Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
DOWUTA yataka mafisadi CCM kung’olewa bila ubaguzi na Mwandishi wetu KATIBU Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Shughuli...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
WanaJF: Baada ya kutafakari hotuba ya JK aliyotoa akiwa katika magwanda ya kijani hasa katika sehemu ile aliyojaribu kujisafisha kutokana na sakata la kampuni ya Dowans – ni dhahiri...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi karibuni katika siasa za kimataifa kumekuwa na wimbi la watu kufanya mabadiliko ya utawala dhalimu kwa style ya maandano na civil disobedience maarufu kama "nguvu ya umma". Mifano ni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kila unapofanyika utafiti na asasi mbalimbali basi utakuta Jeshi la Polisi linaongoza kwa kuomba na kupokea rushwa. Kibaya zaidi wanapenda kuwabambikizia watu fake kesi. Hivi sasa kuna watu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vyombo vya usalama vya wananchi wa Misri vimesema haviwezi kuzuia wananch wake kufanya maandamano na vimetukuwa vikilinda amani. Vyombo vya Ulinzi vya Tanzania vi kwa ajiliy ya wananchi au kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hivi ndugu zangu wanaoshabikia au waliowanachama wa CCM, wanafanya hivyo kwa kigezo kipi? Naamanisha ukitoa wale vigogo mafisadi, hawa wenzangu na mie wanachokipata ni kipi? Maana kama njaa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nimekutana na umati mkubwa wa wafuasi wa chama cha CUF ukiandamana kuelekea viwanja vya Kidongo Chekundu. Haya maandamano kwa mujibu wa matangazo wanayopita wakiyatoa ni kwa ajili ya kupinga...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
JK Aunda Tume Kutayarisha Mfumo Mpya Wa Mikopo Elimu Ya Juu TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UTEUZI WA TUME YA KUTAYARISHA MFUMO MPYA WA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tupo udsm tunasubiri mawaziri. Habari zinasema mzee wa intelijensia feki kataka waahirishe kuja eti wanafunzi wanamekana kuvunja amani. Tunavuta muda tumfate hukohuko.
0 Reactions
123 Replies
11K Views
Kizazi cha leo kimerithi Uhuru toka kwa kizazi kilichotangulia ambacho kilirithi ukoloni toka kwa kizazi kilichowatangulia. Najiuliza, kizazi chetu kitaacha urithi gani kwa ajili ya kizazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanachama wenzangu wa CCM Ni kweli mambo yanatuwia magumu kwenye ulingo wa siasa, tunaitaji kada CCM damudam wa mwaka 2015. Samwel Sitta+Mwakyembe sio makada asilia.HAWATUFAI KWA CHAMA. Mim...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Jamani, Huu siyo utani. Ninamaanisha nachosema. Yaani kila ninayeongea nae iwe ofisini, kwenye daladala na maeneo ya mapumziko, anamlaumu sana kikwete kwa jinsi anavyoongoza nchi. Wengi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
We need to reflect and recognize special talents, undetered committments, courage, and determination of a few of us in the fight against corruption in our country, by way of blogging. To start...
0 Reactions
81 Replies
6K Views
Sheria ya Office of Attorney General (Discharge of Duties) 17. 1. Notwithstanding the provisions of any written law to the contrary, the Attorney General shallhave the right of audience in...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
JK achochea moto *Wasomi, wanasiasa wasema naye amegeuka kuwa mlalamikaji *Wadai angeeleza serikali itakavyokabili genge la wahuni Tumaini Makene na Grace Michael HOTUBA ya Rais Jakaya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mh.Rais J.Kikwete baada ya kuapishwa 2005,alihutubia Bunge na kutangaza kuongeza ushuru wa magari ya Mitumba(recondition cars) yaingizwayo tz kwa kisingizio kwamba 'yanachafua mazingira,na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Nimeshangazwa na kauli za baadhi ya viongozi wa CCM pamoja na viongozi wa Dini fulani mkoani Arusha kupinga tamko la Maaskofu walilolitoa baada ya kotokea vurugu mkoani Arusha. Pamoja na shutuma...
0 Reactions
108 Replies
11K Views
Ndugu zangu wanaJF tuwe wakweli, Hivi kwa staili ya uongozi wa kikwete ni nani anayeweza kushindwa kuongoza Tanzania? Kauli kama hii, aliwahi kutamka Baba wa Taifa Mwl. Nyerere wakati akimnadi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1.Kukosa viongozi wenye kuweza kutengeneza dira (Focus) bila kuwa na maono huwezi kupanga mikakati ya kwenda kwa sababu hujui unakwenda wapi. 2.Kutokuwa na vipaumbele(stategic areas to stimulate...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom