WABUNGE sasa watakuwa na makazi yao maalumu mjini Dodoma maarufu kama Bunge Estate, sawa na ilivyo kwa mawaziri jijini Dar es Salaam na Dodoma, baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda, kuweka bayana...
Pein poit ya Wzanzibar ni kuvunja Muungano na kuwashia Tanganyika yenu na Bunge lenu lililo jaa ufisadi na ujambazi, hii ndio taget yetu Wzanzibar na sisi tunaipenda Zanzibar yetu na tunaona...
Takribani mwaka mmoja na nusu baada ya kuzaliwa kwa CCM, nchi yetu ililazimika kupigana vita dhidi ya nduri Amini. Vita hiyo ilididimiza sana uchumi wa nchi kiasi kwamba kulianza kujitokeza uhaba...
Nilikuwa nikitafuta nikitugani watakifanya kwa kuazimisha miaka yote hii tangu kuzaliwa kwake wawezekujivunia mbele ya macho ya watu?Maana kauli mbiu ya ccm na mwal nyerere ilikuwa...
siku hizi huwezi kusikia wanafunzi wa hapa kwetu wakiandamana kupinga mambo ya kitaifa kama malipo wa dowans nk. utawasikia tu baadhi ya waalimu wao kama Prof Baregu, Prof Shivji nk wakizungumza...
Napendekeza huyu muheshimiwa aitwe Mwalimu willibrod Peter Slaa. Badala ya
Dr Slaa. Sababu ni hizi zifuatazo -
1.Hili jina la Dr kwa sasa limekuwa halina hadhi wala heshima.Maana watu wana...
Umuhimu Vijana kujibainisha na vyama vya siasa
Political Parties Vs Civil Societies katika karne mbili zilizopita
Katiba Mpya is not debatable
Sayansi ya Siasa inasema CCM imezeeka itakufa...
Wakuu habari zenu
Jana nimesikiliza hotuba ya Mhe. Rais Kikwete, katika mambo mengi aliyozungumzia
Amesisitiza sana jinsi gani nchi inavyopatiwa misaada na nchi wahisani, amejisifu sana kuhusu...
Akiongea kwa hasira na kupanic, ameshangaa tamko la chadema eti haiwezi kuungana na CUF bara kwa sababu CUF visiwani wameungana na CCM. Hata hivyo aliahidi kwamba CUF bara itaendea kushirikiana na...
Leo ni mwezi mmoja tangu mashujaa wapenzi wetu wameuwawa huku Arusha na jeshi LETU la polisi. Tunaomboleza kwa uchungu zaidi kwa sababu Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania ambaye ndiye mwenye...
Wadau hivi huyu Mzee Makamba mbona haelekei kama yuko sawa sawa kichwani! Kila mara amekuwa anatoa miropoko 'as if he does not have even a little brain'. Nashangaa wakati Msekwa anaonekana kuwa...
Huwa najiuliza sana kwa nini watendaji wanapopata skendo wengi wao huishia kupoteza maisha tena muda mfupi baada ya skendo zao kubumbuluka au wanapokataa 'wishes' za wanasiasa. Lakini inapokuja...
Tatizo la nchi kupoteza wataalamu wake wa kada mbalimbali hasa kwa kuondoka na kwenda kufanya kazi katika nchi nyingine.Hili ni tatizo ambalo lipo duniani kote lakini tatizo hili limekuwa...
Wananchi na hasa vijana tukutane Mnazi Mmoja Tarehe Ijumaa 02/04/2011 kushikana mikono kwa amani tukiandamana Kutoka Mnazi Mmoja mpaka Posta Mpya kupinga serikali ya CCM. Swala sio nani...
kauli zake,
Matusi yake,
Ujinga wake,
Upuuzi wake,
Kichaa chake;
ANATEGEMEA KUONYESHA JEURI DHIDI YA CDM ETI JK ATAMTEUA VITI MAALUMU NA YEYE AENDE MJENGONI KUIMARISHA KAMBI ISIYO...
Nikiwa sina hili wala lile, nikaona vijana wa sisiem wakifanya gwalinde mbele ya viongozi wa kitaifa wa Chama. Mara nikamsikia Mh. Makamba akiwaambia vijana..."Kesho mje...kutakuwa na...
Msekwa akiri fedha zimeigawa CCM
Friday, 04 February 2011 21:45
Leon Bahati
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa ametaja utovu wa nidhamu na matumizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.