Leo vijana zaidi ya Ishirini hapa mtaani kwetu tumekuwa na kikao kisicho rasmi kujadili mambo yanayohusu taifa letu hasa Dowans na Migomo..Hasira zilikuwa nyingi lakini kwa kuwa tuna raisi...
Nadhani ingekuwa vizuri kama aidha ngome ya upinzani au umoja wa NGo's wangepanga maandamano ya kuunga mkono juhudi zinazoendelea Misri za kuleta demokrasia na mabadiliko katika jamii...
Tumesikia JK tena na mipango ya CCM kudanganya na kugeuza facts kuwa uongo. Hivi JK anaamini maneno yake na mawaidha yake? Kipaji cha JK kudanganya wananchi kimeishia hapa....Richmond yeye alikuwa...
Wadau...tuipime hotuba hii ya mweshimiwa kwa uchakachuaji bungeni.. Mi nimesikiliza suala la michezo limenipa kichefuchefu..
'Tumeleta makocha wazungu kufundisha michezo...' hivi hii ni akili au...
Heshima zenu waheshimiwa ndugu Dr Slaa, Mbowe, Mnyika na Mkumbo, Najua nyie ni wana JF mpo katika hii himaya ya kina invisible na uwepo wenu hapa jamvini umeleta tija kubwa kwa kutujuza mambo...
WanaJF,
Sina mamlaka ya kuzuia mtu au chombo chochote kuzungumzia Dowans. Lakini nimeshawishika kujaribu kuweka jamvini kauli za watu/viongozi na vyombo mbalimbali kuhusu suala la DOWANS...
WanaJF,
Kila kiongozi anatakiwa ajaze form maalumu ya kutaja mali zake kwa mujibu wa sheria ya Maadili ya Umma.
Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba mara zote viongozi hao wanapojaza form...
Wajameni naheshimu mengi ya mawazo ya huyu Prof. ila naomba kujua anasimama wapi juu ya masuala ya zanzibar na muungano! maana kuna suala la kujifunga bao la kisigino lets say kama akiwa kiongozi...
Tarehe 12 Januari Chadema walitoa tamko kuwataka watendaji kadhaa wa serikali kujiuzulu kutokana na mauaji wa raia wasio na hatia Arusha tarehe 5 Januari. Mbona kimya?
Tatizo la fidia sio kwa Dowans peke yake. Ni pesa kiasi gani ililipwa kama compensation kwa South Africa kwa kuvunja mkataba wa ATCL, au Rites wa India nao si wako katika mstari? Ni pesa kiasi...
Tanzania records dismal score on MDGs four years to deadline Sunday, 30 January 2011 12:30
By Edward Qorro
The Citizen reporter
With four years to go, Tanzania still lags behind other East...
Salaam wana JF,
leo kikiwete yupo Dodoma kwaajili ya sherehe za ccm pamoja na maandamano mpaka uwanja wa Jamuhuri. Mwenyekiti huyo wa chama ni mgeni rasmi
kwa kuhofia kukosa watu kwa mwamko wa...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba, amesema ni ruksa kwa mwanachama yeyote anayetaka kuhama chama hicho kupinga malipo ya fidia kwa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.