Nmesoma hii nkavutiwa ina hoja tuijadili
Courtesy of Ignas Kanuya.
Nimesoma nakala ya hukumu ya mahakama ya kimataifa kuhusu suala la DOWANS vs TANESCO.
Hadi sasa nipo katika kipengere cha...
Nimemsikiliza kibamba bbc ametoa hoja nzito sana. kwanza amemsifia sitta kwa uongozi mzuri bunge lililopita na akasema bila yeye wala bunge lisingekuwa imara. ameonyesha wasiwasi kama huyu mama...
Vijana wa tanzania saa ya ukombozi imefika tuungane tuingie kazini
kwa ajili yetu na vizazi vijavyo kwani tuna kila sababu ya kuipinga
serikali ya kiukandamizaji kwani sisi tuna hali mbaya sana...
Katika kipindi cha zaidi ya Miongo 30 au zaidi imedhihirika wazi kwamba serikali ya ccm kwa makusudi au kwa jeuri tu wana fanya mambo ambayo ni wazi haya saidi kukuza uchumi wa nchi na pia...
Mh Ndugai pamoja na wenzako fulani inaonekana uliumia sana wabunge wetu walipotoka nje wakati rais anahutubia. Leo naibu spika amesema eti wananchi waliowatuma wabunge hao...
jamani nawapa hii nihatari walimu waliamua kugoma kimya kimya tangu 2010 ndyo maana matokeo hako hivi na mkakati ni kufika asilimi 95% ya kufelisha pengine serikalia itasikia,si unaona leo angalau...
Vijana wa tanzania saa ya ukombozi imefika tuungane tuingie kazini
kwa ajili yetu na vizazi vijavyo kwani tuna kila sababu ya kuipinga
serikali ya kiukandamizaji kwani sisi tuna hali mbaya kuliko...
Nimeshangaa sana kusikia suala la machafuko ya Arusha yanajadiliwa wakati yapo mahakamani. Je tumeambiwa nini kuhusu Dowans? Ni ule msemo wa mkuki kwa nguruwe siyo.
Kweli mimi sielewi tunapelekwa...
Mbio za sakafuni zinaishia ukingoni,
Ni dhahiri kwamba kwa mara nyingine tena Mh John Cheyo ambwaga vibaya Mh Hamad Rashid katika kuongoza kamati ya kudumu ya bunge.hamad kwa mawazo yake alijua...
Hivi nawauliza CUF hawawezi kuchangia bungeni bila kuwasema vibaya CHADEMA?
Huyu Mnyaa, mbunge wa Mkanyageni kupitia CUF badala ya kuchangia hotuba ya rais yeye anakazania kuwasema chadema...
Walau kwa leo nimeguswa na hoja iliyotolewa na Mheshimwa Baruani Mbunge wa Lindi, kwamba, wakati mijadala ya BUnge inaendelea pengine ingekuwa vema wakawa wanaonyeshwa picha ya maisha halisi ya...
Mkurugenzi wa taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa Bw. Hosea anajiosha kwa wananchi kuwa mafaili 60 ya kesi za vigogo yamekaliwa na DPP - Bw. Feleshi, DPP Feleshi amepinga kauli hiyo na kusema...
Uchaguzi wa Kamati za Kudumu Bungeni umeisha ukiwaacha Mhe. Edward Lowassa na Mhe. Peter Selukamba videdea wa Kamati za Bunge za Mambo ya Nchi za Nje na Miundombinu, respectively. Hii ina maana...
Kwa upande wangu huwa napata faraja Chama cha upinzani kinapopata misukosuko ,kumbukumbu za CUF ni kubwa na kwa kweli viongozi wake walifika kuswekwa jela kwa muda mrefu wakibambikizwa makesi...
Katika kuonyesha msisitizo,leo katika kikao cha madiwani manispaa ya arusha madiwani wa chadema wametoka nje ya kikao,kusisitiza kutomtambua Meya
sasa hivi wanafanya press conference
yaani kila nikiamka siwaoni african dreams naona makamasi tu.kila kanakoingia katoto ka mkulima,bwana lusinde hilo sio eneo la kutafutia umaarufu,wenzio wenyeviherehere kama wewe wamekuwa toto...
Jamani CCM ndiyo chama tawala kwa Tanzania hilo halina ubishi. Lakini mwenendo wa siku za hivi karibuni kweli unanitisha.
1. Kila mara kiongozi wa CCM anaposimama kuongea yaani anaoongea vitu...
Nadhani kwa wale ambao mko kenya kwa sasa hivi mtakubaliana nami kwamba, serikali ya Mwai Kibaki amecharuka. Jana nimetoka airpoty kuelekea mjini. Baada ya kushuka kwenye TEXI kuingia hotelini...
Tumeweka Makala kadhaa kuhusu Wazanzibari jinsi wanvyoukataa muungano na Bara wanaita ni wa kichawi, wakila maneno mabaya; lakini Moderator hapa anaiondoa kuna sababu? Au tunatakiwa kuongelea tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.