ya habari ya saa mbili usiku TBC walitangaza kuwa kiwango cha kufaulu matokeo kidato cha nne "chapanda" ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Hata Thread iliyokuwa...
Send to a friend Thursday, 10 February 2011 21:23
KIONGOZI wa upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema ataunda baraza za Mawaziri kivuli
litakalojumuisha wabunge wa Chadema pekee.
Akizungumza...
Watanzania wangapi wamekuwa "punk na ccm" Kweli watanzania tumekuwa watu wa namna gani? Huyu Lowasa kaibia Taifa lake na ilijulikana wazi Richmond ilikuwa ya kwake. Kutokana na sheria za Kikwete...
Ni kutotutendea haki wananchi, wanachama, na wapenzi wa CDM Kulazimishwa kwamba CDM iungane na vyama vingine ili kuharakisha kuiangusha ccm. kwani panya 90 wakiungana akija paka kuna panya...
Jioni hii nimesikitika kumuona mbunge bungeni anasema maendeleo ni pamoja na jengo la bunge, hapa ni sawa na Jk aliposema kuwa na magari mengi ni maendeleo hakika Tanzania ina watu wapuuzi sana...
Gazeti la jambo leo toleo la leo tar 11 feb. 2011, ukurasa wa mbele kabisa kuna picha ya mtu mmoja ambaye kwa mujibu wao wanasema jina lake halikuweza kupatikana. Kapigwa picha inayoonesha...
Ukisoma kwa makini hoja zinazoletwa huku ni malalamiko ya siasa na siyo siasa! Majadiliano ni kuhusu CDM, CCM, CUF, NCCR na TLP! Wengi hawajui hata hivyo vyama vinasimamia nini. Suala kwamba...
Kwa waliomwona na kumsikiliza Pinda akielezea kuhusu mauaji ya Arusha watahitimisha bila shaka yoyote kuwa ni mnafiki na ana tabia inayofanana na Paka. Anaoongea mambo yasiyothibitishwa huku...
As we are speakng now do not miss to follow up on the international media BBC, CNN and Aljazeera on the onlinne news about the fate of the Egypt, there are news that Mubaraka is about to step down...
habari zenu wana JF nimeshangaa sana leo wakati naangalia kipindi cha bunge kuona mbunge wa Lushoto bw. Shekifu eti akiishauri serikali kuanzisha mpango wa train iendayo kasi ili kukuza uchumi,
ni...
Nimesoma taarifa ya bwana Felichesmi Mramba kaimu Mkurugenzi mkuu wa Tanesco na ninamnukuu Alisema shirika linawasiliana na serikali kuangalia uwezekano wa kupata mitambo ya dharura ili...
I) Katiba wanataka kuunda wao. Katiba ya kwanza waliunda wao na Nyerere, wakerebisha wao na sasa katiba mpya ccm hao hao wanataka waunde wao. Huu ni ukiukaji wa Haki za binadamu. Kuna maana gani...
Ndugu Zangu,
KUNA mawili yanayoweza kutokea binadamu unapoukandamiza mpira uliojaa na hata ukabonyea. Mosi, kama umebonyea, basi, yaweza kuwa upepo umetoka kidogo. Pili, kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.