Being kind and at the same time being a good leader are two very distinct traits, Kikwete like to mix up with the lot so he can have his face appear in the news and pretend to be the kind of a...
TAMKO LA SERIKALI;
Tutaendelea na utaratibu wa kupiga mabomu kila j5,kuanzia saa 2:30 hadi saa 5 usiku mpaka Watanzania kwa hiyari yenu mtakapokubali deni la Dowans lilipwe bila kipingamizi...
Tunayo mihimili rasmi mitatu ya dola ambayo kazi yake kubwa ni kusimamia shughuli za umma na kuwaletea maendeleo wananchi. Tuna serikali, Mahakama na Bunge. Kwa nchi yetu mihimili hii imekuwa ni...
Ni udadisi tu.....
Kwamba bado siku 60 tusherehekee sikukuu ya wafanyakazi hapo tarehe 1/5/2011.
Najaribu kufikiria itakuwaje:
1. Bado madai ya wafanyakazi hayajapatiwa ufumbuzi, na hakuna...
Wana JF
Kwa mtazamo wangu naona watu wa mikoani wamejitambua muda mrefu na hata kuchagua wabunge kutoka vyama vya upinzani tokea mabunge yaliyopita(ukiacha kawe na ubungo 2010),ukiangalia msukumo...
Lipumba ataka wataalamu wa nje wakague makombora Send to a friend Friday, 18 February 2011 21:23 0diggsdigg
Elizabeth Ernest
MWENYEKITI wa Chama cha...
Wadau nadhani mmeona jinsi waandishi wa habari za Tanzania walivyo vigeugeu, siku ya kwanza ya uchaguzi walikuwa wanaripoti kuwa kuna mwamko mkubwa sana na watu wamejitokeza kwa wingi sana kupiga...
Operation Fagia in Nyeri County
OPERATION FAGIA is a broad nationwide campaign to promote the rule of law and other attributes of good governance, including visionary leadership. The campaign is...
Hivi mmeona majeruhi wa maboomu walivyolala chini Muhimbili na Amana?
Je mmeona madaktari wanawatibu huku hawajavaa gloves?
Je mmeona wakimbizi au tuwaite IDP (internally displaced People )...
Spika wa bunge Anne Makinda amesema hajaridhika kwamba suala la milipuko ya mabomu iliyotokea juzi Gongo la Mboto ni la dharura na lina maslahi kwa umma na kwamba halihitaji kujadiliwa kama jambo...
Kutokana na janga la Gongo la Mboto lime nijia wazo kwamba tuna hitaji kitengo cha kutoa huduma ya kwanza. Hapa simaanishi polisi au vyombo vya usalama bali watu wanao weza kwenda kuokoa watu na...
Nimemsikia waziri wa Ulinzi Mh Hussein Mwinyi akihojiwa na VoA swahili. Pamoja na maswali mengine ameulizwa kuhusu kuwajibika kwa kujiuzulu.
Mwinyi: Kujiuzulu kunatoka na makosa yaliyofanywa na...
Tunaona jinsi serikali ya CCM mara baada ya uchaguzi wa Oktoba 2010 inavyobanwa kila upande kutokana na vyama vya upinzani kujiongezea viti bungeni na huku chama tawala CCM kujikuta viti...
Naomba Kuuliza swali Wana JF tangu Fisadi Kikwete ashike hatamu ya Uongozi katika Nchi yetu ameunda Tume ngapi? Je hizo Tume zinafaida gani kwa Taifa. Isjekuwa wanapeana ulaji Kijanja kwa Kutumia...
Jamani watanzania tuamke!!! Gharama za maisha zimepanda. Hapo ni mwanzo tu bado bunge letu tukufu halijakaa kupanga bajeti ya 2011/2012. Hivi kweli tutafika? Jamani tufikiri tusije tukafikia...
Hivi najaribu kujiuliza Ki-protokali Matamshi ya Shimbo yana mhusisha vipi Mkuu wa Majeshi Mwamunyange?
1. Kama Shimbo anaagizwa afanye nini na Mkuu wa Majeshi, je Mwamunyange haoni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.