Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ni haki kumletea wito wa mahakama Mbunge ndani Bunge, akiendelea na shughuli za kitaifa!! Bunge kama limefikia hatua kama hii ya kudharaulika ni hatari; kwanza huyo aliyempa Tundu Lissu summons...
0 Reactions
66 Replies
9K Views
Mimi nilibahatika kupata muda wa kutizama Bunge jana japo kwa muda mfupi. kwanza niligundua kua huyu mama mbunge aliyekua anaomba CDM wapewe adhabu ana lake jambo. Toka awali alionekana ama kuomba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa baadhi yetu,bunge hili la sasa halitupi matumaini yeyote. Hii inatokana na ukweli kwamba tangu kuchaguliwa kwake limeonyesha udhahifu mkubwa katika kuweka vipau mbele vyake. Tuanzie na hili la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimetatizwa na hali iliyojitokeza jana bungeni pale wabunge wa CHADEMA walipoamua kutoka nje ya ukumbi kususia hoja ya kufanyia marekebisho kipengele cha kanuni ya kambi ya upinzani bungeni. Kwa...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Wana Chadema msife moyo, mti wenye matunda ndio unaorushiwa mawe. Hayo yote yanayofanyika bungeni wameshajua kuwa chadema hawashikiki. Bado moto utawaka tu na kamwe Chadema haitaporomoka. Huku...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
“Hivi ninyi mmeshinda kwa asilimia 20 mnakataa kushirikiana. Mngeshinda kwa asilimia 60 sijui ingekuaje! Mimi nadhani umoja wa kambi ya upinzani ni jambo muhimu. Tuache ubinafsi,” alisema Kafulila...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
kwa wale waliopo mjengoni au wenye uwezo wakupata taarifa za yanayojiri ndani ya bunge kwa siku ya leo mtujuze tusiokuwa mjengoni au kutazana tv au radio hasa kwa makamanda wetu tuliowatuma dodoma
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuanzia jioni hii tarehe 8 Februari 2011, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tz litajadili hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyoitoa Bungeni hapo mwezi Novemba 2010. Bunge lina...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Naombeni majibu jamani, hali ni mbaya sana bungeni. Hapa ndipo penye matumaini ya wanyonge na bado panatumika na watawala. Tuendelee kuvuta subira kweli?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Minister: Tanzanians' blogs are full of gossip Send to a friend Tuesday, 08 February...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa alliance hii ya CUF, je ni ukomavu wa kisiasa, Confusion au kuitumikia CCM CUF+CCM Zanzibar=serikali ya umoja wa kitaifa CUF+CCM Muungano=kizingiti kikubwa ca CHADEMA Bungeni CUF+NCCR, TLP...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Siasa za bongo bwana.... Hivi majuzi cuf walifanya maandamano ya kupinga dowans kulipwa, kawaida siku zote mstari wa mbele wa maandamano yao huongozwa na lipumba na seif. Juzi seif hakuonekana...
0 Reactions
2 Replies
958 Views
Hili nimeliona ni: CDM vs CCM + vibaraka ( CUF & NCCR). Kafulila and Rashidi 'are you serious with destiny of this nation? CDM YOU WILL NEVER WALK ALONE in your fights I am with you.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Sasatumefika kwenye fundo.Mambo hamkani si shwari katika nchi yetu.Wakati mgawo wa umeme ukiendelea kote nchini na harakati za DOWANS,hali ya maisha mtaani imekuwa mgumu,bidhaa nyingi zimepanda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napata shida sana kuelewa kuhusu chama hiki kudai kuwemo katika kambi ya upinzani wakati huo huo kwa upende mwingine ni watawala tena wakitawala pamoja na CCM Zanzibar.Je wana uhalali wa kuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kusema kweli ndg zangu wana jf leo nami nimeshindwa kuvumilia kuhusu hili la mgao wa umeme,maana naona mkuu wa nchi this time ameamua kunyamaza kimya na hatuoni tena yale makeke au mbwembwe zile...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbowe wakati anachangia hoja ya kuleta tafsiri ya kifungu na mkakati mzima wa kuwafungisha wapinzani ndoa ya lazima alisema yafuatayo: Ushirika ni jambo la msingi lakini katika bunge la kumi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Chadema wachafua hali ya hewa bungeni Written by amini // 09/02/2011 // Habari // No comments...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom