Wana JF
Vijana ndo wanaadhirika zaidi na umaskini wa TZ. Je tukianzisha jumuiya/jukwaa la vijana Tanzania lisilokua na itikadi yoyote ya siasa inaweza kusaidia kuwaweka vijana wote pamoja bila...
Hellow wana JF kwa wale wanaokosa muda wa kufuatilia Bunge mchana kutokana mna mchakato wa kimaendeleo, Bunge linarudiwa tena usiku saa nne na nusu na STAR TV, Kila siku litakalofanyika..
Nimefuatilia kwa makini mjadala ulikuwepo bungeni juu ya " Kambi rasmi ya upinzani" na mwenendo jumla wa maamuzi ya CDM, nimeridhika kuwa ama CDM wana-apply strategic stupidity au strategic...
hivi kwanini ccm hawapendi kukubali ukweli? jana Mh Mbowe wa Cdm alisema namsifu President kwa kukubakli kufanya mchakato wa kubadili katiba japo haikuwa kwenye ilani ccm ya uchaguzi ya 2010...
Pamoja na kwamba huna mkuu, ni mtu wa staha, na ni mapema sana, lakini kwa kanzi ya kwanza nzito uliyopewa ulionyesha uzalendo wa hali ya juu. Najua kazi ile ya kamati ya umeme ilikuwa hatari...
Rick Newman, On Friday February 11, 2011, 5:28 pm EST
There are no Mubaraks on the Forbes list of the world's richest people, but there sure ought to be.
The mounting pressure from 18 days of...
WanaJF,
Kumekuwa na mkanganyiko au kutokuelewa kwa faida na hasara, mipaka na nafasi ya mawazo binafsi ya wanachama wa siasa.
Imekuwa ni kawaida kwa Mbunge wa CDM, CUF, TLP au NCCR kusema...
KATIKA hali ya kushangaza jana Spika wa Bunge Anna Makinda alimruhusu Mbunge wa Nkasi, Ally Kessi Mohamed (CCM), kusema kuwa angepata ubunge kwa tiketi ya CHADEMA ingekuwa kashfa kubwa kwake...
nimekaaa nikajiuliza mbona wabunge CCM hawazungumzii suala la mgao wa Umeme au wenyewe haliwagusi?? hata wale wanaopata nafasi ya kuzungumza bungeni hawatoi kero hii au wamekatazwa??
NIMEWAZA!,MKWERE ALIPOTANGAZWA NA NEC KUWA PREZIDAA, NCHI YAKE YA KWA KWANZA KUVISIT NI KWA HOSNI MUBARAK WHO STEP'D DOWN FOR 30YRS OF DICTACTORSHIP, UKIANGALIA KWA JICHO LA TATU UTAONA KUNA...
EU ELECTION OBSERVATION MISSION TO TANZANIA ISSUES ITS FINAL REPORT IN DAR ES SALAAM
Chief Observer European Union Election Observation Mission(EU EOM) David Martin stressing a point.
Chief...
Kiongozi yeyote katika jamii anatakiwa awe mwadilifu,afikiri kwanza kabla ya kutenda,awe mwepesi kwenye maamuzi na pia asiwe mbinafsi,hekima,busara ni sifa muhimu
Takribani wiki moja imepita tangu TANESCO walipotangaza kusitishwa zoezi la mgao wa umeme - Cha ajabu ni kwamba - baada ya kauli hiyo - ukanda huu wa Tegeta tumekuwa tukikatiwa umeme kila siku na...
Wanaharakati wamfagilia, Dk. Slaa, Mwakyembe na Selelii
Na Richard Makore
11th February 2011
Mchambuzi wa masuala ya kijamii na kisiasa nchini, Jenerali Ulimwengu (katikati),Kaimu...
"Tanzania had been independent for a short time before we began to see a growing gap between the haves and the havenots in the country. A priveleged group was emerging from the political leaders...
Ni aibu kubwa kwa Mheshimiwa Rais Kikwete kusema kuwa hawajui wamiliki wa Dowans
Maelezo yaliyotolewa na Mh Kikwete kujibu tuhuma zinazoelekezwa kwake binafsi na ama wajumbe wa kamati nyeti za...
Mary Chatanda
WABUNGE na madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jana walisusa kushiriki uchaguzi wa Jumuiya za Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT) katika Mkoa wa Arusha...
Wengi wapo kizani katika kiza kinene
Ukiwakuta mtaani wanapigana vijembe
katiba ya zamani huijui mpya waitakaje
wewe mungu kakubariki, umewajuza wangapi?
Humu JF hatukosi kujadili mada na hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.