Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hili sio jipya: January alipandikizwa na wapinzani wa hoja ya richmond ili akamtoe Mzee shelukindo, alichangiwa kwa hali na mali na Mh.Lowasa,Rostam na rafiki yake Manji...na sasa amefanikiwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF naomba kuuliza, kwa muda mrefu nimekuwa nikikwazwa na jambo hili ama mi ndo sielewi vizuri! Azimio la Arusha lilileta umoja na ustawi wa Tanzania... Azimio la Zanzibar, kama kweli lipo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Written by Stonetown (Kiongozi) // 09/02/2011 // Makala/Tahariri // 5 Comments...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni sheria/kanuni ipi ya bunge inaipa 'kambi rasmi ya upinzani' bungeni uwezo wa kuongoza kamati za PAC, LAC na POC?
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Toka kushoto mbele;Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein,Makamu wa Rais Serikali ya Muungano Dk. Mohamed Ghalib Bilali,Waziri Mkuu Mizengo Kayanda Peter Pinda,na Makamu wa Kwanza wa Rais wa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kama kawaida Mwanamke anashindikizwa na Rostam kupata Uspika na matokeo ni aibu tupu. Tukiangalia wanawake duniani waliopata nafasi za juu Kitaifa: Wanatetea Haki za Wanawake Hasa Wasio na Uwezo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kabla hata hatujasahau uchakachuaji wa kura za uraisi wa JK, kura za wabunge wa CCM, umeya wa jiji la Arusha, CCM sasa wameendeleza kufuru ya uchakachuaji wa waziwazi wa kanuni za Bunge. Ukisoma...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Prof. P.L.O Lumumba achambua serikali za Muungano katika Afrika inayolingana na CCM kuunda CCM-B, CCM-A n.k: Serikali za Muungano wa vyama zinavyoua upinzani Afrika Serikali ya Muungano ni kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika kuelekea uchaguzi wa October 31, Uwezo wa DR slaa kuimiri mikiki mikiki ya kampeni inapungua hii ni baada ya kukatisha kampeni zake JANa (23/09/2010) kurudi Dar kwa mapunziko Magazeti ya...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
CHADEMA wamedhihirisha ya kwamba wao ni : 1. Waroho wa madaraka 2.Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa bali ya binafsi zaidi 3. Kutokuwa na maamuzi sahihi, kwa maana hiyo basi utoto unawasumbua 4...
0 Reactions
81 Replies
6K Views
Habari ndo iyo. Nasikitika kuona imefika hapo kwa suala ambalo ninaamini lingezungumzika. Nadhani vijana wa Engineering itabidi wa-review thinking yao. Wenzao (mangwini) juzi walikuwa kwenye...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Wakuu JF, Naomba mwenye active link ya TBC1 au Star tv anisaidie ili niweze kufuatilia yanayotokea bungeni Dodoma....Tafaadhali chonde wajameni.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
SOURCE: ITV leo taarifa yahabari ya saa mbili usiku.......... Yaani nilichoona kimenishtua sana..........................waangalizi hawa hivi walikuwa nchi gani vile? Wamedai yafuatayo:- a)...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
kwa kweli hawa Chadema wana kazi, kwa mpango huu kweli wataweza alau kuresist nayao majimbo walionayo? Kafulila alisema wachache wanaopinga suala hilo, kimsingi hawana hoja zaidi ya ubinafsi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana Jf naomba nipatiwe link ambayo nitaweza kuangalia bunge letu tukufu pale Idodomea kwani nimejaribu kuangalia kupitia ITV hawaonyeshi bunge hilo live,nisaidieni hiyo link...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kesho ndio siku ya uchaguzi wa wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge baada ya leo kutangazwa majina ya wajumbe wa kamati hizo. Chama kilichoshika mpini Bingeni ndio determinant za nani...
0 Reactions
73 Replies
7K Views
Ipo haja ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania atoke chama kikubwa cha upinzani baada kuangalia ufunguzi wa kikao cha Bunge la Muungano Februari 2011 mjini Dodoma na yaliyojitokeza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kufahamishwa kuwa baada ya uchakachuaji wa ccm kuhusu kambi ya upinzani Bungeni, huko mitaani wananchi wanasemaje? Nauliza hili kwa vile hatima ya nchi hii ipo mikononi mwa wananchi, kama...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika semina elekezi,madiwani wa chadema waibana serikali,kuanzia mkurugenzi tamisemi,RC,DC wakishinikiza ufafanuzi juu ya uchaguzi wa meya.Katika hali ya msisitizo wamemfukuza mkurugenzi wa...
0 Reactions
64 Replies
7K Views
Mchana huu waislam wa Kigoma wametoa tamko kali kuhusu dhulma walizofanyiwa na wanaouita "mfumo Kristo". wamemlaani Nyerere na wote wanaoendeleza dhulma. Nimeambiwa redio Imaan ilirusha matangazo...
0 Reactions
113 Replies
11K Views
Back
Top Bottom