Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kulingana na mfumo unaotumika katika mabunge ya "commonwealth", mwenyekiti wa kamati ya matumizi ya serikali anapashwa kutoka kwenye chama kilichoshika nafasi ya pili nyuma ya kile kinachounda...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani, Mwakyembe na waziri wako, naomba mpitie hapa muone jinsi Nairibo inavyofanya kupunguza foleni. hizi flyovers hata south africa sidhani kama sipo, wala cairo wala Lagos au...
0 Reactions
27 Replies
15K Views
Najua mama huyu anasoma JF au pengine ni mwana chama kama sio basi jamaa zake mfikishieni kaujumbe haka ,nimemuona leo alipohamaki baada ya LEMA kuomba mwongozo wa spika kuwa inapotokea kiongozi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za kuaminika zilizonifikia hivi punde kutoka kwenye newsroom ya NewHabari, inasemekana CEO wake Hussein Bashe na Wahariri wa RAI wakiongozwa na Danny Mwakiteleko wamepigiwa simu na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna story ilikuja humu enzi zile wakati mzee wa kaya alikuwa anakuja nyumbani kubadilisha suit na kuanza safari nyingine ughaibuni. Nasikia that time hata carpet pale airport lilikuwa halikunjwi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, Juzi mzee Mapesa alinichefua kiasi nikasema huyu mzee amekosa mwelekeo?, badala ya kujibu hoja ya msingi ya mbunge kijana Lissu yeye anakurupuka na kutoa lugha za matusi katika chombo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndg zangu wana JF wapenda nchi yetu ya TANZANIA, hebu tukae tutafakali kuhusu hili janga kubwa la ukame. Ukiangalia kwa macho ya kawaida utaona mambo ni kama kawaida, lakini kwa ukweli halisi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sura nilizozichoka kuziona na majina yao kuyasikia ndani ya ccm toka uhuru wa nchi yetu. 1.Kingunge ngombale mwilu. 2.Edward Lowasa 3.John Samuel malechela 4.Yusufu makamba Unaweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nimehabarishwa hivi punde madiwani wa CHADEMA wamesusia uundwaji wa kamati za maendeleo ya jiji la Arusha.
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Sakata la Dowans bado linaendelea, Watanzania kama kawaida yetu ya kuingizwa mkenge na kushikia bango kiasi cha kuamini mambo bila kuwa na uhakika na undani wa jambo husika bado tunajitahidi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Toka bunge limeanza tumeshaona jinsi ambavyo chadema wanapigwa vijembe na vyama vyote kuanzia ccm mpaka vyama vingine, hapo ndo unaona kabisa hao ndio wapinzani wa kweli ukiona wengine wanapigiwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kweli waziri wangu una kazi angalia watoto waivyo na uzuni hadi mashavuni
0 Reactions
1 Replies
5K Views
In Tahrir [Liberation] Square in the Egyptian capital, there is a growing sense of camaraderie as demonstrators continue to rally until Hosni Mubarak steps down as president. As the unrest...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Sishangai kwa namna yeyote ile kuona wabunge wa CDM wakishambuliwa na wabunge wa CCM pamoja na washirika wao CUF,NCCR, TLP UDP. Kwa tathmini ya harakaharaka ni kwamba wakati graph ya Umahiri wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Anza maandalizi sasa Mzee Chuma Cha Pua. Take notes. Soma alama za nyakati. Watanzania tunataka Rais asiye mlafi, asiye mbinafsi, asiye mwizi, asiye fisadi, asiye na laana ya Baba wa Taifa.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kafulila, Hamad waipiga vijembe Chadema Send to a friend Wednesday, 09 February 2011 22:08 Hamad Rashid Mwandishi Wetu, Dodoma MBUNGE wa Kigoma...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mambo yanyoendelea Tz yananikatisha tamaa sana. Mimi nipo nje ya nchi toka mwaka 2009, but nafuatilia sana mambo yanayoendelea huko through magazeti na humu kwenye JF. So bado nipo kwenye position...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakati akihailisha kikao cha bunge jana jioni' Naibu spika alitoa tangazo la kwamba wabunge wote wa CCM na CUF kutoka Zanzibar wanaitwa kwenye kikao fulani. Ndipo mh. zito kabwe akauliza kwa...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Hii inamaanisha kikao kimeboa wacha nilale!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
KAtika matokeo ya uchagizi wa wenyeviti wa kamati za bunge sijaona majina ya HAMAD RASHID na KAFULILA. Kwa kuwa ninaamini wamegombea nafasi mojawapo kati ya zile zilizowatuma kuomba bunge...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Back
Top Bottom