Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kikwete,Waziri Mkuu,IGP uongozi wenu utaheshimika sana kama utawala wa Sheria utafuatwa.Hatuwezi kuendelea kubebana, kuvumilina ,kwa upendo na Amani kama Haki za Msingi za Mtanzania...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna kila dalili kuwa huyu mama atashindwa kulimudu bunge la kumi. Anaendekeza sana itikadi za vyama kuliko ukweli. Kwa mtu yeyote mwenye jimbo lake hata kama angekuwa yeye ndiyo mbunge wa arusha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu sijui ninyi mtazichukuliaje habari hizi, kwangu mimi naziona ni habari za kusikitisha. Habari kutoka chanzo cha habari cha kuaminika kutoka Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Mwalimu Nyerere...
0 Reactions
153 Replies
15K Views
Katika kikao hiki kinachoendelea tunashuhudia mambo mengi ambayo hatukuyatarajia yatokee. Nashawishika kusema kwamba, kwa kujua ama kwa kutokujua, Makinda kama spika na CCM ambacho ni chama tawala...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Je bunge hili litafanana na lile la msekwa?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hakuna anayeweza kupinga kuwa hali iliyokuwapo Zanzibar ilikuwa tete kabla ya muafaka, hili halipingiki .lakini kile ambacho ccm wanajivunia kuwa wameonyesha nia safi na ukomavu wa kisiasa ni wao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima zenu wapendwa! Hili nalo linanichanganya mwenzenu sijui kama mwenye kuweza kunisaidia. Kwa mtazamo wangu mimi nadhani wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni wengi kuliko kazi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau leo Bungeni katika kipindi cha maswali kijana Zitto kanifurahisha sana alipoendelea kuyacheka majibu ya waziri Ngereja alipokuwa "anajibu" swali la Zitto kuhusu mgodi wa Kiwira na umuhimu...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
katika kuonyesha hali ya kujipendekeza kupita kiasi au kutojua mambo,tambwe hiza jana usiku katika kipindi cha kurunzi ya mlimani aliropoka eti kikwete ni bora kuliko nyerere eti kwa sababu tu ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jumuiya ya Ulaya leo imetoa ripoti kamili ya uchaguzi wa Tanzania 2010. Pamoja na mabo mengine, imetilia mashaka ujumlishaji wa kura (uchakachuaji) uliofanywa na Tume ya Uchaguzi (NEC). Pia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika hali ya kutapatapa na kuhakikisha mafisadi hawaguswi, juhudi za maksudi zimeanza kuchagiza kuzibwa midomo watu wote wanaojaribu kuongea ukweli. Jitihada hizo zimeanza na gazeti la Rai...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Tanzanian President Kikwete and his wife take an HIV test as part of a new national testing campaign. (02 August 2007) Wana JF, Kuna anayejua majibu ya wapendwa hawa baada ya kupima na...
0 Reactions
2 Replies
989 Views
Ni Rais mwenye upendo kwa Watanzania kwa kuwa anajua jinsi CCM ilivyooza bila kuondoka madarakani nchi haiwezi kupata maendeleo na katumia akili sana kukiuwa chama cha CCM bila watu kujua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani tunaomba wabunge wa CDM wawe makini sana. Wenzao wa CCM, CUF, TLP na NCCR wamezama na kubobea kwenye siasa kwa muda mrefu. Nina wasiwasi kuwa badala ya kujijenga kwenye bunge hili ili...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
huyu bwana anachangia upuuzi ambao hata ccm hawezi kusema.amesifu shule za kata,amelaumu maandamano vyuo vikuu eti ni ya kisiasa na waachane na siasa.sasa huyu haendani na kasi za cdm.amenichefua sana
0 Reactions
14 Replies
2K Views
KIONGOZI wa upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema ataunda baraza za Mawaziri kivuli litakalojumuisha wabunge wa Chadema pekee. Akizungumza katika mahojiano maalum na Mwananchi ofisini kwake...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jana niliweza kufuatilia mjadala uliokuwa unaendelea bungeni, kimsingi Nidhamu iliyokuwa ikionyeshwa na baadhi ya wabunge na lugha ambazo walikuwa wanazitoa kwangu mimi zimenivunja moyo sana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naibu Speaker alionekana kwenye TBC katika maongezi akiwa na Mbowe....akasema kuwa demokrasia ni DICTATORSHIP OF THE MAJORITY. Kwa kweli demokrasia ya "dictatorship of the majority" au "tyranny...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naona watu wengi sana wanachanganya mambo, wapinzani si wamoja na hawana sababu za kuwa wamoja kama wangekuwa wamoja basi wangekuwa na chama kimoja cha upinzani kikiwa na vision na mission moja...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wana JF, ufisadi wa malizi za umma umekisiri hapa nchini ketu. Wabunge na Mawaziri wamekuwa wakijifanyia mambo kiholela na kuwaibia wa tanzania mchana kweupe. Wizi kama ule wa RICHMUD, EPA...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom