- Dadangu anatengeneza juice na ice cream, biashara imekufa baada ya hasara mfululizo inayotokana na kuoza kwa bidhaa hizo kwa sababu hamna umeme.
-Kaka yangu ni kinyozi, bahati mbaya hana...
Gharama wote tunalipia sawa unit tunanunua kwa bei moja, iweje maeneo mengine wapewe umeme muda mwingi kuliko sisi wakazi wa Temeke??? umeme wanakata saa 2 asubuhi na kurudisha saa 6 hadi 7 usiku...
Na Omari Moyo, Arusha
KIKAO kwanza cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kinaanza tayari kuunda Kamati za kudumu za halmashauri, huku kambi ya
upinzani ikisema hawatakubali...
Leo baada ya Kikao cha Bunge, Ndugai alitangaza kwamba kutakuwa na Kikao kati ya Wabunge wa CCM na CUF Zanzibar, nadhani watakuwa na kikao cha Kupongezana na kuweka Mikakati ya pamoja
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila(NCCR) na Hamad Rashid wa Wawi(CUF) jana waliipiga vijembe Chadema wakieleza kuwa matokeo ya uchaguzi wa wenyeviti wa Kamati za Bunge yameonyesha chama...
Wandugu, mpaka muda huu kuanzia saa nane mchana leo tarehe 07/02/2011 Spika wa bunge kwa kutumia kanuni za Bunge ambazo zinampa mamlaka ya kuunda kamati ya kanuni za Bunge na hii ni kwa mujibu wa...
NAOMBA TUZIJUE KAMATI ZA BUNGE HALAFU TUANGALIE WALE WALIOCHAGULIWA JANA WANAWEZA KUFANYA KAZI WALIZOPEWA AU???
KAMATI ZA BUNGE: MUUNDO NA MAJUKUMU YAKE
1.0 UTANGULIZI:
1.1 Bunge la Jamhuri...
Pamoja na Bw. Mapesa kueleweka kwa utendaji mbovu wa kutetea serikali ya kifisadi ya CCM na kuzima hoja za kimsingi alipokuwa mwenyekiti wa kamati za usimamizi wa mapesa yetu yanayohujumiwa na...
Utekelezaji majukumu -- na hasa usimamizi -- kuhakikisha Uwajibikaji, Uwazi na Ukweli kambi ya Upinzani Bungeni unajengwa na mazingira ya wao kufanyia kazi Bungeni-- Kuwepo kwa kanuni...
Sakata la CCM kubadilisha kanuni ni mbinu ya kuwazuia Chadema wasionyeshe uwezo wao na vipaji vyao vya uongozi Bungeni kupitia kamati za udhibiti wa matumizi ya fedha...
Miongoni mwa vitu vinavyolalamikiwa sana ktk kila chaguzi kuu hapa nchini ni TUME YA UCHAGUZI.Malalamiko haya hupelekea mpaka watu kudiriki kusema wameibiwa kura wakati wana mawakala wao humo...
Mwita kada wa chadema na mtatiro naibu katibu cuf wapo live channel ten 'BALAGUMU' mada.ushirikiano vyama vya upinzani bungeni. Mwita anasema ni vigumu kushirikiana.1 cuf ni sehemu ya serikali.2...
Pamoja na wananchi kukaa kimya kwa muda mrefu na kumwacha Mh Hamad Rashid kujitia kuwa yeye ndiyo msafi kuliko wengine wote asifikiri kuwa watu hawamjui tamaa yake inayomshinda Fisi, Bwana Hamad...
5. Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana.
6. Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea...
Kwanza kabisa natoa pongezi nyingi kwenu kwa kuchaguliwa au kuteuliwa ili muweze kutetea maslahi ya wananchi wote wenye itikadi mbalimbali.
Baada ya wananchi kuridhishwa na kazi iliyofanywa na...
Nimejaribu kuchunguza upepo wa kisiasa tanzania na kusoma nyakati then nimegundua mambo yafuatayo:
Kuna uwezekano mkubwa kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hautafanyika kukiwa na tanzania...
Sasa hivi hasira ya Watanganyika ni kubwa juu ya Hamad, Mzanzibari aliyeamua kushirikiana na CCM kuzuia mabadiliko yoyote ambayo watanganyika wanayataka katika Taifa lao.
Ukweli ni kuwa vyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.