Baada ya kufuatilia habari nyingi na majadiliano mengi kuhusu mambo mbalimbali nimegundua kuwa wengi wetu hatuna habari sahihi, na hoja zetu nyingi zinatokana na kushuku na kusikia bila kuwa na...
Kuna tetesi kwamba baadhi ya walio kuwa viopngozi wa CCJ (Chama Cha Jamii) wameunda chama kipya cha CCK (Chama Cha Kijamii) kikiongozwa na Constantine Akitanda.
Mh je huu ni mvimyo wa zamani...
Katika hali isiyo kua ya kawaida manispaa stand ya dala dala iringa mjini yauzwa kwa mfanyabiashara maarufu hapa mjini, suala hilo limepelekea madereva hiace kugoma kuingia katika stand hiyo kwa...
Kukiwa kumebakia siku chache kuondolewa wamachinga wa kichina , leo nimeona tuchangie uwezekana wa machinga wakichina kutokuwepo na biashara ya kariakoo kudolora.
Kwanza kabisa napenda...
Binafsi nawashangaa MAWAZIRI hawa wa jk walivyo na majibu rahisis kwa hoja zinazoonekana kuwanufaisha watanzania wengi, Mfano:-
Hoja ya KATIBA mpya waziri Kombani alisema kuandaa Katiba mpya ni...
Nimepata taarifa za kuaminika kuwa wamiliki wa Dowans in Genge la Mafia. Hawa jamaa inasemekana waliiambia serikali kuwa wapo tayari kuisaidia tz umeme kwa masharti kuwa awepo mtu wa kusimamia...
Kikao cha bunge tayari kishaanza, ila cha kushangaza mpaka sasa hivi TBC hawajaanza kuonyesha yanayojiri huko.Je, kuna ajenda wanayotaka kuificha wananchi wasiijue au tatizo ni nini hasa? coz tuna...
Hapo zamani za kale kwa mujibu wa mkataba wa muungano, Zanzibar ilikuwa na mdau muhimu ndani ya muungano ambae pia alikuwa ni makamu wa rais ndani ya serekali ya muungano.
Tumeondoshewa hilo la...
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya ITV leo usiku jumla ya baa tatu zimechomwa moto na watu wasiojulikana ndani ya wiki moja. Inavyoonekana watu hawa wana mpango wa kumaliza baa zote huko zanzibar...
Leo madiwani wote wa manispaa ya walikuwa na semina elekezi,katika hali ya kushangaza akahudhuria Mwahija Choga ambaye nec inalazimisha kwa maelekezo ya CCM awe diwani viti maalum wa TLP
wajumbe...
Katibu wa Bunge amesema Hakuna haya ya kuzungumzia hoja ya katiba
ambayo ilitakiwa kuwasilishwa na Mbunge wa Ubungo Mhe John Mnyika kwa
sababu Serikali imeanza mchakato wa Katiba Mpya...
Katika hotuba yake ya mwaka mpya JK alisema chadema watachochea migomu vyuoni. muda haukupita vyuo vyote nchini vikakumbwa na migomo. Je, migomo imechochewa kweli na cdm? Basi chadema inatisha...
....matukio mengi sana ya maandamano ya amani nchini Tanzania yamegubikwa na fujo ambazo maranyingi husababishwa na polisi kuingilia kati wakidai eti kuna uvunjifu wa amani!!
lakini ukweli ni...
Kwa hili ninaimani kila mtanzania analijua ni viongozi wawili tu katika serikali ya jk waliogoma na kubishia malipo ya dowans na wakiwa kwenye ya baraza la mawaziri la sasa ambapo mwanzo walisemwa...
Gazeti maarufu la Financial Times limeandika kuwa, mabadiliko katika nchi za Kiarabu ni jambo lisiloepukika na kwamba Marekani haiwezi kuwasaidia chochote marafiki zake yaani watawala wa nchi...
Hatua ya Kiwete kuanza kutupa lawama kwa wapinzani wake juu, hasa hasa Dr Slaa na Chadema kwa migogoro inayojitokeza Tanzania ni dalili za wazi kwamba tumempatia kazi asiyoiweza. Kikwete anataka...
Nilikuwa naangalia jana waziri Kawambwa alivyokuwa akizongwa na wanafunzi wa Udsm nikakumbuka enzi za viranja wa shule za msingi na sekondari wanapojaribu kuwashawishi wanafunzi kukubali hoja...
Ukijaribu kutafakari kwa undani tabia na ujasiri+uthubutu wa Lowasa,bila shaka utajiridhisha kuwa kikwete hakustahili kuwa Boss wake.
Ndiyo,hakustahili..Lowasa kwakiasi kikubwa hamezi...
Viongozi wa mwanzo wa Taifa la Tanzania kote Tanganyika na Zanzibar hawawezi kupuuzwa kuwa hawakuwa na moyo wa dhati kuanzisha miradi mikubwa iliyo na nia thabiti ya kunufaisha Watanzania.
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.