Mwizi siku zake ni Arobaini. Siku zote imekuwa siri lakini hatimaye amekuja kujulikana mmiliku wa Dowans. Jambo moja la kushangaza ni kuwa kwenye gazeti la Mtanzania Rostam anasema Dowans ndiyo...
Wakuu,mwenye taarifa atujuze zaidi.Nasikia kuna kikao kilichowahi kufanyika huko bagamoyo,hela zikachotwa kila wizara,zikaambiwa zipunguze budget,hazina ikakauka.Je ni kweli imeshalipwa?Kesi...
WanaJF,
Wabunge ni wanafiki sana. Sana!
Matatizo ya wananchi ndio mtaji wao. Mwisho wa siku nia na madhumuni ni vyama vyao viendelee kuongoza. Hakuna wenye nia ya kuwasaidia wananchi kwa...
Kuna tetesi kuwa hoja binafsi ya Katiba iliyowasilishwa na Mh. Mnyika na ile ya Dowans ya Mh. Kafulila hazitajadiliwa katika kikao kijacho cha bunge kwa kisingizio cha kutoundwa kamati ya...
Nimekianzisha chama cha United Liberal Movement (ULIMO). Lengo ni kuviunganisha vyama vyote vya siasa nchini katika kukiondoa CCM 2015. Bila kujali itikadi wala madaraka nataka kuunganisha nguvu...
Madai ya kuwa Sugu ametembea na Shyrose ni mkakati halisi uliofanywa na UVCCM mkoa wa Mbeya ili kumchafua MBUNGE huyo wa Mbeya Mjini.
Jafari, alipewa fedha taslimu sh. Mil. 5 na wakereketwa wa CCM...
Jamani naomba msaada, kuna kitu naandaa hapa nahitaji msaada kwa yeyote mwenye taarifa sahihi.....
Hivi mafao ya mawaziri waliomaliza muda wao(au yaani baada ya miaka mitano hawakuchaguliwa tena...
Halmashauri ambazo Chama cha Democrasia na Maendeleo kimepata ridhaa ya wananchi kuziongoza, pamoja na Majimbo ya ubunge yanaweza kuwa kitanzi dhidi ya chama hicho siku za usoni hasa kama...
wana jf wasalaam. Hivi hawa wabunge tuliowachagua wanatekeleza majukumu yao kwa ufasaha?
nimekuwa nikijiuliza unakuta mtu ni mfanyabiashara mkubwa(au mzuri) lakini anajiingiza kwenye ubunge, na...
Mi nafikiri ustaarabu unahitajika zaidi na si ubaguzi kwenye kushughulikia suala hili maana tutajikuta tuko kinyume hata na UN Resolution on Race and Human Rights though we have ratified the...
Bunge la Kenya limeonyesha makali yake kwa kukataa kuburutwa na mahakama Kuu ya huko ambayo iliamua uteuzi wa Kibaki ulikiuka katiba ya nchi hiyo.......................
bunge hilo kupitia Spika...
MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA KAULI YA KI-HUJUMA ILIYOTOLEWA NA CHADEMA DHIDI YA CUF.
Jumatano, 02 FEBRUARI 2011, 1100hrs, DAR ES SALAAM
Ndugu waandishi wa habari,
Chama cha wananchi...
Jamani mniwie radhi kama hati ya muafaka kati ya ccm na cuf zanzibar ilishawahi kubandikwa hapa janvini. Just out of curiosity, natamani kusoma hiyo hati ili nitafute ukweli/uongo wa hizi tuhuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.