Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Pinda anasema kuwa madiwani wa ccm walikuwa 16 na wapinzani walikuwa 14 kwahiyo ni dhahiri kuwa ccm wangeshinda kwa wingi wao. Waziri mkuu anasahau kuwa tz ni nchi ya kidemokrasia siyo lazima...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Peopleeeeeeee!!!!!! Habari zenu wananchi wenzangu!! Naipongeza sana Chadema kwa mafanikio iliopata kwenye Majimbo mbalimbali hapa Nchini..Hii inaonesha jinsi gani chama kimevuka malengo yake...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Madiwani Arusha kuanza vikao kwa mvutano Na Omari Moyo, Arusha KIKAO kwanza cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kinaanza tayari kuunda Kamati za kudumu za halmashauri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wanazungumzia elimu, tuwaangalie
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mpaka leo tunaona mbinu na jitahada za kuficha kila kosa na madhambi walioyafanya na wanayotaka kufanya lakini Wananchi na Chadema - Tutaendelea kupamba na kupinga CCM kokote duniani. Huu sio...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ile video au mkanda wa matukio na mauaji ya arusha inapatikana wapi? Ipo You tube au wapi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu Zangu, SASA ni dhahiri shahiri kuwa CHADEMA inapoteza mwelekeo. Hili si jambo jema kwa demokrasia yetu changa tunayotaka kuijenga. Nimesoma kwa makini magazetini habari kuhusu...
0 Reactions
78 Replies
6K Views
siamini ninayoyaona, huyu jamaa kichwa ngumu kweli kama rostam aziz vile, let see what is going to happen:sad:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Muda huu ambapo serikali 'yao' inalalamikiwa, huyu mama hasikiki kabisa kama kile kipindi cha kampeni. Sijui nini kimemsibu!
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Sababu kuu ya Chadema kugoma kushirikiana na CUF ni kwa vile CUF ni sehemu ya serikali ya umoja huko Zanzibar. Mimi nauliza ivi kama CUF ingeshinda kuongoza Zanzibar bila serikali ya umoja, na CCM...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kutokana na hali ilivyo sasa huko bungeni mnaonekana hakuna wanaowapenda maana kila anaesimama lazima apige kijembe lakini kuna siku watawaelewa Kama vile wananchi wenu wanavyowaelewa wako pamoja...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Na Maggid Mjengwa, MMACHINGA wa Afrika anajua atazikwa wapi mauti yatakapomfika, lakini, kiongozi wa Afrika hana hakika ya wapi atazikwa mauti yatakapomfika. Na hata kama atazikwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mramba na wenzake wanashtakiwa kwa makosa ya abuse of office na makosa yako ni kutofuata taratibu. liumba nae ndilo lilikuwa kosa lake. ukisoma hukumu ya dowans kulikuwa na ukiukaji mkubwa wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MORE than 1000 police will guard the terrorism trial of radical cleric Abu Bakar Bashir in Jakarta today. Bashir is accused of motivating and financing terrorism and of being...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
CHADEMA sasa yaliwa njama Mwandishi Wetu RAIA MWEMA Februari 9, 2011 CUF, CCM wahofiwa kushirikiana Kamati ya Slaa, Zitto, Cheyo zakamiwa Lissu, Mdee watema cheche Bungeni MBINU...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, katika bunge lililopita RA alikuwa ndio mbunge anayeongoza kwa kutosema chochote bungeni. Sijui kwenye hili bunge letu "tukufu" la kumi atasema lolote? Mkuu Rostam, kama unasoma hii...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Written by amini // 10/02/2011 // Habari // No comments...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya Bunge la JMT kutoa tafsiri ya maana ya ‘Kambi ya upinzani bungeni’ ambapo lengo lake kuu lilikuwa ni kujali maslahi ya kitaifa zaidi na si ubinafsi wa watu wachache wenye uchu na uroho...
0 Reactions
68 Replies
5K Views
Written by amini // 10/02/2011 // Habari // No comments...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom